Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe njoo PM ujieleze😂mambo ni marahisi tu.....😂 Hebu nenda katupie kapicha kule selfika na JF
Ebu weka picha yake uthibitishe maneno yakoSasa unakuwaje single mtoto mzuri?
Mkoa gani huo hauna mvua kipindi hiki.Nipo mkoani hakuna mvua nyie wa dar ndo mna matatizo 😂😂😂😂
Hii ndio Ile my love wako,na yeye ana my luv wake 🤣🤣🤣🤣🤣DadeekiiiiKabisa, maana unaweza kuta unabembeleza mtu kumbe na yeye ana mtu wake huko anabembeleza😂 hell no🚮
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kweli hizi mvua hizi[emoji23][emoji23].
Mimi nipo kujibu PM za watu ambazo nilizipotezea sijui tangu mwezi wa ngapi sijui[emoji23]
vitu kama hivi havihitaji haraka.... 😂we kaa chini chukua mda wako fikiria afu uje kunipatia mrejesho😂 take your time.....😂😂 Sitaki
Kuna kitu umefikiria ndo maana umecheka...ndo hicho nilitaka kusema[emoji41]Malizia tu[emoji23]
Here's a tall black man, handsome and a worked out body, God fearing Christian man But mentally and financially unstable
mzee nimepaliwa huku ujue 😂Hizi mvua sio nzuri kabisa
View attachment 2590365