Muuza madawa ya kulevya maarufu wa Magomeni "Beka Ranger" akamatwa na polisi

Muuza madawa ya kulevya maarufu wa Magomeni "Beka Ranger" akamatwa na polisi

Guns don't kill people..unga haukufuati nyumban kwako..ni ile kituuu..wazungu wanasemaa..curiosity killed the cat
 
Wapi nimemtetea nimeuliza kuwa mmeza vikete hawezi kutafutwa na Marekani, Marekani wanawatafuta wale vinara wanaosafirisha meli za madawa.

Halafu muulize mama yako jana nilikuwa nae usiku nimempa orodha.

Nimekujibu kiungwana sana kama utataka nikujibu majibu ya kukera karibu sana.
Ndugu Ritz dini yetu hairuhusu majibu ya namna hio. With salaam
 
Guns don't kill people..unga haukufuati nyumban kwako..ni ile kituuu..wazungu wanasemaa..curiosity killed the cat

Hivi unajua jinsi wanavyoingizwa kwenye "addiction route" au unabwabwaja tu sababu you are as curious as a cat!!!
 
Ritz, please brother. That is crossing the redline. Hata kama amekosea, lakini matusi ya kuhusisha mama yake tena????? Nooooo please guys we shouldn't go that far!
Ujaona yeye kamtaja baba yangu umeshindwa kumuonya yeye alioanza kumuingiza mzazi wangu kwenye mazungumzo yetu tena kaenda mbali mimi na mzazi wangu katuita wauza madawa, siyo leo tu mara nyingi tu ananikosea heshima.
 
Hebu toeni ujinga wenu hapa, Guantanamo bay ni gereza maalum kwa ajili ya Al qaeda na Wamarekani wanataka kulifunga.


Guantanamo Bay ni gereza???...tena kwa ajili ya Al Qaeda?? Jeez...wonders shall never seize!!
 
Anyongwe tu, hana sababu za kurejeshwa home. Hawa wanaliangamiza taifa na rasilimali watu kwa pesa za chap chap!
 
Kakamatwa Cuba au USA? maana Cuba hawawezi kumweka Guantanamo bay, hiyo ni jela ya Wamerekani.

Na kama kama kawekwa Guantanamo kama inavyosema post namba moja basi huyo atakuwa kakamatwa na zaidi ya madawa.

Leteni habari sahihi si kila mtu mbumbumbu humu.

wanachukulia Guantanamo kama Segerea hivi
 
Kumbe hawa wafanya hii biashara wanajulikana sasa kwanini hawachukuliwi hatua.
 
kama unamfahamu babu mtama mchungu basi Beker utamfahamu huyu jamaa ni Mafia hao wakina Skuba na wenzao huyu ndo boss wao jamaa safari zake siyo South africa yy ni Spain, Colombia, Vietnam jamaa ukiuatilia story zake utakimbia, mtandao wa wauza unga airport, bandari yy kaukamata na ukimuona ni wa kawaida sana

Kweli ni wa kawaida sana na mcheshi huwezi kumshtukia, nimemjua miaka ya 2002 wakati basoma Muhimbili kwenye mazoezi
 
.. testa babu mtama ni kiboko kweli zamani ukienda kwake utafikiri uko ubalozini..mihuri na viza feki alitengeza sana wakati wakutumiaa passport bandika banduaaaa...ashakumbana na mikasa sanaa hadi kukamatwa na wamarekani baada ya ubalozi kulipuliwa dar....
 
Last edited by a moderator:
Mkuu bornagainGuantanamo Bay kwa sasa ni sehemu ya Marekani iliyotwaliwa kutoka Cuba kwa mkataba mwaka 1903.
Miaka hiyo Marekani ilikuwa na uhusiano mzuri na Cuba(kabla ya mapinduzi ya kina Castro), hivyo ikawa rahisi kuitisha Cuba kuingia mkataba huo.

Guantanamo kigeografia ni sehemu ya kisiwa cha Cuba, inawaje sehemu hiyo ilimegwa na kuwa sasa sehemu ya Marekani.
Serikali ya kimapinduzi ya Cuba imekuwa ikidai kurudishiwa sehemu hiyo, na hili limtamkwa majuzi hata na kiongozi wa sasa wa Cuba , Raul Castro, katika mazungumzo ya kurudisha uhusiano mzuri kati ya Cuba na Marekani.

Guantanamo Bay sio ardhi ya Marekani, ila Wamarekani wanadai kuwa wameruhusiwa kuikodisha ardhi kwa thamani ya Dola 4000 kwa mwaka na wanalipa kodi hio kila mwaka japokuwa serikali ya Castro haiikubali malipo hayo na kutaka ardhi yao wairudishe. Marekani inadai mikataba inasema mpaka pande zote mbili zikubali kurudisha ardhi sio moja tu na yeye haipo tayari kurudisha. Cuba wamedhulumiwa.
 
Last edited by a moderator:
Kumbe hawa wafanya hii biashara wanajulikana sasa kwanini hawachukuliwi hatua.

Nakushauri tafuta scandal ya Iran-Contra-CIA ujisomee uone Mataifa makubwa yanavyojihusisha na hii biashara, kumbuka, si watu binafsi bali Serikali zenyewe ndiyo utapata picha jinsi hii biashara ilivyo complicated.

Jitafutie hicho kisanga ujionee.
 
Ndio maana napenda nchi kama Indonesia. Huko wanawaua wauza unga kwa risasi (firing squad). Juzi waliua watano, mwezi huu kuna wawili wa Australia watapigwa shaba.

Kila mfungwa aliyoomba msamaha wa Raisi amekataliwa.
 
Guns don't kill people..unga haukufuati nyumban kwako..ni ile kituuu..wazungu wanasemaa..curiosity killed the cat

Mwacheni auze anafwata msingi wa imani ya dini yake ya kutoka Makka kwa wachinja watu wanavyofundisha.
 
alitakiwa auwawe kabisa.mkuu inauma sana kuona vijana wanavyoangamia imagine awe mtoto wako
anakula madawa utajisikiaje?anyongwe tu huko,hatumuhitaji


Akiuwawa ndo wataacha kula madawa ya kulevya? Cha msingi uyoo mtoto au ndugu yako anaekula PODA ndo anatakiwa auwawe wakikosa wateja biashara lazima ife. DEMAND ya MATEJA ndo inawafanya DRUG DEALERS kuwa na nguvu kifedha ya kuhonga SERIKALI.

WAFADHILI wakubwa wa drug dealers ni watumiaji/mateja. Sehemu tulipo serikali haina uwezo tena wakuwadhibiti DRUG dealers wanajua kutoa rushwa nzuri. Kitu cha kufanya SERIKALI na wananchi waanze kudhibiti hawa ma sponser aka mateja. Wahakikishe there is no DEMAND na demand ikipungua bei lazima ishuke faida itakuwa ndogo automatically nguvu yao kipesa nayo itapungua ata rushwa kutoa itakuwa changamoto kwao apo SERIKALI ndo itaweza ku deal na DRUG DEALERS.
 
Back
Top Bottom