Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Halafu mahitaji ya vumbi la Congo yanasababisha tuwe na ukaribu sana na hawa wajomba.Wanajua sana kupiga guitar na wengi wao wana sauti nzuri. Sababu ni nini labda kwa ufahamu wako?...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu mahitaji ya vumbi la Congo yanasababisha tuwe na ukaribu sana na hawa wajomba.Wanajua sana kupiga guitar na wengi wao wana sauti nzuri. Sababu ni nini labda kwa ufahamu wako?...
Hahahahaaa, mkuu hadi wewe unatumia hii kitu?Halafu mahitaji ya vumbi la Congo yanasababisha tuwe na ukaribu sana na hawa wajomba.
Upo sahihi mkuu. Mapigo mengi ya wasanii wa hapa bongo yanafanana sana na wale wenzao wanaotokea West AfrikaNi baada ya wakina AY na hasa Diamond kuiga iga nyimbo za huko
Hakika DRC ndio mabingwa wa muziki hapa Afrika. Tanzania tunapaswa kujitahidi na kuja kuwa kama wao.Mziki wao ni mzuri kiasi kwamba hata kama hufahamu kilingala ile lugha yao wanayo itumia ni lazima utafurahia tu na kama kungekuwa na Kombe la Dunia la Muziki basi DRC kila mara wangekuwa wanashinda wao tu na hilo Kombe kubaki huko huko kwao Milele.
Zamani wakati ninakunywa beer nilikuwa ninapenda sana wimbo huu wa NDAYAEe Ni wimbo wenye sauti nyororo iliyopangika
Mwamba anaonekana yupo vizuri sana katika idara hiiumetisha mzee baba
Ila Muziki wa Nigeria ni kama sampling ya muziki wa Congo.Mziki was Kongo bado unapendwa na upon juu zaidi ya harmony na mondi, mziki was bongo fleva hakuna wanachoimba cha maana.Nigeria Iipo juu kimziki kwa sababu wememodify ngoma zao na kufanya mziki wa kisasa.Mziki hujiuza wenyewe, ndio maana hats nachi za kiihinfi hupendwa TZ japi hatujui kihindi.
Nyimbo zao tamu sana,japo relics zinanichanganya lkn ujumbe nauelewa.Anaitwa Franco Makiadi...
Unajua kuhoji kijanaKwanini ni muziki wa Zaire tu na sio hizo nchi zingine zilizopakana na Tanzania? Waliwezaje kuwa "the best"? Ipi ni siri ya mafanikio yao?
Hii kitu ya congo ni hitaji la kila mzalendo hapa nchiniHahahahaaa, mkuu hadi wewe unatumia hii kitu?
Eti "Kila Mzalendo" hahahahaaaaaHii kitu ya congo ni hitaji la kila mzalendo hapa nchini
ThanksUnajua kuhoji kijana
Kwanini za nchi zingine zisiwe tamu? Wana-fail wapi?Nyimbo zao tamu sana,japo relics zinanichanganya lkn ujumbe nauelewa.
Mapigo ya mbaaali wanafananaIla Muziki wa Nigeria ni kama sampling ya muziki wa Congo.
e.g Sikiliza Chop Money ya P Square.
Mkuu, au wewe ndiye yule anayejiita Manji wa Muziki kule TBC FM (Radio Tanzania)?Edward Masengo na Mwenda John Bosco wa Bayeke ambao wana undugu fulani (cousins) ni wakongomani-sikilza ucharazaji wao wa box guitar. Hao ni kati ya generation ya kwanza ya wanamuziki toka Kongo kabla ya kuingia kizazi cha pili Grand Kalle, Grand Maitre Franco etc.
Wakati huo na sisi mziki wetu ulikuwa unavuma sana huko Kenya ama la?Kulikuwa na nyimbo nyingi sana za mtindo wa twist za akina Fadhili William, Edward Masengo, Mwenda John Bosco, Haji Fundi Konde, Equator Sound Boys na wengine wengi.
luambo makiadi njoo tumuenzi Baba la baba wa Muziki kama MuzikiAnaitwa Franco Makiadi...