Muuza duka wangu anatishia kunishtaki

Mpe hiyo Hela muachane,ulikosea kumwandikia mkataba.
 
Naomba kama kuna mwenye mfano wa mikataba na wauza duka unaomweka salama mwenye duka atuwekee hapa wengi tufaidike
 
Ulikiwa ni makubaliano, hapo itabidi umlipe jamaa mmalizane kisomi bila kelele.
 
Migogoro mingi ya muajiri na muajiriwa mara nyingi.jamii inakua upande wa muajiriwa kwa kuona kua anaonewa kisa umasikini...huu ni unafki wa wtz wengi kujidai kutetea wanyonge akat mara kibao waajiriwa wanafanya mavitu ya ovyo ukifukuZa jitu linaona limeonewa
 
Wivu wivu tu wa watz
 
Namba 2 au 3 zote unaweza kuzigengea mazingira na ukafanya kazi vyema.
 
Sheria inataka umpetaarifa yakumuachisha kazi miez mitatu kabla then umlipe miez yote ilibaki mkataba uixhe. Akikuxhtak nixhida maan pia 50k nichin ya kima chachin chamxhahar
Na wewe ni Mwanaume unaandika KICHOKO hivi,kizazi kimelaaniwa hiki
 
Point
 
Huo mkataba umekosa sifa haushitakiki mahakamani kwasababu hamkukubaliana ukimfukuza umpe mshahara wa miezi mitatu
 
Mpe hela anayotaka mkuu hata hivyo hiyo 50,000 sio mshahara bhana ni marupurupu ya week
 
Mkataba wowote unapaswa kuwa na kipengele cha kuonesha unaisha lini, na utavunjwaje (ila ya bandari ndio ya milele).

Ungempa hiyo hela kwa kuandikishana na akubali kwamba hatakudai chochote cha ziada. Mkataba ufuatao hakikisha una hivyo vipengele.
 
Soma kwa makini kuhusu mkataba ili umtendee haki kulingana na mkataba.
Nimeona nimlipe tu kadri ya ushauri wa wadau humu, so tushamalizana kwa mtendaji na amekiri kwa maandishi hana cha zaidi tena anachonidai .
 
Huo mkataba umekosa sifa haushitakiki mahakamani kwasababu hamkukubaliana ukimfukuza umpe mshahara wa miezi mitatu
Ukishasema ni mkataba wa ajira, hakikisha unazingatia sheria husika wewe unaetengeneza mkataba.

Kunapotokea tatizo sheria inakwenda kukupitisha kwenye mfumo husika na kuonyeaha matundu yote ili kuwapatieni haki kati yenu.

Hapo ndo kila mmoja atalia kivyake. Ni bira kudunika kombe kwa jinsi ya gharama na muda wako mpaka kugota pwani.
 
Nimeona nimlipe tu kadri ya ushauri wa wadau humu, so tushamalizana kwa mtendaji na amekiri kwa maandishi hana cha zaidi tena anachonidai .
Ni vyema zaidi, pata muda usome Sheria ya ajira na mahusiano mahara pa kazi Tanzania toleo la 2004, itakupa mwangaza wa haya yote. Soma taratibu ili kujua haki za mwajiri na mwajiriwa.
 
Nimeona nimlipe tu kadri ya ushauri wa wadau humu, so tushamalizana kwa mtendaji na amekiri kwa maandishi hana cha zaidi tena anachonidai .
Afadhali umemlipa tupate muda zaidi wa kusoma neno kwa neno kwenye mkataba wa kihuni wa Mwarabu hapo bandari Salama.
Nashangaa sana kutokuona bandari ya Malindi Zanzibar ikihusishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…