Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu Ritz dini yetu hairuhusu majibu ya namna hio. With salaamWapi nimemtetea nimeuliza kuwa mmeza vikete hawezi kutafutwa na Marekani, Marekani wanawatafuta wale vinara wanaosafirisha meli za madawa.
Halafu muulize mama yako jana nilikuwa nae usiku nimempa orodha.
Nimekujibu kiungwana sana kama utataka nikujibu majibu ya kukera karibu sana.
Guns don't kill people..unga haukufuati nyumban kwako..ni ile kituuu..wazungu wanasemaa..curiosity killed the cat
Ujaona yeye kamtaja baba yangu umeshindwa kumuonya yeye alioanza kumuingiza mzazi wangu kwenye mazungumzo yetu tena kaenda mbali mimi na mzazi wangu katuita wauza madawa, siyo leo tu mara nyingi tu ananikosea heshima.Ritz, please brother. That is crossing the redline. Hata kama amekosea, lakini matusi ya kuhusisha mama yake tena????? Nooooo please guys we shouldn't go that far!
Hebu toeni ujinga wenu hapa, Guantanamo bay ni gereza maalum kwa ajili ya Al qaeda na Wamarekani wanataka kulifunga.
Kakamatwa Cuba au USA? maana Cuba hawawezi kumweka Guantanamo bay, hiyo ni jela ya Wamerekani.
Na kama kama kawekwa Guantanamo kama inavyosema post namba moja basi huyo atakuwa kakamatwa na zaidi ya madawa.
Leteni habari sahihi si kila mtu mbumbumbu humu.
Kumbe hawa wafanya hii biashara wanajulikana sasa kwanini hawachukuliwi hatua.
Ole saidimu pole kama nimekuumiza
kama unamfahamu babu mtama mchungu basi Beker utamfahamu huyu jamaa ni Mafia hao wakina Skuba na wenzao huyu ndo boss wao jamaa safari zake siyo South africa yy ni Spain, Colombia, Vietnam jamaa ukiuatilia story zake utakimbia, mtandao wa wauza unga airport, bandari yy kaukamata na ukimuona ni wa kawaida sana
Mkuu bornagainGuantanamo Bay kwa sasa ni sehemu ya Marekani iliyotwaliwa kutoka Cuba kwa mkataba mwaka 1903.
Miaka hiyo Marekani ilikuwa na uhusiano mzuri na Cuba(kabla ya mapinduzi ya kina Castro), hivyo ikawa rahisi kuitisha Cuba kuingia mkataba huo.
Guantanamo kigeografia ni sehemu ya kisiwa cha Cuba, inawaje sehemu hiyo ilimegwa na kuwa sasa sehemu ya Marekani.
Serikali ya kimapinduzi ya Cuba imekuwa ikidai kurudishiwa sehemu hiyo, na hili limtamkwa majuzi hata na kiongozi wa sasa wa Cuba , Raul Castro, katika mazungumzo ya kurudisha uhusiano mzuri kati ya Cuba na Marekani.
Kumbe hawa wafanya hii biashara wanajulikana sasa kwanini hawachukuliwi hatua.
Guns don't kill people..unga haukufuati nyumban kwako..ni ile kituuu..wazungu wanasemaa..curiosity killed the cat
alitakiwa auwawe kabisa.mkuu inauma sana kuona vijana wanavyoangamia imagine awe mtoto wako
anakula madawa utajisikiaje?anyongwe tu huko,hatumuhitaji
Guns don't kill people..unga haukufuati nyumban kwako..ni ile kituuu..wazungu wanasemaa..curiosity killed the cat