Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Hahaha inaonekana wanapenda uchawi sanaWacongo wanalogana sana hasa mambo ya nyota
Imagine hii juzi Kati nimeenda kule kikazi, kitaa nikakutana na mmaza hivi ananiambia eti mume wangu ananiloga na anataka kuniua so anipe dawa ya kutegua tego...nikamwambia maza acha ungese basi[emoji848]
Umemsahau Yondo hata Faya Tessi lizuri sana sema lishazeeka ssaWee....acha hizo mambo, Tshala Muana na Mbilia Bel wamewafaidi sana hao wazee na bado wapo
Kumbuka Mbilia Bel alikuwa na Tabu Key na Tabu Ley hakufa kwa Ngoma alisettle na Bel,
Hao wamama walipokuwa wasichana walikuwa wazuri sana wa sura, nyonga laini na Sauti ndio usiseme.
Mimi kweli kama Mwanaume nasema kabisa nisingeweza kuwa kauzu kwa Tshala Muana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kipaji kilikuwepo sana pale, na alikuwa mbunifu wakati wazee wenzie walikwepa kucheza na vibinti kwenye nyimbo yeye akawa anacheza navyo
Hivi hilo lizee bongoman lipo bado?Halafu huyo mzee si mchicha mwiba?
Mi nampenda bongo man baba kizuri hilo, halafu halizeeki
Nyoshi bhana ana majigambo sana
Heee yupo tena yuko fit kuliko wacongo wote wanamuziki, mzuri balaa na hajichubui anaishi London na mke wakeHivi hilo lizee bongoman lipo bado?
Linasemaga eti watanzania wanaume ni " machafu sana ( sio wachafu machafu[emoji23]hahahaha[emoji1787] na hicho ndicho kinafanya nimkubali yani ana sifa kama zote yule jamaa, anadai yeye na wenzie ndio walioanzisha kuvaa vizuri hapo Dar
Halafu huyo mzee si mchicha mwiba?
Mi nampenda bongo man baba kizuri hilo, halafu halizeeki
Mfuatilie Pacho Mwamba kwenye kipindi chake cha UTV sjui kinaitwa bana bakongo kama sijasahau... Misifa kwenye kuvaa si kitotoLinasemaga eti watanzania wanaume ni " machafu sana ( sio wachafu machafu[emoji23]
Linasemaga eti watanzania wanaume ni " machafu sana ( sio wachafu machafu[emoji23]
Utaskia "nna mashemeji kila mkoa"hahahaha[emoji1787] na hicho ndicho kinafanya nimkubali yani ana sifa kama zote yule jamaa, anadai yeye na wenzie ndio walioanzisha kuvaa vizuri hapo Dar
Balaaa, mara ananiambia anataka kuniuzia mvuto niuweke kwenye uchi duuuh....nikamwambia maza eeh kaushaHahaha inaonekana wanapenda uchawi sana
[emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1]weehahahaha[emoji1787] ila wadada pia wanasema hivyo so huenda ni kweli, juzi hapa kuna manzi ananilalamikia ex wake alikuwa ananuka mbupu
Ngoja ntacheki, linapiga pamba balaaMfuatilie Pacho Mwamba kwenye kipindi chake cha UTV sjui kinaitwa bana bakongo kama sijasahau... Misifa kwenye kuvaa si kitoto
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Kajitunza sana na anasa inaonekana..Heee yupo tena yuko fit kuliko wacongo wote wanamuziki, mzuri balaa na hajichubui anaishi London na mke wake
Utaskia "nna mashemeji kila mkoa"
Halafu eti usijichubue kama huna hela kama Mimi"
Jamaa anajikubali sana
Wee linaliwa bana Mombasa[emoji848] watu wanajua! Na ndo maana kastick hapo humtoiwatoto wa mjini darisalama wanasema jamaa ni kweli ni mchicha mwiba ila yeye anakana vikali hizi tuhuma
kanda Bongo man naikubali ngoma yake inaitwa nzambe nadhani
Duh makubwa hayo ,bila shaka atakuwa kaweka hiyo dawa na kwake hahahajBalaaa, mara ananiambia anataka kuniuzia mvuto niuweke kwenye uchi duuuh....nikamwambia maza eeh kausha
Kule congo kuna vituko sana, ukisikia kupinda watu nenda kule utacheka hadi ufe
50 cent hajaoa? namuonaga na yule mtoto wa kiume[emoji23] mwenye mi sifa mwingine ni 50 cent aisee yule jamaa angekuwa mbongo angekuwa muhaya, anadai ana majiko zaidi ya mawili nyumbani kwake na huwa hapiki
Alipenda au wao ndio walimpenda?Da tatizo walipenda sana totoz hasa huyo madilu