Mvua imewaumbua wanaochafua legacy ya Hayati Magufuli

Acha ushamba mkulungwa. Mama yetu anaupiga mwingi. Dkt Magufuli hayupo, hakuna anayeuwa Legacy, hayo ni maneno na kauli za wakosaji
 
 
Watetezi ndio mnaizika hiyo mnayoiita legacy...wote mna akili za kishamba na hamjui kujenga hoja.
Nyie mnaweza kuchunga ng'ombe na kubaka mbuzi tu maporini.
Really sijajua huyu mnyarugusu kaandika nini!? Mvua imenyesha dar, Sasa hiyo legacy yake ya chato inahusika vipi na mvua!? By the way legacy hailindwi Kwa upinde, washukuru kanisa limeamua kubeba aibu
 
Mbona kitchen party?!

Haha haah jamani nyie! [emoji3][emoji28]
 
Hii inahusikaje na mambo ya legacy? 🤪🤪🤪🤪

Kumbe mvua sio neema tena ila ni laana ya Mwendazake 🏃🏃🏃🏃
 
Mnachosha tu na huyo marehemu wenu, kama mpo serious muhamie huko kaburini kwake
Si siku nyingi watu watachanganyikiwa.
Yaani watu wanawehuka si siku nyingi. Soon watamtangaza nabii au waanzishe occult kabisa.
Na yeye atakuwa huko anawashangaa mbona watu wamekuwa wehu.
Watu hawataki maisha yaendelee
 
Mvua ni za Yanga sio JPM.
 
Kupongezana kwa miaka miwili ya utawa sidhani kama ina sura njema hasa ukikumbuka umepata uongozi baada ya kifo Cha mwenzako. Mengine siyo lazima kuyafanya .yanaleta ukakasi kwa jamii nyengine
 
Kupongezana kwa miaka miwili ya utawa sidhani kama ina sura njema hasa ukikumbuka umepata uongozi baada ya kifo Cha mwenzako. Mengine siyo lazima kuyafanya .yanaleta ukakasi kwa jamii nyengine
Inasikitisha sana mkuu. Utadhani alipigwa Kura. Kumbe kaingia baada ya mtu kufa.
 
Nashauri Serikali iongeze Vitanda pale Milembe. Matatizo ya akili ni makubwa kwenye jamii, hasa jamii ya WASUKUMA.
 
Kupongezana kwa miaka miwili ya utawa sidhani kama ina sura njema hasa ukikumbuka umepata uongozi baada ya kifo Cha mwenzako. Mengine siyo lazima kuyafanya .yanaleta ukakasi kwa jamii nyengine
Kwel kabsaaa yaaan vitu vya ajabu
 
Ushamba unstusumbua sana wasukuma,, amekufa nyerere, amekufa mkapa,, sijawahi shuhudia ushamba kama naoshuhudia kwa ndugu zangu, team legacy,, 😂🙆.
Acheni magufuli apumzike kwa amani,,
 
Party ya kukopa labd khaaa miaka miwili madeni ya kutosha miaka mitano si tunauzwa na yeye akiwemo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…