Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

Nilichokigundua katika umri wangu huu ni kwamba epuka Miungano ya Kiafrika kwa gharama zote.

Miungano ya kiafrika huwa ni vurugu tupu na ukiamua kuondoka kwenye Muungano inakuwa ni Vita na mauaji makubwa.

Mfano mzuri Muungano huu wa hapa ni kumezana na kufanyana Makoloni badala ya Muungano wa haki.

Angalia Muungano wa Senegambia tena wale Wagambia walikuwa na bahati walishtuka mapema.

Angalia Muungano wa Somalia mpaka damu imemwagika mno ndio wakaachana.

Hizi jumuiya ziishie kuwa jumuiya laa sivyo tukisema tuungane Kenya itatumeza na kutufanya koloni la wavuta bange

Mimi huwa nasema kila mtu akae na kwake turuhusu muingiliano wa Waafrika ikibidi tuunganishe hadi fedha ila kila mmoja abaki na jeshi lake.

Fedha moja,Paspoti Moja,Forodha Moja hapo sawa ila sio zaidi

Hehehe kwa akili zako hizi fahamu hata humo Tanzania ni muungano wa makabila, mkoloni mzungu alikuja akaunganisha makabila na kubuni kitu kinaitwa taifa....
Hata hivyo hakuna miungano ambayo hudumu bila chokochoko, hata kule kwa wazungu fuatilia akina Balkans, hata Great Britain.
Hata USA wamekaa vizuri kisa walipigana balaa ila hadi leo kuna states huonwa kama ndio hunufaika pakubwa.
 
Hehehe kwa akili zako hizi fahamu hata humo Tanzania ni muungano wa makabila, mkoloni mzungu alikuja akaunganisha makabila na kubuni kitu kinaitwa taifa....
Ile Model yetu ya kuishi pamoja bila ya kuungana ilikuwa ni bora sana
 
Ile Model yetu ya kuishi pamoja bila ya kuungana ilikuwa ni bora sana

Hehehe hapana bana, tulikua tunanyukana sana na kuibiana ng'ombe, bora hivyo mkoloni alikuja akaunganisha Wasukuma na Wazaramo na kuwaambia wajiite Watanzania, akaja huku Kenya na kuwaamrisha Wakikuyu na Wasomali wajiite Wakenya.
 
Hehehe hapana bana, tulikua tunanyukana sana na kuibiana ng'ombe, bora hivyo mkoloni alikuja akaunganisha Wasukuma na Wazaramo na kuwaambia wajiite Watanzania, akaja huku Kenya na kuwaamrisha Wakikuyu na Wasomali wajiite Wakenya.
Tuyaache hayo ya Mkoloni tuongelee hii Miungano ya Kiafrika.
 
Kumbe kabla ya kuvunjwa tawala za machifu Tanganyika kulikuwa na nchi ngapi? Tulifundishwa kwenye historia kuwa nchi ilikuwa moja hiyo Tanganyika chini ya Gavana!
Tanganyika ni jina lililobuniwa na wajeremani baada ya kwanza kuuziwa maeneo ya pwani kule Bagamoyo na Tanga. Baada ya kuingia bara ambapo baadhi ya maeneo yaliyokuwa chini ya utawala imara wa machifu walipata upinzani lakini kule kulikokuwa dhaifu walijitwalia na kuwa na maeneo makuu mawili ya Tanga ukanda wa pwani na maeneo ya bara hadi kufikia ziwa Tanganyika eneo lililo kuwa nyika na mapori. Waingereza ndio walioanzisha utawala huo wa magavana baada ya kuwashinda wajeremani na kuliteka hili eneo kama Tanganyika, lakini kabla ya hapo kila eneo kwenye kila kabila walikuwa na utawala wao chini ya watemi wami na machifu.
 
Tuyaache hayo ya Mkoloni tuongelee hii Miungano ya Kiafrika.

Sio rahisi kumuunganisha binadamu hata ukiweka pembeni mipaka ya Mzungu, lazima binadamu atatafuta chokochoko za matabaka, aidha uchama, udini, ukanda, au hata utajiri vs umaskini...yaani makundi makundi fulani. Kwenu huko ndani ya CCM naskia kuna kundi limeibuka linajiita Sukuma gang.
Mitume walishindwa kutufanya tuwe kimoja, wewe binadamu utaweza? Leo hii tunakatana vichwa kisa mafundisho ya hao "mitume"
 
Mimi nilikuwa nafikiria Muungano wa Burundi, Tanganyika, Kenya na Uganda. Huu muungano Africa Eastern Unity(AEU). Au Africa Eastern Kingdom( AEK). Tungekuwa mbali kiuchi kama Uchina ,japan. Tuachane miungono kinafiki. Muungano harisi ule ambao watu wanafanana,(african),itikadi moja kisiasa capitalist au socialist au communist, liberatian.dini. Islamic or christian ..
 
Nilichokigundua katika umri wangu huu ni kwamba epuka Miungano ya Kiafrika kwa gharama zote.

Miungano ya kiafrika huwa ni vurugu tupu na ukiamua kuondoka kwenye Muungano inakuwa ni Vita na mauaji makubwa.

Mfano mzuri Muungano huu wa hapa ni kumezana na kufanyana Makoloni badala ya Muungano wa haki.

Angalia Muungano wa Senegambia tena wale Wagambia walikuwa na bahati walishtuka mapema.

Angalia Muungano wa Somalia mpaka damu imemwagika mno ndio wakaachana.

Hizi jumuiya ziishie kuwa jumuiya laa sivyo tukisema tuungane Kenya itatumeza na kutufanya koloni la wavuta bange

Mimi huwa nasema kila mtu akae na kwake turuhusu muingiliano wa Waafrika ikibidi tuunganishe hadi fedha ila kila mmoja abaki na jeshi lake.

Fedha moja,Paspoti Moja,Forodha Moja hapo sawa ila sio zaidi

Muungano wa Kibiashara kufugua Masoko ila Sio Muungano wa Kisiasa

Sisi tunahitaji muungano wa kijamii na si wakimamlaka, KIla mtu abaki na nchi yake.
Ni heri tubaki majarani wema kuliko kulazimisha udugu wa damu usiokuepo.
 
Tanzania ili tupige hatua kiuchi lazima tufute vyama vyote kibaki kimoja. Kama CCM Au Chadema Au ACT Wazalendo. Au kianzishwe kipya.
Kama hii haiwezekani kufute ukabila hasa lugha asili ibaki kiswahili na english. kama haiwezakini tufute dini zote ibadiki moja ibaki islamic, au christianity.etc . Hebu fanya utafiti nchi tajiri dunia USA,CHINA,JAPAN,UK,GEMAN,. .ALAFU AFRICA CHUNGUZA. EGYPT,MOROCCO,LIBYIA,
 
Muungano ulifanyika kumzuia Sultan kurudi Visiwani hata akipata msaada wa kijeshi kutoka Oman. Hili limefanikiwa lakini aliyelifanikisha amewaacha Wangazija na Wapemba umasikini mkubwa.

Kiuchumi Sultani angekuwepo sasa hivi Visiwa vingekua kama Dubai.

Dada umeteleza kidogo, Sultan alishakiambia zake U.K ukimbizini wakati wa huo muungano.
Na unafahamau kama Sultans wa Zanzibar na Oman hawakuwa kwenye good terms wakati ule?
 
Sisi tunahitaji muungano wa kijamii na si wakimamlaka, KIla mtu abaki na nchi yake.
Ni heri tubaki majarani wema kuliko kulazimisha udugu wa damu usiokuepo.
Leo hii Wazanzibari sijui kama wanafuatilia mambo yanayoendelea Ikulu ya Tanganyika, baada ya Hayati Magufuli kuondoka kuna watu pale waliguna na kupaza sauti, na kuchukizwa na wengine kugalagala na kusaga meno.

Wengine kukosa usingizi kabisa mpaka wakabugia vidonge, yote nini ati Samia Suluhu aliyewekwa boshen tu sasa inakuweje awe Raisi Mama huyu wa Kizanzibari

Sasa hebu fikiria tumeunganishwa bila ya kuulizwa tumeyapoka Mamlaka ya Zanzibar tunawaua kama Nzi kila Chaguzi kwa muktadha huo nasrma tena Epukeni miungano uchwara ya Kiafrika
 
Tanzania ili tupige hatua kiuchi lazima tufute vyama vyote kibaki kimoja. Kama CCM Au Chadema Au ACT Wazalendo. Au kianzishwe kipya.
Kama hii haiwezekani kufute ukabila hasa lugha asili ibaki kiswahili na english. kama haiwezakini tufute dini zote ibadiki moja ibaki islamic, au christianity.etc . Hebu fanya utafiti nchi tajiri dunia USA,CHINA,JAPAN,UK,GEMAN,. .ALAFU AFRICA CHUNGUZA. EGYPT,MOROCCO,LIBYIA,. Dini, zinatugawa sawa na kutuchelesha kupunguza umoja na msikamano wa taifa unity is power. Wote ni wafrika lakn dini zinatugawa. Ambaye anaijui nchi duniani iliendelea alafu ina dini kubwa zaidi ya mbili aniambie. Mf IRAN,SAUDI ARABIA,UTURUKI,UAE, ZAIDI 60% ISLAMIC. Wakati korea ,china, budha, EU, UK NA US Christiana
 
If that is the case, urais wa Samia ni golden opportunity kwao. Waitumie miaka hii 4 ya Samia kurejesha uhuru wa kujiamulia mambo yao.

Kumbuka kuna katiba, ni mpaka mambo haya yajadiliwe bungeni. Kama Mama ataruhusu mchakato wa katiba mpaya itasaidia sana.

Kumbuka kuna katiba, ni mpaka mambo haya yajadiliwe bungeni. Kama Mama ataruhusu mchakato wa katiba mpaya itasaidia sana.
CCM ni janga la taifa. Hakuna mabadiliko chini ya utawala wa CCM
 
Tanzania ili tupige hatua kiuchi lazima tufute vyama vyote kibaki kimoja. Kama CCM Au Chadema Au ACT Wazalendo. Au kianzishwe kipya.
Kama hii haiwezekani kufute ukabila hasa lugha asili ibaki kiswahili na english. kama haiwezakini tufute dini zote ibadiki moja ibaki islamic, au christianity.etc . Hebu fanya utafiti nchi tajiri dunia USA,CHINA,JAPAN,UK,GEMAN,. .ALAFU AFRICA CHUNGUZA. EGYPT,MOROCCO,LIBYIA,. Dini, zinatugawa sawa na kutuchelesha kupunguza umoja na msikamano wa taifa unity is power. Wote ni wafrika lakn dini zinatugawa. Ambaye anaijui nchi duniani iliendelea alafu ina dini kubwa zaidi ya mbili aniambie. Mf IRAN,SAUDI ARABIA,UTURUKI,UAE, ZAIDI 60% ISLAMIC. Wakati korea ,china, budha, EU, UK NA US Christiana
 
Wapemba wanachangia kodi kuliko Wahindi? Ile Kariakoo tukiondoka wahindi nani anabaki? Kwenye michezo tukiondoa wahindi na waarabu nani anabaki?

Mkuu unajua kama karibu 50% ya wahindi na waarabu wa DSM mjini wanatokea Zanzibar?
 
Back
Top Bottom