Uchaguzi 2020 Mvua iliwanufaisha Profesa Kitila na Dkt. Magufuli

Uchaguzi 2020 Mvua iliwanufaisha Profesa Kitila na Dkt. Magufuli

Juma Katolila said:
Kama Rais Magufuli ni pipa, basi Kitila ndiye mfuniko wake. Kama mvua isingenyesha Dar leo, huenda hili tusingeliona.
INAWEZEKANA, kwamba mvua hii ya leo, ndiyo imempa Ubunge Profesa Kitila Mkumbo.
Kumbe tetemeko lile lililowaletea watu wa Bukoba maafa liliiletea pipa neema ya pesa za rambi rambi na fursa ya kuzitafuna! Hivyo hivyo na mvua iliyowaletea wakazi wa Dar es Salaam maafa yawezekana itawaletea neema pipa na mfuniko wake...neema ya ushindi katika uchaguzi utakaogubikwa na rushwa, wizi na ubabe wa dola tarehe 28/10/2020?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wadau,

Leo mvua kubwa inanyesha Dar es Salaam. Hata hivyo, haikuwazuia wananchi wa majimbo ya Ubungo na Kibamba kwenda kumsikiliza Rais John Magufuli na wagombea Ubunge wa majimbo hayo kwenye Mkutano wa hadhara pale Mburahati....
Kitila bwana! Ulivyopitishwa kugombea Ubungo ukaona uje kama Katolila JF?
Ungekuja tukujuavyo tupambane kihalisia
Screenshot_20201013-225144.jpg
 
Ina maana hao watu tunaoambiwa wanafuata burudani ya muziki tu kwenye mikutano ya ccm nao walikubali kunyeshewa na mvua?

Au hao tunaoambiwa wanabebwa kwenye malori ndio walikubali mvua iwanyeshee?

Au hao ni wanafunzi tunaoambiwaga kuwa ndio hujaza mikutano ya ccm siku hizi?
 
Ina maana hao watu tunaoambiwa wanafuata burudani ya muziki tu kwenye mikutano ya ccm nao walikubali kunyeshewa na mvua?

Au hao tunaoambiwa wanabebwa kwenye malori ndio walikubali mvua iwanyeshee?

Au hao ni wanafunzi tunaoambiwaga kuwa ndio hujaza mikutano ya ccm siku hizi?
Dawa ilikuwa kususia mkutano, sasa mkutano umejaa kuliko yote iliyofanywa na wagombea wengine hapo Chato halafu mnaenda kurusha mawe… ujue sometimes CCM mnakuwa mabata sana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dawa ilikuwa kususia mkutano, sasa mkutano umejaa kuliko yote iliyofanywa na wagombea wengine hapo Chato halafu mnaenda kurusha mawe… ujue sometimes CCM mnakuwa mabata sana?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mie sina upumbavu wa kushabikia vyama vya siasa nina akili zangu timamu siwezi kushikiwa akili na hawa wanasiasa,ila nilikuwa nauliza tu hao waliyonyeshewa na mvua kwenye mkutano wa CCM ni akina nani?

Ni wale wanaofuata wasanii tu au ndio wanafunzi tunaoambiwa wanaletwa kwenye kujaza mikutano ya ccm au ndio wauza maduka waliyolazimishwa kufunga maduka na kwenda kwenye mkutano wa ccm?
 
Mie sina upumbavu wa kushabikia vyama vya siasa nina akili zangu timamu siwezi kushikiwa akili na hawa wanasiasa,ila nilikuwa nauliza tu hao waliyonyeshewa na mvua kwenye mkutano wa ccm ni akina nani? ni wale wanaofuata wasanii tu au ndio wanafunzi tunaoambiwa wanaletwa kwenye kujaza mikutano ya ccm au ndio wauza maduka waliyolazimishwa kufunga maduka na kwenda kwenye mkutano wa ccm?
Dawa ilikuwa kususia mkutano, sasa mkutano umejaa kuliko yote iliyofanywa na wagombea wengine hapo Chato halafu mnaenda kurusha mawe… ujue sometimes CCM mnakuwa mabata sana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie sina upumbavu wa kushabikia vyama vya siasa nina akili zangu timamu siwezi kushikiwa akili na hawa wanasiasa,ila nilikuwa nauliza tu hao waliyonyeshewa na mvua kwenye mkutano wa ccm ni akina nani? ni wale wanaofuata wasanii tu au ndio wanafunzi tunaoambiwa wanaletwa kwenye kujaza mikutano ya ccm au ndio wauza maduka waliyolazimishwa kufunga maduka na kwenda kwenye mkutano wa ccm?
Haya mambo ukisimuliwa unaweza ona NI uongo ila leo nimejionea hatujaenda kazini badala yake tumeambiwa tukampokee samia,kufika eneo la tukio na fuso mbili zimekuja zimejaza watu
 
Kila mahali kuna Bango la Meko. Tunakaribia kumaliza Kampeni na bado sijaona bango hata moja la Tundu Lissu.

Swali: anawezaje kupata Nyomi kwenye mikutano ya hadhara bila ya matangazo? System wangetafakari hili swali sana maana jibu lake linaweza kuwaelimisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nlikuaga sins mpango wowote wa kupiga kura na kupoteza mda wangu ktk foleni ya upigaji kura
Lakini safari hii namuomba ALLAH anijaalie uhai na afya njema ntakwenda kupiga kura kwa ajili ya Lisu tu[emoji123]
 
Mjomba Magu katupa pole Ubungo kwa kutengwa kimaendeleo.Kumbe Ubungo imepuuzwa kwa miaka kibao sababu eti ya kuwa chini ya upinzani.Tokea enzi za Mkapa waliipuzia .Hata miundo mbinu tunayoiona ni kwasababu ni gateway ya kwenda pahala pengine.
Halafu hapo hapo anakuambia Maendeleo Hayana Vyama...!!!!
 
mbona hicho kitu wapiga kura wa kawaida hawakijui?
Wale wa ukoo wako watajua wapi wakati aliyehudhuria shule ni wewe pekee. Usiwasemee nje ya ukoo wako maana hujatumwa.
Ila hawa wanajuwa.

 
Back
Top Bottom