witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Huyo wa job fununu eti kapigwa kipapai
Huyu wa kuzima anajiandaa kwenda church ( ndo rafiki yangu kuliko wote hao) eti alidhulumu mtu shamba kigamboni akalambwa albadili[emoji848][emoji848][emoji848][emoji26]
Huyo wa baruti eti aliwazingua watoto wa kihindi (alikwangua gari yao then akaleta ubabe) wakaamua kumlipua
Hizo zote ni fununu jamani si unajua kitaa, ila nimeogopa balaa, nimejikuta leo nimekuwa mtakatifu gabriel, natamani kumpigia kila mtu goti[emoji1751][emoji1751]