Tetesi: MV CHATO Kuzinduliwa kabla ya mwaka 2020 Oktoba

Tetesi: MV CHATO Kuzinduliwa kabla ya mwaka 2020 Oktoba

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Nitawaletea mesej kama ilivyotumwa

''Huyu mzee sijui anataka kutupeleka wapi, sisi wabunge WA CCM tukipiga kelele tunaonywa,
Ishu ya Chato mnatake it as a joke lakin mambo haya si ya kukingia kifua, hata hao wanaojipendekeza kuanzisha anzisha mambo yasiyo na msingi, Suala la Uwanja haukukamilika inavyopaswa, Leo wanazindua Burigi, Kesho kutwa sijui nini, kwa taarifa tu ni kwamba bado kuna mengi sana, vipi ishu ya Kuhamisha na kufanya mnada wa mifugo wa Ukanda wote wa ziwa kuwa Geita Chato hamuoni?
Kuna Suala la Kuanza kwa MV chato Haitafika mwakani bila kuzinduliwa, Je wanachato wana mahitaji yao kamili mengine kama Madawa, na huduma za kijamii mpaka kuanzisha mbuga, Mara airport, Mara Meli, Kwanini chato?''

Mwisho wa kunukuu


WhatsApp Image 2019-07-09 at 6.42.57 PM.jpeg


Britanicca
 
Nitawaletea mesej kama ilivyotumwa
''Huyu mzee sijui anataka kutupeleka wapi, sisi wabunge WA CCM tukipiga kelele tunaonywa,
Ishu ya Chato mnatake it as a joke lakin mambo haya si ya kukingia kifua, hata hao wanaojipendekeza kuanzisha anzisha mambo yasiyo na msingi, Suala la Uwanja haukukamilika inavyopaswa, Leo wanazindua Burigi, Kesho kutwa sijui nini, kwa taarifa tu ni kwamba bado kuna mengi sana, vipi ishu ya Kuhamisha na kufanya mnada wa mifugo wa Ukanda wote wa ziwa kuwa Geita Chato hamuoni?
Kuna Suala la Kuanza kwa MV chato Haitafika mwakani bila kuzinduliwa, Je wanachato wana mahitaji yao kamili mengine kama Madawa, na huduma za kijamii mpaka kuanzisha mbuga, Mara airport, Mara Meli, Kwanini chato?''
Mwisho wa kunukuu
View attachment 1150003
Britanicca

Aliyejenga Wembley ni nani?, au UN makao makuu kuwa New York ni nani? Tuache ushamba
 
Nitawaletea mesej kama ilivyotumwa

''Huyu mzee sijui anataka kutupeleka wapi, sisi wabunge WA CCM tukipiga kelele tunaonywa,
Ishu ya Chato mnatake it as a joke lakin mambo haya si ya kukingia kifua, hata hao wanaojipendekeza kuanzisha anzisha mambo yasiyo na msingi, Suala la Uwanja haukukamilika inavyopaswa, Leo wanazindua Burigi, Kesho kutwa sijui nini, kwa taarifa tu ni kwamba bado kuna mengi sana, vipi ishu ya Kuhamisha na kufanya mnada wa mifugo wa Ukanda wote wa ziwa kuwa Geita Chato hamuoni?
Kuna Suala la Kuanza kwa MV chato Haitafika mwakani bila kuzinduliwa, Je wanachato wana mahitaji yao kamili mengine kama Madawa, na huduma za kijamii mpaka kuanzisha mbuga, Mara airport, Mara Meli, Kwanini chato?''

Mwisho wa kunukuu


View attachment 1150003

Britanicca
kinyago mmekichonga wenyewe afu ninyi wenyewe mwakiogopa.

kuleni shubiri yenu shubamit!
 
Hahaha chato wanabahati wana wabunge wawili, wanaye waziri,mwenyekiti wa ccm taifa na rais, bahati iliyoje.Mtaambiwa muanzishe mtaala wa kisukuma mashuleni na mtatekeleza, hahaha chezea wasukusu nyie. Kwasasa wote wako chato, ku pongeza.
Mlisema Nkapa alifanya biashara ikulu?! Sasa hii sijui huyu mtasema alifanya nini ikulu.
 
Acheni wivu wa kike kwa Chato , hapo Chato watakaa watanzania, mchukieni Muhusika ila sio wana Chato, Chato ni Tanzania sio Noukchott
Mbwa wewe ! Watanzania gani watakaa chato? Mtu Wa mtwara ataenda kukaa chato Kwa shughuli ipi?
Kwanini kila kitu chato na isiwe kigoma? Au lindi? Chato kuna kipi cha muhimu kuzidi mbeya au mtwara?
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
Hahaha chato wanabahati wana wabunge wawili, wanaye waziri na rais, bahati iliyoje.Mtaambiwa muanzishe mtaala wa kisukuma mashuleni na mtatekeleza, hahaha chezea wasukusu nyie. Kwasasa wote wako chato, ku pongeza.
Mlisema Nkapa alifanya biashara ikulu?! Sasa hii sijui huyu mtasema alifanya nini ikulu.
 
Mbwa wewe ! Watanzania gani watakaa chato? Mtu Wa mtwara ataenda kukaa chato Kwa shughuli ipi?
Kwanini kila kitu chato na isiwe kigoma? Au lindi? Chato kuna kipi cha muhimu kuzidi mbeya au mtwara?
Nilikua ninataka kukujibu , ila umenisononesha kuniita Mbwa, Samahani kwa kukwaza haikua lengo langu.

Nakuomba ujiheshimu
 
Utashangaa siku unaambiwa mwanao amepangiwa wilayani Chato au amemuoa mtoto na ukweni ni Chato

Hapo umenena,mwana wa Magufuli akiolewa nje ya Chato,Magufuli hataona aibu kumwacha mwanae aende sehemu ambayo makusudically alizi ignore..hivyo hakuna maji,madawa..usafiri...au atataka mkwe nae akae Chato..mnh
 
Back
Top Bottom