Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama jina tu huwezi kulitamka, unategemea niniKitilya kapitaaa
Kwenye karatasi si kuna picha😂😂😂😂Kama jina tu huwezi kulitamka, unategemea nini
Hujajibu swali acha kuruka rukaChumbani Kama wewe
Ulitaka jibu ganiHujajibu swali acha kuruka ruka
La kuhusu kutazama picha ukiwa chumbani!Ulitaka jibu gani
Nimekujibu kwenye hilo mimi ni kama weweLa kuhusu kutazama picha ukiwa chumbani!
Kwani mie nawe tunalala chumba kimoja?Nimekujibu kwenye hilo mimi ni kama wewe
Umeuliza kuhusu kutazama picha ukiwa chumbani! Sio kulalaKwani mie nawe tunalala chumba kimoja?
Wananchi walizuiliwa kuondoka kwa kuzungushiwa na machuma (nadhani umeyaona). Siyo kwamba ni kwa mahaba yao.Leo mvua kubwa inanyesha Dar es Salaam. Hata hivyo, haikuwazuia wananchi wa majimbo ya Ubungo na Kibamba kwenda kumsikiliza Rais John Magufuli
Mbona nyie ni wasahaulifu hivyo? Kumbe tetemeko lile lililowaletea watu wa Bukoba maafa liliiletea pipa neema ya kutafuna pesa za rambi rambi?Mvua imempa Ubunge Kitila kilaini kabisa
Kama Rais Magufuli ni pipa, basi Kitila ndiye mfuniko wake. Kama mvua isingenyesha Dar leo, huenda hili tusingeliona.
INAWEZEKANA, kwamba mvua hii ya leo, ndiyo imempa Ubunge Profesa Kitila Mkumbo.