Nyokoo sana batu ba congo[emoji1]Duh makubwa hayo ,bila shaka atakuwa kaweka hiyo dawa na kwake hahahaj
Balaaa, mara ananiambia anataka kuniuzia mvuto niuweke kwenye uchi duuuh....nikamwambia maza eeh kausha
Kule congo kuna vituko sana, ukisikia kupinda watu nenda kule utacheka hadi ufe
Hatariii... Linasemaga lilimtransform Kanumba mpaka akawa anatupia pamba kinoma... Mcongo bora akose chakula na si mkorogo au pamba kaliNgoja ntacheki, linapiga pamba balaa
Hiii Si je se versa ni daima hio Ngoma. Madiluuu systemmkuu tafuta hizi
Franco & Madilu - la leponse de mario
Madilu - pie mboyo
Madilu- sije saversa
Ukiwa star lazima totoz zikufate tu kakaAlipenda au wao ndio walimpenda?
Yondo sister yuko Paris, hana miwaya sema kamezeeeka balaa, juzi nimekaona youtube kalikuwa airport kanajificha cameraKajitunza sana na anasa inaonekana..
Wale kina yondo sister wako wapi yule Dada itakuwa kashika waya maana dah
Wee linaliwa bana Mombasa[emoji848] watu wanajua! Na ndo maana kastick hapo humtoi
Bongo man mkali, siku hizi anashona nguo London
Mauno yapo kweli? HahahYondo sister yuko Paris, hana miwaya sema kamezeeeka balaa, juzi nimekaona youtube kalikuwa airport kanajificha camera
Kako kazee sana[emoji1]
50 cent hajaoa? namuonaga na yule mtoto wa kiume
Kwa kuwa mdau wa ukweli wa bana bakongo na una bolingo na burudani zao... Chukua hii ya kumalizia Jpili..Yondo sister yuko Paris, hana miwaya sema kamezeeeka balaa, juzi nimekaona youtube kalikuwa airport kanajificha camera
Kako kazee sana[emoji1]
Hii nakubali, pale hoteli nilikuwa nalala Lubumbashi inaitwa Reca hotel ( kama kuna mtu alishawahi fika hapo )wale wacongo walinzi ni wanapiga pamba balaa na mikorogo na mashati ya kung'aa...imagine mlinzi wa hotel[emoji848][emoji15]Hatariii... Linasemaga lilimtransform Kanumba mpaka akawa anatupia pamba kinoma... Mcongo bora akose chakula na si mkorogo au pamba kali
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Waow thank u ngoja niisikilizieKwa kuwa mdau wa ukweli wa bana bakongo na una bolingo na burudani zao... Chukua hii ya kumalizia Jpili..
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1487][emoji1487][emoji1487].... Wale si poa aiseee... Sema wanajikubali sana which is good sometimesHii nakubali, pale hoteli nilikuwa nalala Lubumbashi inaitwa Reca hotel ( kama kuna mtu alishawahi fika hapo )wale wacongo walinzi ni wanapiga pamba balaa na mikorogo na mashati ya kung'aa...imagine mlinzi wa hotel[emoji848][emoji15]
Pamoja sana... Jifunge kitu afu uchezeshe miguu kwa kuzunguka zunguka yu gonna feel it deep down ur brain...Waow thank u ngoja niisikilizie
Anasema sio wake!atakuwa hajaoa maana anaishi peke yake, yeah ana watoto wawili wa kiume,alimkataa mmkubwa
Hayawezi kuisha hayooMauno yapo kweli? Hahah
Acha nikakaoe kama bado yapo Yale ya zamani.Hayawezi kuisha hayoo
Oya petit Lucas Mobutu defao huyu hapa kaja mwenyewe
Anasema sio wake!
Hivi kwanini waamerica hawataki kuoa? Men at 50's bado tu hawaii[emoji848][emoji15]
Huwa inanishangaza sana
Sio wanaogopa mambo ya pre nup agreement?ndio, dogo alikuwa mtundu na baba ake naye hakuwa anampenda hivyo akamkataa
wale jamaa hata sijui ni kwanini lakini hata hivo hawazeeki