hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Hahaha
Chatoooo.
Jiji ndani ya kijiji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chatoooo.
Jiji ndani ya kijiji.
Takataka hii,peleka jalalani ufipaNitawaletea mesej kama ilivyotumwa
''Huyu mzee sijui anataka kutupeleka wapi, sisi wabunge WA CCM tukipiga kelele tunaonywa,
Ishu ya Chato mnatake it as a joke lakin mambo haya si ya kukingia kifua, hata hao wanaojipendekeza kuanzisha anzisha mambo yasiyo na msingi, Suala la Uwanja haukukamilika inavyopaswa, Leo wanazindua Burigi, Kesho kutwa sijui nini, kwa taarifa tu ni kwamba bado kuna mengi sana, vipi ishu ya Kuhamisha na kufanya mnada wa mifugo wa Ukanda wote wa ziwa kuwa Geita Chato hamuoni?
Kuna Suala la Kuanza kwa MV chato Haitafika mwakani bila kuzinduliwa, Je wanachato wana mahitaji yao kamili mengine kama Madawa, na huduma za kijamii mpaka kuanzisha mbuga, Mara airport, Mara Meli, Kwanini chato?''
Mwisho wa kunukuu
View attachment 1150003
Britanicca
Steiner at 86 is retired and tiredSteinar mtoe huyo mbaba kwenye office,akiendelea mpaka 2025 tumekwisha...hana hata mshipa wa aibu
Ondoa hofu, trust me, 2020 is almost near ! Watanzania wote ni sawa, wana haki sawa, na wanahitaji kunufaika na cake ya taifa kwa usawa.Steinar mtoe huyo mbaba kwenye office,akiendelea mpaka 2025 tumekwisha...hana hata mshipa wa aibu
Hata mi nmejiskia vibaya mkuu...jamaa katumia maneno makali sanaNilikua ninataka kukujibu , ila umenisononesha kuniita Mbwa, Samahani kwa kukwaza haikua lengo langu.
Nakuomba ujiheshimu
Na Chato mnaitakia ya Butiama?Butiama kuna nini zaidi ya kaburi la yule Mzee [emoji3][emoji3]
Kwani wewe unakatazwa kwenda kukaa Chato? Kama unataka maendeleo nenda Chato. Mbona Dar kuna makabila yote ya Tanzania na mengine. Kuliko kukalia wivu na shutuma hamia Chato ufaidi.Steinar mtoe huyo mbaba kwenye office,akiendelea mpaka 2025 tumekwisha...hana hata mshipa wa aibu
Mkuu inakera kwa sababu ichi hii sehemu kibao watu wanateseka kwa kukosa maji safi na salama ya kunywa. Kwanini Londo la miradi isiyo na mashiko chato afu watu mnajitoa ufahamu ku supportNilikua ninataka kukujibu , ila umenisononesha kuniita Mbwa, Samahani kwa kukwaza haikua lengo langu.
Nakuomba ujiheshimu
Kwani wewe unakatazwa kwenda kukaa Chato? Kama unataka maendeleo nenda Chato. Mbona Dar kuna makabila yote ya Tanzania na mengine. Kuliko kukalia wivu na shutuma hamia Chato ufaidi.
Kuzidi Mbeya- kuna Ziwa victoria, kuna mbuga za wanyama mpya. Raisi wa nchi wa sasa anatoka ChatoMbwa wewe ! Watanzania gani watakaa chato? Mtu Wa mtwara ataenda kukaa chato Kwa shughuli ipi?
Kwanini kila kitu chato na isiwe kigoma? Au lindi? Chato kuna kipi cha muhimu kuzidi mbeya au mtwara?
Mbwa wewe ! Watanzania gani watakaa chato? Mtu Wa mtwara ataenda kukaa chato Kwa shughuli ipi?
Kwanini kila kitu chato na isiwe kigoma? Au lindi? Chato kuna kipi cha muhimu kuzidi mbeya au mtwara?
Angekuwepo mwl nyerere angemfunga huyoHahaha