Ni lazima uwe na akili ya mtu Mwendawazimu ili uweze kuuelewa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.MTU AKINIAMBIA KUNA MUUNGANI HUWA SIJUI NAMUONAJE YAANI MNAFIKI FULANI KATUFANYA WATANGANYIKA WAJINGA AU KATUFANYA HATUJUI KUSOMA SASA HII HAPA NI BAADHI YA VIFUNGU VYA KATIBA..
Zanziba ni nchi kwa mujibu wa katiba yao toleo la 2010 Washajitenga Kitambo hapa ni geresha tu..
View attachment 2854563
Na inaRaia au wnanchi wanaojiita waZanzibari na sio Watanzania Sasa jiulize Mtanzania ni nani??
Kuna vitu zanzibar tunafanywa kama hatujui hivi..
View attachment 2854568
Ona na hapa
Na katiba nzima hakuna neno Mtanzania kuna mzanzibar..
Kumbe mtu anaweza kupoteza Uzanzibar Je anapotezaje kasome katiba yaoo😅😅
View attachment 2854576
Haya kiserikali wana Mahakama,Wana jaji mkuu, mwanasheria mkuu, Baraza la Mapinduzi , Bunge la Mapinduzi aka Baraza la wawakilishi,Na wana Rais..
View attachment 2854579
Sasa Rais wa Zanzibar Atakuwa na mamlaka kamili ya kuamua Bila kuingiliwa na chochote wla serikali yoyote.. SOMA 52 hapo..View attachment 2854582
Cha mwisho ni kwamba KATIBA YAO INA NGUVU YA KSHERIA PIA
View attachment 2854584
SASA HUU NDO MUUNGANO WA KWANZA DUNIANI AMBAPO KILA NCHI INA KATIBA YAKE NA KILA KITU CHAKE MPAKA MARAISA WAKE HATA MAREKANI HAIKO HIVO..
Tuna undugu upi na Kenya? Maana naona tz na ke ni mafahari wawili hapa afrika mashariki,kuvimbiana wao,kusema wao,yani ni kama simba na Yanga,nieleweshe tafadhariZanzibar wachague tuwe nchi moja au tuwe nchi mbili tofauti. Si bado tutakuwa ndugu?
Mbona Kenya tuna undugu?
Makabila mengi ya Tanzania yapo Kenya. Ni kawaida kwa ndugu kuvimbiana, hata Simba na Yanga ni ndugu kama ilivyo Orlando na Kaizer ni watu waliowahi kuwa wamoja.Tuna undugu upi na Kenya? Maana naona tz na ke ni mafahari wawili hapa afrika mashariki,kuvimbiana wao,kusema wao,yani ni kama simba na Yanga,nieleweshe tafadhari
Husen kawapa wafaransa bandari ya Unguja.Ndio maana hata katika uuzwaji wa Bandari kwa DP world, Zanzibar walikataa huo ujinga, Mzanzibari Samia akaamua kuuza Bandari za Tanganyika kwa wajomba zake... Maana anajua yeye si mtanganyika
ndani ya jamhuri ya muungano wa tanzania zanzibar ni nchi,lakini nje ya tanzania,nchi ni moja tu nayo ni tanzaniaZanzibar ni nchi baada ya kubadili katiba Yao mwaka 2010 ,ila huku kwenu mnajifanya wahuni
Brother nafahamu mwingiliano wa hayo makabila ila ukweli ni kwamba wakenya wanawadharau watanzania,wanaona ni watu wasio na elimu,akili na watu maskini pia hawapo proud kuwa na ukaribu wa kimahusiano na watanzania,tafiti Hilo swala mkuuMakabila mengi ya Tanzania yapo Kenya. Ni kawaida kwa ndugu kuvimbiana, hata Simba na Yanga ni ndugu kama ilivyo Orlando na Kaizer ni watu waliowahi kuwa wamoja.
Timu ya Taifa ya Zanzibar maarufu kwa jina la Zanzibar Heroes imebeba bango lenye logo ya CAF likiwa na ujumbe huu;
"Zanzibar should be restored as the 55th member state. Its time now to take us seriously" ~ "Zanzibar inapaswa kurudishwa kama mwanachama wa 55. Ni wakati sasa wa kutuchukua kwa uzito"
Ujumbe huu unamaanisha nini?
View attachment 2854468Jambokuu mamlaka zimebariki ila toa ilo neno Zanzibar weka Tanganyika ujaribu kuingianalo kwa Mkapa alafu uone moto wake.
RasmiTimu ya Taifa ya Zanzibar maarufu kwa jina la Zanzibar Heroes imebeba bango lenye logo ya CAF likiwa na ujumbe huu;
"Zanzibar should be restored as the 55th member state. Its time now to take us seriously" ~ "Zanzibar inapaswa kurudishwa kama mwanachama wa 55. Ni wakati sasa wa kutuchukua kwa uzito"
Ujumbe huu unamaanisha nini?
Ujanja ujanja tundani ya jamhuri ya muungano wa tanzania zanzibar ni nchi,lakini nje ya tanzania,nchi ni moja tu nayo ni tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Lingebebwa na watanganyika basi lisingekubaluka. Kama wao wanataka kuchukukiwa kama nchi kwani i Tanganyika kuiongelea ionekane nongwaTimu ya Taifa ya Zanzibar maarufu kwa jina la Zanzibar Heroes imebeba bango lenye logo ya CAF likiwa na ujumbe huu;
"Zanzibar should be restored as the 55th member state. Its time now to take us seriously" ~ "Zanzibar inapaswa kurudishwa kama mwanachama wa 55. Ni wakati sasa wa kutuchukua kwa uzito"
Ujumbe huu unamaanisha nini?
Na wapo sahihi kabisa, mimi nikimuona mtu anajifananisha na Kenya namuona ni kama mwehu, wale wana akili kweli wala hawatuonei.Brother nafahamu mwingiliano wa hayo makabila ila ukweli ni kwamba wakenya wanawadharau watanzania,wanaona ni watu wasio na elimu,akili na watu maskini pia hawapo proud kuwa na ukaribu wa kimahusiano na watanzania,tafiti Hilo swala mkuu
Crying for my beloved TanganyikaTimu ya Taifa ya Zanzibar maarufu kwa jina la Zanzibar Heroes imebeba bango lenye logo ya CAF likiwa na ujumbe huu;
"Zanzibar should be restored as the 55th member state. Its time now to take us seriously" ~ "Zanzibar inapaswa kurudishwa kama mwanachama wa 55. Ni wakati sasa wa kutuchukua kwa uzito"
Ujumbe huu unamaanisha nini?