Tetesi: MV CHATO Kuzinduliwa kabla ya mwaka 2020 Oktoba

Tetesi: MV CHATO Kuzinduliwa kabla ya mwaka 2020 Oktoba

Ondoa hofu, trust me, 2020 is almost near ! Watanzania wote ni sawa, wana haki sawa, na wanahitaji kunufaika na cake ya taifa kwa usawa.

Haya anayoyafanya asidhani watanzania wote wanamuunga mkono. Asifikiri pale chimwaga kuwa wote watakao piga kura kuwa wanatoka chato au kanda ya ziwa.

By your information, Pale chimwaga siku hiyo patachimbika and it will be a history....from Zero to Hero! Jamaa hatoamini atakachokiona na ndoto yake ya kutawala milele itaishia pale Chimwaga in July, 2020.
Tuseme ameen
 
Ingia website ya NHC tu wasikiana nao kwa Simi ,email au Soma maelezo yao au nenda ofisi yeyote ya NHC popote Tanzania watakuelekeze waambie unataka kiwanja Chato .NHC Wana ofisi nchi nzima.
Asante
 
Aliyejenga Wembley ni nani?, au UN makao makuu kuwa New York ni nani? Tuache ushamba
Hivi mifano yako hii unaiona 'relevant' kwa mambo yanayoandikwa katika mjadala huu, au unaona wachangiaji wote hamnazo isipokuwa wewe peke yako?
 
Hivi mifano yako hii unaiona 'relevant' kwa mambo yanayoandikwa katika mjadala huu, au unaona wachangiaji wote hamnazo isipokuwa wewe peke yako?f

Katika majibu yote naona hili limekufikirisha sana
 
Ndio je,wewe ni Robot,kuna watu am sure wamekufa kwa kukosa dawa,wakati kuna jitu moja linaona likajenge uwanja wa mpira kwao...halafu unakuta mtu kama wewe una support huu upuuzi...lazima tukuulize kama una feelings

Naomba tuheshimiane Dada yangu
 
Back
Top Bottom