Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Kinshasa makambo maana ake ni nini?
Swela ni mamaake?makambo maana yake “Tabu/matatizo” sasa hapo wanasema kinshasa makambo ngai mwana moto (kinshasa ina matatizo ,mimi mtoto wa mtu)
katika huo wimbo “Ngugi” Franco anawafananisha watu wa kinshasa na mbu wa jinsi wanavyoongea kwa kumsema anasema , hii ni True story maana watu wa kinshasa walimsema mno mara mchawi nk sasa akawa analalamika kwenye nyimbo zake nyingi mfano kuna moja inaitwa kimpa kisangameni anasema “swela obota ngai, ngai makila mabe mama” akimaanisha kwamba (swela umenizaa na damu mbaya)
Yeap ndio maana ya vice versa... Anasema "Bapapa na miso ya soixante-dix ans bazuaka bana ya" Mbaba wa miaka 70 anadate na msichana wa miaka 18[emoji23][emoji23]Weeeee[emoji1][emoji1]
Nae mara ghafla akawa mariooo?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787]
Binadamu ni kiumbe anayependa kuona kasoro za wenzie kuliko zake
Koffi maisha mengi ni Paris aka Pahis... Mfananao kwenye vocals etc unachanganya sana watu.Hawa nao walikuwa mabest nashangaa koffi Olomide hakuhudhuria msiba wake[emoji15] urafiki huu
Galaxy mbona kuna yule mbibi amehojiwa juzi Kati anasema koffi ni kaka ake!
Ila mi naamini kwa sababu yule mbibi kafanana na yule baba ake koffi hivo hivoo,sema koffi hampendi yule mzee coz hajamlea, kakomaa na bake bandia wa paris[emoji1]
Mtoto wa baba sana na ninapokuambia ni roho ya Koffi just know that... They're like twinsKananipa michongo ya france sasa sijui katanichomoa[emoji15][emoji15][emoji848]
Kananikubali balaa tatizo kila kitu " I ll organize with my dad
Dad this dad that[emoji57][emoji57]
Hapo tu ndo kanaponiboa, mi nakapa michongo ya maana kenyewe kanaendekeza ujinga
Haahaa[emoji1787][emoji1787]Yeap ndio maana ya vice versa... Anasema "Bapapa na miso ya soixante-dix ans bazuaka bana ya" Mbaba wa miaka 70 anadate na msichana wa miaka 18[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Hilo zee lilikuwa linajua sana kuna mmoja unaitwaKWANZA, kiilingala ni lugha inayovutia katika kuimba.
PILI, mkongo akiongea au kuimba kwa kutumia lugha ya kifaransa utanogewa anavyotamka maneno kwa lafudhi yao
TATU, waimbaji wa Zaire hawakuwa waimbaji tu ila walikuwa wapiga vyombo wazuri sana
NNE, wakongo wana asili ya sauti nzuri na wamewaambukiza pia watu wa kigoma, ukimsikiliza Ali Kiba, Diamond, Mwasiti, Upendo Nkone, Chege wamejaaliwa sauti nzuri
TANO,, Wakongo tangu kabla ya Uhuru wanapenda muziki haswaaa, yaani ni ufahari kwa mkongo kujipamba na kuimba hata asipohangaika na madini yao au Mbao inayovunwa na kuibiwa kila siku
Mkongo ajue kuimba vizuri umsifie halafu akishafika Parii (Paris) basi ameshafika hataki mengine.
Kwa mfano, ukisikiliza beat ya nyimbo zenye ujumbe za
Franco wa ''MAMOU'' na ''MARIO''
Tabuley wa ''MUZINA'' au
Madilu wa ''Ya Jean''
Kwani utataka hata kusikiliza kelele za wabongo?
Kabisa mkuuMtoto wa baba sana na ninapokuambia ni roho ya Koffi just know that... They're like twins
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Hapana napenda tu nyimbo zao... At glance nina tracks za singles na album zipatazo 125! Na mpaka usikikize zote ziishe ni zaidi ya sku mbili bila kupause[emoji2] View attachment 1660598
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Kwa kweli sijui wako wapi sasa ila ana watoto wanneHaahaa[emoji1787][emoji1787]
Watoto wake wako wapi
Hahahah umetisha mkuu... Siwez mkosa mtukutu Awilonaiona coupe bibamba ya awilo hapo
Wee ngoma kweli?[emoji15]Hilo zee lilikuwa linajua sana kuna mmoja unaitwa
Yajaa sijui ndo huo ya jean?
Naskia alikufa kwa ukimwi
Yeap... However she's so sociable... Kama upo nae vizuri use that walau Kifaransa na Kilingala upate hapo kitu if hutofanikiwa kufanya nae major projectKabisa mkuu
Swela ni mamaake?
Huu wimbo wa kusangameni ninao kwenye gari yangu, franco alikuwa anafika balaa
Hapana jamani... Rumors za ngoma zilikuwa kwa Franco mpaka akatoa wimbo unaitwa Attention Na Sida .. Wakati huo ukimwi ndio umefika akatoa elimu kwa watu kuchonga sana hata mtu ukiumwa malaria kidogo watakusema una ukimwi.... Huko kafunguka mengi kuhusu ukimwi... UtafuteWee ngoma kweli?[emoji15]
Itakuwa alikuwa na hela sana...nyimbo zake kali balaaKwa kweli sijui wako wapi sasa ila ana watoto wanne
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Hahahah umetisha mkuu... Siwez mkosa mtukutu Awilo
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Huyo akitoka Franco anafuata yeye kwa watu ambao waliweza kutumia sauti zao vizuri kufikisha ujumbe kwa jamiiItakuwa alikuwa na hela sana...nyimbo zake kali balaa
Itakuwa alikuwa na hela sana...nyimbo zake kali balaa
Kwa franco ni kweli mkuuHapana jamani... Rumors za ngoma zilikuwa kwa Franco mpaka akatoa wimbo unaitwa Attention Na Sida .. Wakati huo ukimwi ndio umefika akatoa elimu kwa watu kuchonga sana hata mtu ukiumwa malaria kidogo watakusema una ukimwi.... Huko kafunguka mengi kuhusu ukimwi... Utafute
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app