KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Siku nyingine uwe na 'sensitivity' ya mawazo ya wachangiaji wengine kwenye mambo mazito yanayohusu Taifa letu.
This is not a joking matter at all!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku nyingine uwe na 'sensitivity' ya mawazo ya wachangiaji wengine kwenye mambo mazito yanayohusu Taifa letu.
Siku nyingine uwe na 'sensitivity' ya mawazo ya wachangiaji wengine kwenye mambo mazito yanayohusu Taifa letu.
This is not a joking matter at all!
sorry bro,
ngoja nifute,
Nauli ya kwenda chato kwa Airbus ni sh ngapi wadau?
Heri ya ushamba kuliko ujinga! Kwahiyo Wembley au New York zilijengwa kwa matakwa ya mtu mmoja bila mpango wa kitaifa??Aliyejenga Wembley ni nani?, au UN makao makuu kuwa New York ni nani? Tuache ushamba
Usidanganye. Watu hatukulia daraja la Rufiji lilipojengwa. Na Msoga haijajengwa kama Chato.Hili Jambo huwa nalishangaa Sana watu wanapiga kelele km vile chato ni Rwanda. Chato ni Tanzania na yakipatikana maendeleo huko still ni maendeleo ya Tanzania. Maendeleo yakifanyika Dar hawahoji na Wala hawaoni ajabu,
Mkapa alijenga daraja la Rufiji watu walilia Ivyo ivyo Leo tunaona faida zake. Msoga imejengwa Leo tunaona faida zake. Na chato ni hivyo ivyo
Heri ya ushamba kuliko ujinga! Kwahiyo Wembley au New York zilijengwa kwa matakwa ya mtu mmoja bila mpango wa kitaifa??
Ufute ili iweje..uko sahih kbs
Ukisema hamkulia kipindi Cha daraja la Rufiji sio kweli. Na unadai msoga haijajengwa km chato, lakini si imejengwa? na haifanani naile msoga ya kabla yakujengwa?Usidanganye. Watu hatukulia daraja la Rufiji lilipojengwa. Na Msoga haijajengwa kama Chato.
Ni kweli hatukulia. Lile daraja kwanza limechelewa kujengwa. Safari ya kwenda kusini ilikuwa inachukua hata wiki kutokana na ubovu wa kipande kile cha barabara haswa masika. Mtu kuhamishiwa mikoa ya kusini ilionekana ni adhabu kutokana na adha ya usafiri. Hapa tunaongelea athari iliyopatikana kwa mikoa ya Lindi na Mtwara kulinganisha na kasehemu kamoja kanakoitwa Chato kanachopendelewa kupita kiasi. Kwani Msogwa kumejengwa nini cha maana kinacho stand out kwamba paonekane pamependelewa sana?Ukisema hamkulia kipindi Cha daraja la Rufiji sio kweli. Na unadai msoga haijajengwa km chato, lakini si imejengwa? na haifanani naile msoga ya kabla yakujengwa?
Mkuu Jambo moja unalopaswa kulijua na kulielewa ni kuwa Tanzania ni moja na watanzania niwamoja. Maendeleo yoyote yanayofanyika ndani ya Tanzania ni yawatanzania haijalishi ni mkoa au Kanda gani.Ni kweli hatukulia. Lile daraja kwanza limechelewa kujengwa. Safari ya kwenda kusini ilikuwa inachukua hata wiki kutokana na ubovu wa kipande kile cha barabara haswa masika. Mtu kuhamishiwa mikoa ya kusini ilionekana ni adhabu kutokana na adha ya usafiri. Hapa tunaongelea athari iliyopatikana kwa mikoa ya Lindi na Mtwara kulinganisha na kasehemu kamoja kanakoitwa Chato kanachopendelewa kupita kiasi. Kwani Msogwa kumejengwa nini cha maana kinacho stand out kwamba paonekane pamependelewa sana?
Mkuu Jambo moja unalopaswa kulijua na kulielewa ni kuwa Tanzania ni moja na watanzania niwamoja. Maendeleo yoyote yanayofanyika ndani ya Tanzania ni yawatanzania haijalishi ni mkoa au Kanda gani.Ni kweli hatukulia. Lile daraja kwanza limechelewa kujengwa. Safari ya kwenda kusini ilikuwa inachukua hata wiki kutokana na ubovu wa kipande kile cha barabara haswa masika. Mtu kuhamishiwa mikoa ya kusini ilionekana ni adhabu kutokana na adha ya usafiri. Hapa tunaongelea athari iliyopatikana kwa mikoa ya Lindi na Mtwara kulinganisha na kasehemu kamoja kanakoitwa Chato kanachopendelewa kupita kiasi. Kwani Msogwa kumejengwa nini cha maana kinacho stand out kwamba paonekane pamependelewa sana?
Nalijua sana. Kwanza kubali maelezo niliyokupa kabla. Sentensi yako ya mwisho ni uongo wa dhahiri. Usipojenga hospitali Tandahimba ukajenga Chato Tandahimba watakuwa wamepata huduma ya afya?Mkuu Jambo moja unalopaswa kulijua na kulielewa ni kuwa Tanzania ni moja na watanzania niwamoja. Maendeleo yoyote yanayofanyika ndani ya Tanzania ni yawatanzania haijalishi ni mkoa au Kanda gani.
Unastahili kuitwa mbwa kutokana na kutokujitambua kwako!.. Nchi hii ni kubwa na maeneo mengi yako nyuma ktk miundombinu na huduma za kijamii. Kuendelae kupeleka miradi chato kwa upendeleo wa kiasi hicho ni kutowatendea haki watanzania. Acha kushabikia upumbavuNilikua ninataka kukujibu , ila umenisononesha kuniita Mbwa, Samahani kwa kukwaza haikua lengo langu.
Nakuomba ujiheshimu
Na je ukijenga tandahimba usipo Jenga chato je chato watakuwa wamepata huduma ya afya? Elewa kuwa kila Jambo na wakati wake. Chato wakishapata hiyo miundo mbinu wanakuwa tayari wamejitosheleza. Baada ya hapo inafuatia sehemu (mkoa au wilaya) nyingine. Mwisho wa siku tunakuwa natanzania nzima iliyozungukwa na miundo mbinu Bora.Nalijua sana. Kwanza kubali maelezo niliyokupa kabla. Sentensi yako ya mwisho ni uongo wa dhahiri. Usipojenga hospitali Tandahimba ukajenga Chato Tandahimba watakuwa wamepata huduma ya afya?
Acha ujuha. Leo ndio umelijua hili? Miaka yote kila kitu Dar mbna hamkuongea? Arusha na Kilimanjaro wananini zaidi? Madam chato sio Somalia acha wajenge tuUnastahili kuitwa mbwa kutokana na kutokujitambua kwako!.. Nchi hii ni kubwa na maeneo mengi yako nyuma ktk miundombinu na huduma za kijamii. Kuendelae kupeleka miradi chato kwa upendeleo wa kiasi hicho ni kutowatendea haki watanzania. Acha kushabikia upumbavu
Britannica mbona una expose source, unamuweka jamaa kwenye mazingira magumu ni rahisi sana ku trace waheshimiwa wenye namba zinazoishia na 23
Uhuru Kenyatta anapaita Chatu! Chato napo ni Tanzania jamani,maendeleo yakiwa pale bado ni maendeleo ya Tanzania na sio Congo
Kwahiyo tulipe kisasi kwa kupeleka miradi yote chato?...Bado naamini kuwa watanzania tunatakiwa kuweka vipaumbele vyetu vya maendeleo na huduma za jamii kwa uwiano sawa bila upendeleo au ubaguzi. Tanzania ni yetu sote. Tusishabikie mambo ya hovyo yanapofanywa na viongozi wetuA
Acha ujuha. Leo ndio umelijua hili? Miaka yote kila kitu Dar mbna hamkuongea? Arusha na Kilimanjaro wananini zaidi? Madam chato sio Somalia acha wajenge tu
nzi wa kijani wewe.Acheni wivu wa kike kwa Chato , hapo Chato watakaa watanzania, mchukieni Muhusika ila sio wana Chato, Chato ni Tanzania sio Noukchott