MV MWANZA " Hapa Kazi Tu" yashushwa Majini, ni furaha kuu Jijini Mwanza!

MV MWANZA " Hapa Kazi Tu" yashushwa Majini, ni furaha kuu Jijini Mwanza!

Lile fisadi la msoga hawajalipa nishani/tuzo ya mawe kwenye frame kwa mchango wake kama walivyofanya kwenye bwawa la nyerere? HAPA KAZI TU
 
Tukio liko mubashara TBC

Watu ni Wengi sana sana kwa kweli hii ni Baraka

Wafuasi wa vyama wakiwa Ndani ya sare zao nao wapo CCM, Chadema na ACT Wazalendo

Mungu ni Mwema wakati Wote
Ni mjinga tu ndiye anayeweza kufurahia meli kushushwa majini, kwa hiyo baada ya hapo bei za chakula zitashuka pia?
 
Na Bwanku Bwanku.

Leo Jijini Mwanza kumefanyika tukio kubwa la kihistoria katika Nchi yetu ambapo Meli kubwa na ya Kisasa sana ya MV Mwanza hatimaye imeshushwa kwenye maji kwenye Ziwa Victoria kuelekea kuanza kutoa huduma kuwahudumia wananchi kwenye eneo zima la Maziwa Makuu.

Akizungumza kwenye hafla ya ushushaji wa Meli hiyo majini leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Huduma za Meli nchini Ndugu Eric Hamissi amesema ujenzi wa Meli hii kubwa ya Kisasa ulianza mwaka 2019 na wakati Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani Machi 2021, ujenzi wa reli hii ulikuwa umefikia chini ya asilimia 40, lakini ndani ya muda mfupi wa Uongozi wa Rais Dkt. Samia tayali ujenzi wake umefikia asilimia 82, ikiwa hatua za mwisho kukamilika.

Ujenzi wa Meli hii kubwa umeigharimu Serikali Bilioni 109 na itakuwa na uwezo wa kubeba watu 1,200 na Tani 400 kwa mpigo na kurahisisha usafiri na kuchochea uchumi eneo la Bandari ya Mwanza kuelekea Bukoba na eneo zima la Maziwa Makuu kuelekea Uganda na Kenya.

Meli hii ina hospitali ndani, ina ghorofa 4 na lifti za kurahisisha kupanda ghorofa ndani na kuingilia , ina uwezo wa kupambana na hali mbaya ya hewa, ina migahawa na restaurant za kisasa ndani pamoja na eneo la kucheza mziki ili kuondoa uchovu kwa wasafiri, ina ingine kubwa ya kisasa ya akiba na mengine mengi.

#HakunaKilichosimama
#KaziInaendelea
FB_IMG_1676198486207.jpg
FB_IMG_1676198481153.jpg
FB_IMG_1676198470487.jpg
 
Rekebisha kwanza kishwa cha habari kisomeke hivi HELA ZA WATANZANIA ZINAENDELEA ......na sio ...
 
Hiyo meli imekarabatiwa, au imeundwa? Mbona kwa nje ina muonekano mbaya sana! Anyway, hongereni kwa kuizindua hiyo meli yenu.
 
Issue ya gari ni personal na ni subject maintenance ya gari na mwenye gari! Meli ni public property ambayo inatia mashaka sana kwa Tanzania tulivyo na uangalifu wa vifaahivi!
Kwa hiyo tusinunue wala kujenga sababu tuna mashaka.? Basi watu wa bukoba wasijenge nyumba sababu kuna tishio la tetemeko. Tusipande ndege sababu precisionair iliua. Tusisafiri na mabasi ambayo ni public transport maana yanapata ajali.
 
Kwa hiyo tusinunue wala kujenga sababu tuna mashaka.? Basi watu wa bukoba wasijenge nyumba sababu kuna tishio la tetemeko. Tusipande ndege sababu precisionair iliua. Tusisafiri na mabasi ambayo ni public transport maana yanapata ajali.
Huyo Retired ni mchagga pori!
 
Hahahaahaaa! Wao waendelee kupanda milima kwa miguu, boti na meli watuachie sisi.
lakini jinsi mungu anavyotisha ndio sehemu kwenye uchumi bora kuliko kwenu!!!kuanzia uchumi wa jumla na wa mtu mmoja mmoja!;,hapo nani mjanja?
 
lakini jinsi mungu anavyotisha ndio sehemu kwenye uchumi bora kuliko kwenu!!!kuanzia uchumi wa jumla na wa mtu mmoja mmoja!;,hapo nani mjanja?
Kwenye list ya matajiri ishirini Tanzania, zaidi ya yule Marehemu mmachame ambaye naye utajiri aliufuata pwani, nionyeshe hao matajiri huko kwenu… Angalizo: usilete matajiri wa insta… sijui billionaire Msuya, sijui nani sijui!

AE9EFE6E-BA3F-4C24-9474-4D303EBA7EA5.png
 
Back
Top Bottom