MTU AKINIAMBIA KUNA MUUNGANI HUWA SIJUI NAMUONAJE YAANI MNAFIKI FULANI KATUFANYA WATANGANYIKA WAJINGA AU KATUFANYA HATUJUI KUSOMA SASA HII HAPA NI BAADHI YA VIFUNGU VYA KATIBA..
Zanziba ni nchi kwa mujibu wa katiba yao toleo la 2010 Washajitenga Kitambo hapa ni geresha tu..
View attachment 2854563
Na inaRaia au wnanchi wanaojiita waZanzibari na sio Watanzania Sasa jiulize Mtanzania ni nani??
Kuna vitu zanzibar tunafanywa kama hatujui hivi..
View attachment 2854568
Ona na hapa
Na katiba nzima hakuna neno Mtanzania kuna mzanzibar..
Kumbe mtu anaweza kupoteza Uzanzibar Je anapotezaje kasome katiba yaoo😅😅
View attachment 2854576
Haya kiserikali wana Mahakama,Wana jaji mkuu, mwanasheria mkuu, Baraza la Mapinduzi , Bunge la Mapinduzi aka Baraza la wawakilishi,Na wana Rais..
View attachment 2854579
Sasa Rais wa Zanzibar Atakuwa na mamlaka kamili ya kuamua Bila kuingiliwa na chochote wla serikali yoyote.. SOMA 52 hapo..
View attachment 2854582
Cha mwisho ni kwamba KATIBA YAO INA NGUVU YA KSHERIA PIA
View attachment 2854584
SASA HUU NDO MUUNGANO WA KWANZA DUNIANI AMBAPO KILA NCHI INA KATIBA YAKE NA KILA KITU CHAKE MPAKA MARAISA WAKE HATA MAREKANI HAIKO HIVO..