Muziki kutoka nchini Zaire (sasa ni D.R.C) uliwezaje kutamalaki na kupendwa sana hapa Tanzania ilhali tumepakana na jirani wengine takribani 6?

Wote majunk aisee[emoji24]

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Huyo wa job fununu eti kapigwa kipapai

Huyu wa kuzima anajiandaa kwenda church ( ndo rafiki yangu kuliko wote hao) eti alidhulumu mtu shamba kigamboni akalambwa albadili[emoji848][emoji848][emoji848][emoji26]

Huyo wa baruti eti aliwazingua watoto wa kihindi (alikwangua gari yao then akaleta ubabe) wakaamua kumlipua

Hizo zote ni fununu jamani si unajua kitaa, ila nimeogopa balaa, nimejikuta leo nimekuwa mtakatifu gabriel, natamani kumpigia kila mtu goti[emoji1751][emoji1751]
 
Loooh aiseee... [emoji33][emoji33][emoji22]

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
Pole sana kuwapoteza rafiki zako.

Wapumzike kwa amani.

Huu mwezi watu wameondoka wengi sana aisee.
 
Duh... Vifo vyote ni vya mikono ya watu!
 
Serious mkuu sitanii[emoji848]

Nikifanikiwa kuvuka salama huu mwaka sitausau mpaka siku nazima[emoji26] ...kifo nje nje yaaan
Mpaka nimetaman kukuambia at least we need to meet before crossing 2020...huu mwaka bomu sana... Wengi wamezama deara....sikiliza Sauti Sol Midnight train at least you can have some energy

Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
 
Gone too soon. So sad aisee.. Na marehemu pia walikuwa wanafahamiana?
Yes very close si unajua si vijana, mtaa mmoja yaan[emoji134][emoji134]

( Tena fununu zingine zikaendelea kuwa wametolewa kafara coz walipiga deal kwa mwarabu wote kwa pamoja ndo wakatolewa misukule)

Yaan hapa nimedata mweeeh[emoji26][emoji26][emoji1751][emoji134]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…