fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,537
Tatizo hata wakiungana CCM huwa hawategemei kura ili kuchukua dola!
Kuna njia nyingi za kupata majibu ya baadhi ya mahesabu!!Swali Zuri sana.
Kama tume ya taifa ya uchaguzi ndiyo watakao hesabu kura basi hamna jipya.
Uki lala kuna wanao amka ukiamka kuna wanao lala!
Sijuwi mnatambua Hilo!!
Sio kila swali huwa lina majibu! Jambo msilo lijuwa sio kwamba watu wote hawalijuwi!!