Muziki wa Warekani Weusi hasa hiphop ni sumu, Wazazi na walezi tujitahidi kuwaepusha watoto na huu ujinga

Sure kabisa music industry inatumia rapa wabovu kuwa attack Black Americans, ukifatilia vizuri marapa real huishia kuuwawa tu... RIP TUPAC, BIGGIE, NIPSEY HUSTLE, XXX TENTACION, nawengineo ambao walikua revolutional kwenye industry.
 
Reggae music for life
 
Huyu ni Ricky Rozay

I love my big booty bitches, my life a Godfather picture
Local club in my city, I fell in love with a stripper
Bitches know I'm that nigga, talkin' four-door Bugatti
I'm the life of the party, let's get these hoes on the Molly
u know i came 2 stunt so drop dat pussy bitch
i got what u want drop dat pussy bitch
Film it film it bitch wants me 2 film it
🔥🔥🔥🔥
 
SIO KILA MUZIKI WA HIPHOP NI SUMU
 
Sasa mbona ulicho andika unasapoti hoja ya mtoa Mada. Issue sio hip hop imefanya nini au asili yake ni nini. Issue ni kwamba currently hip hop iko corrupted na jumbe za hovyo.
 
Sasa mbona ulicho andika unasapoti hoja ya mtoa Mada. Issue sio hip hop imefanya nini au asili yake ni nini. Issue ni kwamba currently hip hop iko corrupted na jumbe za hovyo.
Wewe ndio ujanielewa hip hop yenye ujumbe mzuri hipo na hip hop yenye ujumbe mbaya hipo ni chaguo lako unaamua kusikiliza ipi
 
Hivi unajua wazazi wa sasa ndio walichosikiliza utotoni ?, Kwahio kama wewe unajiona upo sawa (haukuathiriwa na hizo Hip Hop kwanini hawa ambao hawasikilizi sana ndio wapate athari) ?

Kama mtoto / kijana wako anaweza akawa swayed na kila anachosikia redioni / kwenye TV basi haujafanya kazi yako vizuri.... Kwahio akiona na kwenye movies wanapigana shaba achukue bunduki na yeye akapige majirani zake ?
 
Get ya blow mind, keep it up, shizzo ya dizzo, muziki wa kimarekani ndio ulitamba sana duniani na tz ikaibuka bongo flavour yenye mitundo na vionjo vya muziki wa kimarekani. Enzi za 2pac, notorious big, big punnisher, fat joe, ice cube, snoop dog doggy, puff daddy, lil kim, quee latifah, aaliyah, eve, miss eliot na wengine wengi tuliwajua na kuwafuatilia miziki yao lakini haikutuathiri. Milegezo na kuongea lugha yao tuliwaiga sana tu tukiwa shuleni at the end tulifanya vizuri shuleni.
 
Huyu ni Ricky Rozay

I love my big booty bitches, my life a Godfather picture
Local club in my city, I fell in love with a stripper
Bitches know I'm that nigga, talkin' four-door Bugatti
I'm the life of the party, let's get these hoes on the Molly
Huu wimbo ukishinda tuzo kwenye speech utasikia "I wanna thank God..........."
 
Hata hao wa hapo kwetu wanaoimba 'Basi Nitongoze', ndiyo wanaopaswa kuepukwa zaidi, kwani usambazwaji wake una nafasi ya kuifikia sehemu kubwa ya jamii yetu.

Ieleweke kuwa, hata cheche ya moto inayotoka kwenye jiko lililo jirani nawe zaidi, ndiyo inayounguza sana kuliko ile inayotoka kwenye jiko lililo mbali na wewe.

Kabla hatujamkanya mtoto wa jirani kwa wizi, basi tuwakanye na wakwetu kwa udokozi. Juzi tu hapa imetoka video ya muziki yenye matukio ya binti kubakwa.

Kwa nguvu hiihii ya kuwasema wasanii wa Marekani, tuwaseme na hawa kwetu ambao mimi naona ni hatari zaidi.

Ova
 
Sio marekani tu hata huku afrika hakuna serikali inayopenda jamii ipate kilicho bora kutoka kwenye mziki.
mfano mzuri hapa kwetu Tanzania wasanii wanao imba nyimbo za kuielimisha jamii na kuikosoa serikali hawapendwi kbs na dola( Roma, ney wa mitego etc)

Kwa hivyo umeeleza vizuri sana lkn maelezo Yako sijaona yakikanusha kile alichokisema mtoa mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…