Muziki kutoka nchini Zaire (sasa ni D.R.C) uliwezaje kutamalaki na kupendwa sana hapa Tanzania ilhali tumepakana na jirani wengine takribani 6?

Muziki kutoka nchini Zaire (sasa ni D.R.C) uliwezaje kutamalaki na kupendwa sana hapa Tanzania ilhali tumepakana na jirani wengine takribani 6?

Hatariii... Linasemaga lilimtransform Kanumba mpaka akawa anatupia pamba kinoma... Mcongo bora akose chakula na si mkorogo au pamba kali

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Hii nakubali, pale hoteli nilikuwa nalala Lubumbashi inaitwa Reca hotel ( kama kuna mtu alishawahi fika hapo )wale wacongo walinzi ni wanapiga pamba balaa na mikorogo na mashati ya kung'aa...imagine mlinzi wa hotel[emoji848][emoji15]
 
Hii nakubali, pale hoteli nilikuwa nalala Lubumbashi inaitwa Reca hotel ( kama kuna mtu alishawahi fika hapo )wale wacongo walinzi ni wanapiga pamba balaa na mikorogo na mashati ya kung'aa...imagine mlinzi wa hotel[emoji848][emoji15]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1487][emoji1487][emoji1487].... Wale si poa aiseee... Sema wanajikubali sana which is good sometimes

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom