Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vipi ishu ya Kuhamisha na kufanya mnada wa mifugo wa Ukanda wote wa ziwa kuwa Geita Chato hamuoni?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ufipa mnalia kwa kua migombani kutahamia chato ....Ondoa hofu, trust me, 2020 is almost near ! Watanzania wote ni sawa, wana haki sawa, na wanahitaji kunufaika na cake ya taifa kwa usawa.
Haya anayoyafanya asidhani watanzania wote wanamuunga mkono. Asifikiri pale chimwaga kuwa wote watakao piga kura kuwa wanatoka chato au kanda ya ziwa.
By your information, Pale chimwaga siku hiyo patachimbika and it will be a history....from Zero to Hero! Jamaa hatoamini atakachokiona na ndoto yake ya kutawala milele itaishia pale Chimwaga in July, 2020.
Haya kakinge buku 7 yako.Acheni wivu wa kike kwa Chato , hapo Chato watakaa watanzania, mchukieni Muhusika ila sio wana Chato, Chato ni Tanzania sio Noukchott
Butiama kuna nini zaidi ya kaburi la yule Mzee [emoji3][emoji3]
Acheni wivu wa kike kwa Chato , hapo Chato watakaa watanzania, mchukieni Muhusika ila sio wana Chato, Chato ni Tanzania sio Noukchott
Atahakikisha wanaoenda Chato wana punguzo la Nauli...wait and see..lol
kinyago mmekichonga wenyewe afu ninyi wenyewe mwakiogopa.
kuleni shubiri yenu shubamit!
Naomba ahamishe bahari ya Dar tufe kwa njaa
Acheni wivu wa kike kwa Chato , hapo Chato watakaa watanzania, mchukieni Muhusika ila sio wana Chato, Chato ni Tanzania sio Noukchott
Takataka hii,peleka jalalani ufipa
Kwani upo kamati gani mkuu?Ondoa hofu, trust me, 2020 is almost near ! Watanzania wote ni sawa, wana haki sawa, na wanahitaji kunufaika na cake ya taifa kwa usawa.
Haya anayoyafanya asidhani watanzania wote wanamuunga mkono. Asifikiri pale chimwaga kuwa wote watakao piga kura kuwa wanatoka chato au kanda ya ziwa.
By your information, Pale chimwaga siku hiyo patachimbika and it will be a history....from Zero to Hero! Jamaa hatoamini atakachokiona na ndoto yake ya kutawala milele itaishia pale Chimwaga in July, 2020.
Huu Uzi utanitapisha bure,uharo mwingi sana
Tetesi ndio utuaminishe. Hovyo kabisa.Nitawaletea mesej kama ilivyotumwa
''Huyu mzee sijui anataka kutupeleka wapi, sisi wabunge WA CCM tukipiga kelele tunaonywa,
Ishu ya Chato mnatake it as a joke lakin mambo haya si ya kukingia kifua, hata hao wanaojipendekeza kuanzisha anzisha mambo yasiyo na msingi, Suala la Uwanja haukukamilika inavyopaswa, Leo wanazindua Burigi, Kesho kutwa sijui nini, kwa taarifa tu ni kwamba bado kuna mengi sana, vipi ishu ya Kuhamisha na kufanya mnada wa mifugo wa Ukanda wote wa ziwa kuwa Geita Chato hamuoni?
Kuna Suala la Kuanza kwa MV chato Haitafika mwakani bila kuzinduliwa, Je wanachato wana mahitaji yao kamili mengine kama Madawa, na huduma za kijamii mpaka kuanzisha mbuga, Mara airport, Mara Meli, Kwanini chato?''
Mwisho wa kunukuu
View attachment 1150003
Britanicca
Ondoa hofu, trust me, 2020 is almost near ! Watanzania wote ni sawa, wana haki sawa, na wanahitaji kunufaika na cake ya taifa kwa usawa.
Haya anayoyafanya asidhani watanzania wote wanamuunga mkono. Asifikiri pale chimwaga kuwa wote watakao piga kura kuwa wanatoka chato au kanda ya ziwa.
By your information, Pale chimwaga siku hiyo patachimbika and it will be a history....from Zero to Hero! Jamaa hatoamini atakachokiona na ndoto yake ya kutawala milele itaishia pale Chimwaga in July, 2020.
Kwani wewe unakatazwa kwenda kukaa Chato? Kama unataka maendeleo nenda Chato. Mbona Dar kuna makabila yote ya Tanzania na mengine. Kuliko kukalia wivu na shutuma hamia Chato ufaidi.
Kwa hiyo Ile meli kubwa na mpya inayojengwa ziwa Victoria ambayo ni ya mwanza _ Bukoba itapitia chato?
Sasa hiyo si ni daladala sasa
Yaani watu wa Bukoba huu ni mwaka WA nne hawana Meli na kuna bandari mbili kule mtu unajengea Meli chato?
keshokutwa mkoa huo ndugu, wanatafuta vijiji gani kuwa wilaya kwa sasaChatoooo.
Jiji ndani ya kijiji.