BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Mwanamke kuwa na roho ya hivi haipendezi [emoji4]Mnachosha tu na huyo marehemu wenu, kama mpo serious muhamie huko kaburini kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke kuwa na roho ya hivi haipendezi [emoji4]Mnachosha tu na huyo marehemu wenu, kama mpo serious muhamie huko kaburini kwake
Zumaridi anasema amewaona wadada wanaokula nauli za wanaume wakichomwa moto huko mbinguni [emoji1]Hahahaaaa au wamuliize Zamaridi huko mbinguni alimuona??
Exactly lakini wajinga na machawa wa mama wala hawawezi kukuelewa.Kupongezana kwa miaka miwili ya utawa sidhani kama ina sura njema hasa ukikumbuka umepata uongozi baada ya kifo Cha mwenzako. Mengine siyo lazima kuyafanya .yanaleta ukakasi kwa jamii nyengine
Ni ujinga kiwango cha SGR mkuu.Ushawahi kuona wapi birthday ya Kuwa Raisi kama siyo upopona
Na bado kuna makenge wanaona alichokifanya ni sahihi.Inasikitisha sana mkuu. Utadhani alipigwa Kura. Kumbe kaingia baada ya mtu kufa.
Nazani yakupasa wewe utangulie tena ukaingizwe VIP room, maana tatizo lako ni kubwa sana.Nashauri Serikali iongeze Vitanda pale Milembe. Matatizo ya akili ni makubwa kwenye jamii, hasa jamii ya WASUKUMA.
Isipendeze tu ile yule marehemu hapana aseeMwanamke kuwa na roho ya hivi haipendezi [emoji4]
Rekodi:-MUNGU ni fundi, MUNGU haziakiwi, mmeshindwa kuazimisha Miaka miwili ya kifo cha Mwamba publically .
Mmekuja na sherehe ya kupongezana sijui Kwa KAZI Ipi. Mlidhani media zingefanya coverage kufifisha matukio ya tare 17..
Kinyume chake MUNGU kashusha gharika na kuwaweka mlango wazi mtaani umeme Hakuna na Mafuriko Kila Kona.
Media zimegeuza camera SASA hiyo kitchen party yenu haina maana tena mola Katia mchanga.
Muislamu unafiki unakutesaRekodi:-
Tarehe 17/3 Joto na jua lilipindukia kiwango.
Tarehe 19/3 siku kumbukumbu za mwana mwema akiapishwa mvua zikamwagika mbingu zikacheka, toka enzi na enzi mvua zilijulikana kama ni baraka kuu.
QMamae Nimecheka mpaka bandama na kongosho vimegongana huko ndani 😂Media zimegeuza camera SASA hiyo kitchen party yenu haina maana tena mola Katia mchanga.
Sukuma Gang At Work.MUNGU ni fundi, MUNGU haziakiwi, mmeshindwa kuazimisha Miaka miwili ya kifo cha Mwamba publically .
Mmekuja na sherehe ya kupongezana sijui Kwa KAZI Ipi. Mlidhani media zingefanya coverage kufifisha matukio ya tare 17..
Kinyume chake MUNGU kashusha gharika na kuwaweka mlango wazi mtaani umeme Hakuna na Mafuriko Kila Kona.
Media zimegeuza camera SASA hiyo kitchen party yenu haina maana tena mola Katia mchanga.
Kama alivyotujibu 17.03.21Mungu hujibu kwa vitendo tu, atawanyoosha mdogo mdogo
MkuuHuko Daslam mnadeka sana aiseee..... yani mvua kidogo tu, mshakuja kuanzisha uzi Jf...😜
😂😂😂Watetezi ndio mnaizika hiyo mnayoiita legacy...wote mna akili za kishamba na hamjui kujenga hoja.
Nyie mnaweza kuchunga ng'ombe na kubaka mbuzi tu maporini.
Umeongea ktk maono makali sana. Unajuwa Kuna watu ndani ya ccm wamekuwa na mawazo ya ili kumjuwa nyani mpe jina baya. Hayati Magufuli walianza kule kitaluni kumchafuwa wema wanaishi wabaya wanakufa Mungu pale ndipo alipo chafuwa ndimi zao kutoka pale chama kiligawanyika kimya kimya wajane wakagoma wakasema ina maana sisi waume zetu kufa ni kwa ubaya basi poa nyie mnao ishi wema endeleeni kiufupi hali sio hali ila yupo mtu mmoja yeye kwa ukomgwe wake amejitoa kutetea yanayo endelea nakusifia nakutumga story zakila namna kuonyesha hata yeye alitaka kuuwawa kiukweli wenye hii siri ni wana usalama sema sasa upo uwezekano mkubwa sana hali ikawa sio hali kutokana na huyo mtu kuwa kama ndio anaye yaushi kila jambo ndani ya serikali jambo ambalo ni hatari kwa sababu Alisha staafu. Well ngoja tuone picha itakapo ishia. Ila Magu legacy yake sio rahisi kuizika.MUNGU ni fundi, MUNGU haziakiwi, mmeshindwa kuazimisha Miaka miwili ya kifo cha Mwamba publically .
Mmekuja na sherehe ya kupongezana sijui Kwa KAZI Ipi. Mlidhani media zingefanya coverage kufifisha matukio ya tare 17..
Kinyume chake MUNGU kashusha gharika na kuwaweka mlango wazi mtaani umeme Hakuna na Mafuriko Kila Kona.
Media zimegeuza camera SASA hiyo kitchen party yenu haina maana tena mola Katia mchanga.
WEWMUNGU ni fundi, MUNGU haziakiwi, mmeshindwa kuazimisha Miaka miwili ya kifo cha Mwamba publically .
Mmekuja na sherehe ya kupongezana sijui Kwa KAZI Ipi. Mlidhani media zingefanya coverage kufifisha matukio ya tare 17..
Kinyume chake MUNGU kashusha gharika na kuwaweka mlango wazi mtaani umeme Hakuna na Mafuriko Kila Kona.
Media zimegeuza camera SASA hiyo kitchen party yenu haina maana tena mola Katia mchanga.
MVUA KUNYESHA NI BARAKA WALA SIO GHARIKA , ALAFU UWACHE CHUKI NA MITAZAMO YA KIZAMANI , MAMBO YOTE YANAYOENDELEA YAKO CHINI YA CHAMA CHETU CHA MAPINDUZI IVO BASI KUNYESHA KWA MVUA NI SAWA NA KUKUBALIKA KWA JAMBO LILILOKUA LIKIFANYIKA ,ASANTENI KWA KUNIELEWAMUNGU ni fundi, MUNGU haziakiwi, mmeshindwa kuazimisha Miaka miwili ya kifo cha Mwamba publically .
Mmekuja na sherehe ya kupongezana sijui Kwa KAZI Ipi. Mlidhani media zingefanya coverage kufifisha matukio ya tare 17..
Kinyume chake MUNGU kashusha gharika na kuwaweka mlango wazi mtaani umeme Hakuna na Mafuriko Kila Kona.
Media zimegeuza camera SASA hiyo kitchen party yenu haina maana tena mola Katia mchanga.
MVUA KUNYESHA MAANA YAKE NI BARAKA , ALAFU ILIPUNGUZA JOTO LILILOKUWEPO, NA WATU WALIKUA WENGI HADI RAHA KWAIYO BASI WAKRISTO TUNASEMA JAMBO LA KUMPONGEZA DR SAMIA SULUHU HASSAN MUNGU AMELIKUBALI HADI AKATOA NA BARAKA YA MVUA TENA MVUA YA UPENDO , KWA LUGHA NYEPESI MADAM PRESIDENT AMEBARIKIWA NA MWENYEZI MUNGU , NA WOTE TUSEME AMENMUNGU ni fundi, MUNGU haziakiwi, mmeshindwa kuazimisha Miaka miwili ya kifo cha Mwamba publically .
Mmekuja na sherehe ya kupongezana sijui Kwa KAZI Ipi. Mlidhani media zingefanya coverage kufifisha matukio ya tare 17..
Kinyume chake MUNGU kashusha gharika na kuwaweka mlango wazi mtaani umeme Hakuna na Mafuriko Kila Kona.
Media zimegeuza camera SASA hiyo kitchen party yenu haina maana tena mola Katia mchanga.
WEWMUNGU ni fundi, MUNGU haziakiwi, mmeshindwa kuazimisha Miaka miwili ya kifo cha Mwamba publically .
Mmekuja na sherehe ya kupongezana sijui Kwa KAZI Ipi. Mlidhani media zingefanya coverage kufifisha matukio ya tare 17..
Kinyume chake MUNGU kashusha gharika na kuwaweka mlango wazi mtaani umeme Hakuna na Mafuriko Kila Kona.
Media zimegeuza camera SASA hiyo kitchen party yenu haina maana tena mola Katia mchanga.
MVUA KUNYESHA NI BARAKA WALA SIO GHARIKA , ALAFU UWACHE CHUKI NA MITAZAMO YA KIZAMANI , MAMBO YOTE YANAYOENDELEA YAKO CHINI YA CHAMA CHETU CHA MAPINDUZI IVO BASI KUNYESHA KWA MVUA NI SAWA NA KUKUBALIKA KWA JAMBO LILILOKUA LIKIFANYIKA ,ASANTENI KWA KUNIELEWAMUNGU ni fundi, MUNGU haziakiwi, mmeshindwa kuazimisha Miaka miwili ya kifo cha Mwamba publically .
Mmekuja na sherehe ya kupongezana sijui Kwa KAZI Ipi. Mlidhani media zingefanya coverage kufifisha matukio ya tare 17..
Kinyume chake MUNGU kashusha gharika na kuwaweka mlango wazi mtaani umeme Hakuna na Mafuriko Kila Kona.
Media zimegeuza camera SASA hiyo kitchen party yenu haina maana tena mola Katia mchanga.
MVUA KUNYESHA MAANA YAKE NI BARAKA , ALAFU ILIPUNGUZA JOTO LILILOKUWEPO, NA WATU WALIKUA WENGI HADI RAHA KWAIYO BASI WAKRISTO TUNASEMA JAMBO LA KUMPONGEZA DR SAMIA SULUHU HASSAN MUNGU AMELIKUBALI HADI AKATOA NA BARAKA YA MVUA TENA MVUA YA UPENDO , KWA LUGHA NYEPESI MADAM PRESIDENT AMEBARIKIWA NA MWENYEZI MUNGU , NA WOTE TUSEME AMENMUNGU ni fundi, MUNGU haziakiwi, mmeshindwa kuazimisha Miaka miwili ya kifo cha Mwamba publically .
Mmekuja na sherehe ya kupongezana sijui Kwa KAZI Ipi. Mlidhani media zingefanya coverage kufifisha matukio ya tare 17..
Kinyume chake MUNGU kashusha gharika na kuwaweka mlango wazi mtaani umeme Hakuna na Mafuriko Kila Kona.
Media zimegeuza camera SASA hiyo kitchen party yenu haina maana tena mola Katia mchanga.