Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,424
Hapo kwa babu bozzii ongezea hii kitu hatari weka mbali na watoto "Tembe na Tembe"Hizo za madilu zote ninazo mkuu... Ngoja nitafute hiyo colabo...
Nakulipa kwa
Faya Tess-Mongali
Reddy Amis-Rendez vous
Barbara Kanam-Lisanga ya ba mbanda
Bozi Boziana-Pere Noel de Confiance
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Hahahha bila kusahau palpitationHapo kwa babu bozzii ongezea hii kitu hatari weka mbali na watoto "Tembe na Tembe"
Miaka ya 1970 upo secondary? Shikamoo baba...
Kuna nyimbo aliimba kofii na marehem papa wemba ukiskiza jamaa wanavyopishanisha pumzi hadi raha. Hawa jamaa acha kabisa.Hizo za madilu zote ninazo mkuu... Ngoja nitafute hiyo colabo...
Nakulipa kwa
Faya Tess-Mongali
Reddy Amis-Rendez vous
Barbara Kanam-Lisanga ya ba mbanda
Bozi Boziana-Pere Noel de Confiance
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Mkuu umenikumbusha song makini kabisa Koffi analalamikia mapenzi unaitwa Choc hutojuta mkuuKuna nyimbo aliimba kofii na marehem papa wemba ukiskiza jamaa wanavyopishanisha pumzi hadi raha. Hawa jamaa acha kabisa.
Kuna jamaa yangu yy anaamini kama uko kwa muumba kutakuwa na nafasi ya kujitetea basi hawa jamaa na wenzao wasauzi itabid waachiwe tu kwa jinsi yanavyojua kulalama kwa hisia kali ya kutoka ndani[emoji23][emoji23][emoji23]
Bila kusahau Fouta DjallonMkuu umenikumbusha song makini kabisa Koffi analalamikia mapenzi unaitwa Choc hutojuta mkuu
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Zaire wanatishaSikiza kibao Cha Grande Kalle kiitwacho "Felicity" tangu miaka ya 1950 fan Anisha na chochote kati ya nchi hizo miaka yote
Daaah, raha sana mkuu
Hii album ya V12 ilikuwa moto mzee.... Nilikuwa na kanda yake nyeupeDaaah, raha sana mkuu
Ninyi ndio wahenga sasa, inashangaza vijana wenzangu waliowasikiliza TID na Juma Nature wanajiita wahengaMarahaba
Heshima yako pia
Mkuu humu kuna wahenga wengi ambao tumevuka 50 zamani
Ila umenikumbusha mbali sana kwenye tasnia ya muziki
Nimejikuta nawakumbuka enzi hizo wale wakali kutoka Cameroon na Ghana
Osibisa ni WaGhana walionzisha bend yao London mwaka 1969 nimewasikiliza sana enzi hizo kina Teddy Osei, Sol Amarfio, Kofi Ayivor nk
Pia kulikuwa na (Late)Manu Dibango mkameroon
Alietuburudisha sana enzi hizo kwa kibao chake cha Soul Makossa 1972
Shukran umenirudisha mbali sana
Ninyi ndio wahenga sasa, inashangaza vijana wenzangu waliowasikiliza TID na Juma Nature wanajiita wahenga
Mi mwenyewe na usista duuu wangu lkn nazipenda
Kitu " papa mobimba eeh, daya shop"
Nampenda sana le grand mopao
Kwanza avatar imenifurahisha... Kisha turudi kwa Papa Ngwasuma/Mobimba aka Mopao Mokonzi... Yaani lijitu likubwa na mapesa mengi sana.. Kwa ufupi ndiye mwanamuziki tajiri kuliko wote DRC na ana aka nyingi kama ifuatavyo... Quadra Kora Man, Grand Mopao Mokonzi, Patraõ, Le Rambo, Nkolo Lupemba, Mokolo Bilanga, Ackram Ojé, Légende,L'Homme Aux Mille Idées, Jeune Pato,Le Grand Ché, Légende, Milkshake[emoji2]Nilidhani ni mimi tu ninaempenda mopao... Kumbe tupo wengi
Baba angu atafikisha 53 January 21 2021Baba yangu ana miaka 68 mwaka huu.
Kinshasa makambo maana ake ni nini?Umesahau Ngungi (mbu) by Franco and Tabuley!!.nilienda Likasi miaka fulani ulipgwa ule wimbo "Wakongo walilia machozi !!Aah Kinshasa Makambo!!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
70's uko sekondari?[emoji849][emoji849][emoji15][emoji15]Hili swali ni gumu kidogo maana nakumbuka miaka ya 70 wakati nipo sec tulikuwa tunazisililiza sana
Pia kwenye radio walikuwa wanaweka sana labda wazaire wa kuja ndio walikuja na miziki yao
Halafu zamani Radio za Africa zilikuwa pia zinapayikana kwa urahisi ikiwa na maana tulikuwa more advanced kiliko sasa ( [emoji24])
Nakumbuka hata graduation zilikuwa bila miziki yao hapakaliki
Daa umenifanya nisilikilize Mbale na (Kiam)Memi pamoja na Kasongo maana zile bits sio za dunia hii
Heee li madilu linajua asee[emoji849][emoji849][emoji15]Usisahau Madilu "Aminata" huu wimbo haupiti siku bila kuusikiza..
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Hivi alikufa na nini?
Voisinmkuu tafuta hizi
Franco & Madilu - la leponse de mario
Madilu - pie mboyo
Madilu- sije saversa
Unaitwa "Wake upKuna nyimbo aliimba kofii na marehem papa wemba ukiskiza jamaa wanavyopishanisha pumzi hadi raha. Hawa jamaa acha kabisa.
Kuna jamaa yangu yy anaamini kama uko kwa muumba kutakuwa na nafasi ya kujitetea basi hawa jamaa na wenzao wasauzi itabid waachiwe tu kwa jinsi yanavyojua kulalama kwa hisia kali ya kutoka ndani[emoji23][emoji23][emoji23]