Muuza duka wangu anatishia kunishtaki

Muuza duka wangu anatishia kunishtaki

aise yaani hukupaswa kubishana nae , kimya kimya mpatie hiyo laki na nusu muachana, ukiendelea kuzungusha halafu wakaja wajanja wakamshtua imekula kwako. mahakani utaingiliwa zaidi Hadi hutaamini .

yaani unamfungisha mkataba wa ajira wa elfu 50 kwa mwezi , hapo ulijichanganya Sana .
Anadhani anaonewaa ilaa Akienda mahakamani ndo atajua kijana alikuwa anampa Favour[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] elfu 50 kweli.
 
Contract ili impe mwanya kukusue nilazima kpengele cha wewe kumlipa mzigo wa miezi m3 ukienda kinyume na makubaliano kiwe kimebainishwa, kama kipo Mkuu tafuta protocol nyingine ya kumkataa au umlipe yaishe.
as anaweza kukusue na ukajikuta unamlipa zaidi ya mara tatu ya ela uliyotakiwa kumlipa + kukupotezea mda
 
Wanajamvi habarini za asubuhi,

Nilifunga mkataba na muuza duka wangu kwa ajili ya kazi ya duka langu.
Mkataba tuliufunga kwa mtendaji wa kijiji tarehe 7.1.2020.
Mkataba ulikuwa na mashahidi upande wake na mimi.
Pia alidhaminiwa na mtu mmoja mwenye mali zisizohamishika.

Tulikubaliana nitakuwa namlipa tsh 50,000/= kwa mwezi.
Kwa kuwa nina kamgahawa tulikubaliana atakula hotelini kwangu ugali samaki au nyama mara mbili kwa wiki, na siku zingine wali maharage na mbogamboga angepewa kama zitakuwepo.

Pia kwa kuwa alikuwa anatokea wilaya nyingine tulikubaliana nimpe makazi, kitanda na neti na kiwe na umeme ambapo nagharamika mimi.

Makubaliano tulivyoandikishana ilikuwa kwamba nisiporidhika na utendaji wake nina haki ya kumwachisha kazi na niwe nimemlipa malipo yake yote ya 50,000 kwa kila mwezi.

Kwa kuwa utendaji wa kijana umekuwa duni sana na imeshindikana kujirekebisha nimeamua kumwachisha kibarua.

Sasa kijana ananivimbia eti siwezi kumwachisha kazi ghafla bila kumpa mafao ya kuacha kazi na atanishtaki labda nimpe malipo ya miezi mitatu (150,000) ili ajipange kupata kazi sehemu nyingine.

Sheria ya ajira za namna hii inasemaje ndugu wana JamiiForums?
Lukonge

Huyo ni kibarua sio Mfanyakazi.
Fukuza kazi.
 
Wanajamvi habarini za asubuhi,

Nilifunga mkataba na muuza duka wangu kwa ajili ya kazi ya duka langu.
Mkataba tuliufunga kwa mtendaji wa kijiji tarehe 7.1.2020.
Mkataba ulikuwa na mashahidi upande wake na mimi.
Pia alidhaminiwa na mtu mmoja mwenye mali zisizohamishika.

Tulikubaliana nitakuwa namlipa tsh 50,000/= kwa mwezi.
Kwa kuwa nina kamgahawa tulikubaliana atakula hotelini kwangu ugali samaki au nyama mara mbili kwa wiki, na siku zingine wali maharage na mbogamboga angepewa kama zitakuwepo.

Pia kwa kuwa alikuwa anatokea wilaya nyingine tulikubaliana nimpe makazi, kitanda na neti na kiwe na umeme ambapo nagharamika mimi.

Makubaliano tulivyoandikishana ilikuwa kwamba nisiporidhika na utendaji wake nina haki ya kumwachisha kazi na niwe nimemlipa malipo yake yote ya 50,000 kwa kila mwezi.

Kwa kuwa utendaji wa kijana umekuwa duni sana na imeshindikana kujirekebisha nimeamua kumwachisha kibarua.

Sasa kijana ananivimbia eti siwezi kumwachisha kazi ghafla bila kumpa mafao ya kuacha kazi na atanishtaki labda nimpe malipo ya miezi mitatu (150,000) ili ajipange kupata kazi sehemu nyingine.

Sheria ya ajira za namna hii inasemaje ndugu wana JamiiForums?
Lukonge
Sheria za ajira zinaweza kuwa ngumu na usizoziweza, hapo la maana ni mlilokubaliana. Akupeleke huko anakotaka, kama mliwekeana mkataba na wewe ndio unaoufuata, kwa nini sasa hivi ndio unataka sheria za ajira?
 
Nikweli unapaswa kumpa kiunua mgongo kwani amekutumia tangu mwaka 2020 mpa leo.Kitaalamu ulipaswa umpe mkataba wa miezi mitatu mitatu ili kuepuka kumpa kiinua mgongo cha kufanya mpe hiyo 150 muachane tu ila akienda kukushtaki kwenye swala la kazi utalazimika kumlipa zaidi ya hiyo.Me nimuajiriwa niko serikalini taratibu za kazi nazijua

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Haswaaa uko sahihi
 
Sheria inataka umpetaarifa yakumuachisha kazi miez mitatu kabla then umlipe miez yote ilibaki mkataba uixhe. Akikuxhtak nixhida maan pia 50k nichin ya kima chachin chamxhahar
Sheria ipi inasema hivyo mkuu, unaweza kuiweka hapa na sisi tujielimishe zaidi
 
Wanajamvi habarini za asubuhi,

Nilifunga mkataba na muuza duka wangu kwa ajili ya kazi ya duka langu.
Mkataba tuliufunga kwa mtendaji wa kijiji tarehe 7.1.2020.
Mkataba ulikuwa na mashahidi upande wake na mimi.
Pia alidhaminiwa na mtu mmoja mwenye mali zisizohamishika.

Tulikubaliana nitakuwa namlipa tsh 50,000/= kwa mwezi.
Kwa kuwa nina kamgahawa tulikubaliana atakula hotelini kwangu ugali samaki au nyama mara mbili kwa wiki, na siku zingine wali maharage na mbogamboga angepewa kama zitakuwepo.

Pia kwa kuwa alikuwa anatokea wilaya nyingine tulikubaliana nimpe makazi, kitanda na neti na kiwe na umeme ambapo nagharamika mimi.

Makubaliano tulivyoandikishana ilikuwa kwamba nisiporidhika na utendaji wake nina haki ya kumwachisha kazi na niwe nimemlipa malipo yake yote ya 50,000 kwa kila mwezi.

Kwa kuwa utendaji wa kijana umekuwa duni sana na imeshindikana kujirekebisha nimeamua kumwachisha kibarua.

Sasa kijana ananivimbia eti siwezi kumwachisha kazi ghafla bila kumpa mafao ya kuacha kazi na atanishtaki labda nimpe malipo ya miezi mitatu (150,000) ili ajipange kupata kazi sehemu nyingine.

Sheria ya ajira za namna hii inasemaje ndugu wana JamiiForums?
Lukonge
Habari!

Zingatia mchangiaji namba nne.
Ingawa ili kujua mwafaka wa kipi hasa kwenye malipo inategemea na msingi wa mkataba wenu.

Kwa kuzingatia mkataba wa ajira mambo mengi yatajitokeza:

1: Ajira hutegemea kama ni ya mkataba au ni ya kudumu.

2: Muda wa matazamio kazini/probation hutegemea na aina ya mkataba, miezi mitatu au sita.

Baada ya hapo re-view hufanyika na kuona kama anarudia probation au anaachishwa kazi kwa kutokukidhi vigezo. Muda wa juu wa probation ni mwaka mmoja tu na si zaidi.

3: Ukimwachisha mfanyakazi ambaye amekaa kazini kwa muda zaidi ya mwaka, automatically atakua amepita kipindi cha matazamio/ probation. Hivyo utahitajika kulipa kulingana na sheria ya kazi.

4: Kulingana na sheria, utatakiwa kumlipa mfanyakazi mshahara wa mwezi mmoja au yeye kukulipa wewe mshahara wa mwezi mmoja kama atatoa notisi ya saa 24

5: Kutakua na suala la mafao ambalo litategemea pia na sheria za kazi kinaweza kuanzishwa kimbembe cha:

A: malipo ya kulipa siku saba kwa kila mwaka aliofanya kazi kwa kulinganisha na malipo yake ya siku.

B: Usafiri wake na alivyonavyo ni nani alipe?

C: Leave allowance/malipo ya likizo

D: Kununua likizo zake kama hakupata kwenda likizo.

E: Malipo wakati wa safari yake

Hapa unaweza kuangalia anachokudai dhidi ya sheria na kufanya maamuzi.
Kwani usumbufu wa kutatua haya ndani ya mfumo wa sheria ni zaidi ya hiyo anayokudai pia muda wako pia utapotea sana.

Labda tu, kusitisha mkataba iwe imetokana na suala kubwa kama wizi/serious misconduct nk.
 
Wanajamvi habarini za asubuhi,

Nilifunga mkataba na muuza duka wangu kwa ajili ya kazi ya duka langu.
Mkataba tuliufunga kwa mtendaji wa kijiji tarehe 7.1.2020.
Mkataba ulikuwa na mashahidi upande wake na mimi.
Pia alidhaminiwa na mtu mmoja mwenye mali zisizohamishika.

Tulikubaliana nitakuwa namlipa tsh 50,000/= kwa mwezi.
Kwa kuwa nina kamgahawa tulikubaliana atakula hotelini kwangu ugali samaki au nyama mara mbili kwa wiki, na siku zingine wali maharage na mbogamboga angepewa kama zitakuwepo.

Pia kwa kuwa alikuwa anatokea wilaya nyingine tulikubaliana nimpe makazi, kitanda na neti na kiwe na umeme ambapo nagharamika mimi.

Makubaliano tulivyoandikishana ilikuwa kwamba nisiporidhika na utendaji wake nina haki ya kumwachisha kazi na niwe nimemlipa malipo yake yote ya 50,000 kwa kila mwezi.

Kwa kuwa utendaji wa kijana umekuwa duni sana na imeshindikana kujirekebisha nimeamua kumwachisha kibarua.

Sasa kijana ananivimbia eti siwezi kumwachisha kazi ghafla bila kumpa mafao ya kuacha kazi na atanishtaki labda nimpe malipo ya miezi mitatu (150,000) ili ajipange kupata kazi sehemu nyingine.

Sheria ya ajira za namna hii inasemaje ndugu wana JamiiForums?
Lukonge
Hii chai, kazi duni toka 2020 na wewe mfanyabiashara ukavumilia, uongo mkubwa.
 
Kima cha chini cha mshahara kwa sasa ni laki 2,, akienda mbele itabidi kwa miezi yote aliyokaa kwako itabidi umuongezee 150,000

Kima cha wapi Mkuu?
Hiyo laki mbili unafikiri mchezo😂😂
Nenda Huko viwandani uone Watanzania wakihenyeka,
Mabadiliko ya sheria za juzi kima cha Chini ukikisikia utaishia kucheka tuu. Ni masikitiko makubwa.

Hiyo laki 2 unayoisema haipo Mkuu.

Huyo jamaa mwenye Duka hakuwahi kuajiri Mfanyakazi. Aliajiri kibarua. Maana ndio mishahara Yao hiyo
 
Wanajamvi habarini za asubuhi,

Nilifunga mkataba na muuza duka wangu kwa ajili ya kazi ya duka langu.
Mkataba tuliufunga kwa mtendaji wa kijiji tarehe 7.1.2020.
Mkataba ulikuwa na mashahidi upande wake na mimi.
Pia alidhaminiwa na mtu mmoja mwenye mali zisizohamishika.

Tulikubaliana nitakuwa namlipa tsh 50,000/= kwa mwezi.
Kwa kuwa nina kamgahawa tulikubaliana atakula hotelini kwangu ugali samaki au nyama mara mbili kwa wiki, na siku zingine wali maharage na mbogamboga angepewa kama zitakuwepo.

Pia kwa kuwa alikuwa anatokea wilaya nyingine tulikubaliana nimpe makazi, kitanda na neti na kiwe na umeme ambapo nagharamika mimi.

Makubaliano tulivyoandikishana ilikuwa kwamba nisiporidhika na utendaji wake nina haki ya kumwachisha kazi na niwe nimemlipa malipo yake yote ya 50,000 kwa kila mwezi.

Kwa kuwa utendaji wa kijana umekuwa duni sana na imeshindikana kujirekebisha nimeamua kumwachisha kibarua.

Sasa kijana ananivimbia eti siwezi kumwachisha kazi ghafla bila kumpa mafao ya kuacha kazi na atanishtaki labda nimpe malipo ya miezi mitatu (150,000) ili ajipange kupata kazi sehemu nyingine.

Sheria ya ajira za namna hii inasemaje ndugu wana JamiiForums?
Lukonge
Ndo Mkataba Tanzania tunataka kuingia na hawa DP
 
Back
Top Bottom