uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,240
Kupandishwa kwako mshahara kunanisaidieje mimi ninayeishi ngadinda ndani ndani.?Yani hapandishi mishahara halafu ategemee nimchague?!!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupandishwa kwako mshahara kunanisaidieje mimi ninayeishi ngadinda ndani ndani.?Yani hapandishi mishahara halafu ategemee nimchague?!!?
Kwahiyo mnalazimishwa kupanda hizo fuso ni hiari kupanda na kwenda huko kwenye mkutano?Haya mambo ukisimuliwa unaweza ona NI uongo ila leo nimejionea hatujaenda kazini badala yake tumeambiwa tukampokee samia,kufika eneo la tukio na fuso mbili zimekuja zimejaza watu
Bora umeulizaMbona umekatisha stori kwaiyo kitila akaomba nini sasa
Wanaopanda fuso sijui kama wanalazimishwa ila watumishi ni lazima kwendaKwahiyo mnalazimishwa kupanda hizo fuso ni hiari kupanda na kwenda huko kwenye mkutano?
Huo ulazima unashikiliwa na nini yani kwamba ukigoma kwenda nini kinatokea?Wanaopanda fuso sijui kama wanalazimishwa ila watumishi ni lazima kwenda
Kichwa cha Yohani Mbatizaji kwenye sahani ya Dhahabu!Mbona umekatisha stori kwaiyo kitila akaomba nini sasa
Kesi ya uhujumu uchumi ama kutakatisha fedha.Huo ulazima unashikiliwa na nini yani kwamba ukigoma kwenda nini kinatokea?
Huo ulazima unashikiliwa na nini yani kwamba ukigoma kwenda nini kinatokea?
Ushuzi tupuMvua imempa Ubunge Kitila kilaini kabisa
Leo mvua kubwa inanyesha Dar es Salaam. Hata hivyo, haikuwazuia wananchi wa majimbo ya Ubungo na Kibamba kwenda kumsikiliza Rais John Magufuli na wagombea Ubunge wa majimbo hayo kwenye Mkutano wa hadhara pale Mburahati.
Mkutano ulikuwa na sababu zote za kutofanikiwa. Kwanza ulipangwa asubuhi saa mbili, siku ya kazi, mvua ilikuwa kubwa na mambo mengine madogomadogo.
Cha ajabu, watu hawakujali mvua. Uwanja ukajaa watu kiasi kwamba Rais Magufuli alizungumza kwa hisia sana kwenye Mkutano huo. Alisema hajawahi kuona mapenzi ya aina ile.
Mkutano huo ungeahirishwa ungekuwa pasua kichwa kubwa kwa wagombea Kitila Mkumbo wa Ubungo na Issa Mtemvu wa Kibamba.
Kusingekuwa na Mvua, mkutano ule ungefanyika na kumalizika kama mingine ya kawaida. Mvua imebadilisha mambo.
Ikamfanya Rais Magufuli alazimike kuahidi kitu palepale uwanjani. Ikafanya ghafla maelfu yale ya watu waliolowa watengeneze bond na Rais na wabunge wao.
Kwa hiyo Kitila akaambiwa aseme anataka nini. Naye, bila kusita, akasema. Moja kwa moja, wananchi wakajua sasa wana mtu ambaye ana click na Rais.
Kama Rais Magufuli ni pipa, basi Kitila ndiye mfuniko wake. Kama mvua isingenyesha Dar leo, huenda hili tusingeliona.
INAWEZEKANA, kwamba mvua hii ya leo, ndiyo imempa Ubunge Profesa Kitila Mkumbo.
Basi hapo sijaona mazingira ya kulazimishwa mnaenda kwa mapenzi yenu tu,maana kulazimishwa kuko kwa aina mbili kwa maana wangetumia nguvu kuwabeba na kuwapeleka huko au kuwapiga mkwara kama hutaki kwenda. Sasa nyie hamjapigwa mkwara wala kubebwa kwa kulazimishwa na wakati serikali inajua kati yenu mnaitikadi tofauti tofauti.Ndio hatutaki kutest hiyo theory kwamba usipoenda kinatokea nini kwahiyo tukiambiwa twende tunaenda,tunachukulia kama public holiday tu, kwa nini tugombane na serikali vitu vidogo
SijakusomaKichwa cha Yohani Mbatizaji kwenye sahani ya Dhahabu!