Gucci, Klein[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maduka yake ni LV, D&G etc
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Palpitation kali..Ukitaka kujua bozi anajua au hajui sikiliza nyimbo hizi
Pere Noil Confiance na palpitation
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Duuuh,Hawa si wanajichubua!
Last month nilikuwa Lubumbashi, wacongo wanapenda bata asee!
Taa zinaongozwa na skeleton, asubuhi asubuhi wako wako bar wanapiga ulabu huku wamepiga ming'ao ya kufa mtu, ila wanapenda watanzania Sana
Nilipata na mchepukoo[emoji23][emoji23][emoji23]( joke )
Mtoto mtam sana huyo ngozi ya pesaNa ana katako flani ka kishenzi
Mmmmh...nilikuwa najua nimeacha ila watu bado wanakomaa na mimi, ikabidi niukubali ukweli[emoji848]Dah!!! hapo sina changu basi, [emoji23] kumbe na wewe sister Du mimi huwa nakusoma naona kama u sister Du ulishaacha
Oya Petit hivi defao yupo?[emoji23] mchepuko akakupakia vumbi lao lile
Defao naye itakuwa starehe zimemponza maana sasa hana kitu
Na ana katako flani ka kishenzi
Tumatako tenesi[emoji2][emoji39]Na ana katako flani ka kishenzi
Givenchy.. Kapo so class... Modeling industry yule.. Afu anapataga mipunga kutoka kwa magazines mbali mbaliGucci, Klein
Pisi kali zilikuwa zinampa K buuuree bila hata shilingi[emoji848]wamefaidi sana pisi kali hao wazee, imagine unapenda totoz na una jina na pesa
Oya Petit hivi defao yupo?
Niliskia kajichubua sana mpka kawa kama papai
Lakini mbona jamaa lilikuwa na kipaji sanaYule madilu ushirikina umemuua
Anategemea waganga kuliko Mungu
Pisi kali zilikuwa zinampa K buuuree bila hata shilingi[emoji848]
Ovyoo kabisa, kuambulia umeme na huku hujala hela zake kisa shobo dundoo
Hata koffi ana huu mchezo, k za bure[emoji1751]
Duh kweli amekwisha yaani anawaimbia nyang'au?yupo anaishi Kenya, amejichubua balaa yani kawa kama mwanamke kwa kifupi ametisha sana na uzee umemuijia, siku hizi ana perform kwenye bar za kenya huko
Umesemaje?Nimekutumia message PM
Huhuuu sawa bossKama unakumbuka kila tukio basi ni juzi tu
Uzee Mbona bado sana[emoji41]
Mmmmh...nilikuwa najua nimeacha ila watu bado wanakomaa na mimi, ikabidi niukubali ukweli[emoji848]
Zipo zipo sema alikosa airtime ya kutosha... Nilinunua kanda yake so nilimjua kitambo...Palpitation kali..
Nyimbo chache tuu
Ukimwi ndio umetuondolea hawa wazee wetu, wakati ule hakuna hata ARV'SHilo zee lilikuwa linajua sana kuna mmoja unaitwa
Yajaa sijui ndo huo ya jean?
Naskia alikufa kwa ukimwi
Mama bishoo au siyo[emoji2]Mmmmh...nilikuwa najua nimeacha ila watu bado wanakomaa na mimi, ikabidi niukubali ukweli[emoji848]