Uchaguzi 2020 Mvua iliwanufaisha Profesa Kitila na Dkt. Magufuli

Uchaguzi 2020 Mvua iliwanufaisha Profesa Kitila na Dkt. Magufuli

Haya mambo ukisimuliwa unaweza ona NI uongo ila leo nimejionea hatujaenda kazini badala yake tumeambiwa tukampokee samia,kufika eneo la tukio na fuso mbili zimekuja zimejaza watu
Kwahiyo mnalazimishwa kupanda hizo fuso ni hiari kupanda na kwenda huko kwenye mkutano?
 
Ndio hatutaki kutest hiyo theory kwamba usipoenda kinatokea nini kwahiyo tukiambiwa twende tunaenda,tunachukulia kama public holiday tu, kwa nini tugombane na serikali vitu vidogo
Huo ulazima unashikiliwa na nini yani kwamba ukigoma kwenda nini kinatokea?
 
Mngekuwa na tume huru mngejua kilichomtoa kanga manyoya.
 
Mvua imempa Ubunge Kitila kilaini kabisa

Leo mvua kubwa inanyesha Dar es Salaam. Hata hivyo, haikuwazuia wananchi wa majimbo ya Ubungo na Kibamba kwenda kumsikiliza Rais John Magufuli na wagombea Ubunge wa majimbo hayo kwenye Mkutano wa hadhara pale Mburahati.

Mkutano ulikuwa na sababu zote za kutofanikiwa. Kwanza ulipangwa asubuhi saa mbili, siku ya kazi, mvua ilikuwa kubwa na mambo mengine madogomadogo.

Cha ajabu, watu hawakujali mvua. Uwanja ukajaa watu kiasi kwamba Rais Magufuli alizungumza kwa hisia sana kwenye Mkutano huo. Alisema hajawahi kuona mapenzi ya aina ile.

Mkutano huo ungeahirishwa ungekuwa pasua kichwa kubwa kwa wagombea Kitila Mkumbo wa Ubungo na Issa Mtemvu wa Kibamba.

Kusingekuwa na Mvua, mkutano ule ungefanyika na kumalizika kama mingine ya kawaida. Mvua imebadilisha mambo.

Ikamfanya Rais Magufuli alazimike kuahidi kitu palepale uwanjani. Ikafanya ghafla maelfu yale ya watu waliolowa watengeneze bond na Rais na wabunge wao.

Kwa hiyo Kitila akaambiwa aseme anataka nini. Naye, bila kusita, akasema. Moja kwa moja, wananchi wakajua sasa wana mtu ambaye ana click na Rais.

Kama Rais Magufuli ni pipa, basi Kitila ndiye mfuniko wake. Kama mvua isingenyesha Dar leo, huenda hili tusingeliona.

INAWEZEKANA, kwamba mvua hii ya leo, ndiyo imempa Ubunge Profesa Kitila Mkumbo.
Ushuzi tupu
 
Kughairisha ni kisomari cha wapi?? U guys are killing mama Kiswahili
 
Ndio hatutaki kutest hiyo theory kwamba usipoenda kinatokea nini kwahiyo tukiambiwa twende tunaenda,tunachukulia kama public holiday tu, kwa nini tugombane na serikali vitu vidogo
Basi hapo sijaona mazingira ya kulazimishwa mnaenda kwa mapenzi yenu tu,maana kulazimishwa kuko kwa aina mbili kwa maana wangetumia nguvu kuwabeba na kuwapeleka huko au kuwapiga mkwara kama hutaki kwenda. Sasa nyie hamjapigwa mkwara wala kubebwa kwa kulazimishwa na wakati serikali inajua kati yenu mnaitikadi tofauti tofauti.
 
Back
Top Bottom