Mvua imewaumbua wanaochafua legacy ya Hayati Magufuli

Mvua imewaumbua wanaochafua legacy ya Hayati Magufuli

WEW

MVUA KUNYESHA NI BARAKA WALA SIO GHARIKA , ALAFU UWACHE CHUKI NA MITAZAMO YA KIZAMANI , MAMBO YOTE YANAYOENDELEA YAKO CHINI YA CHAMA CHETU CHA MAPINDUZI IVO BASI KUNYESHA KWA MVUA NI SAWA NA KUKUBALIKA KWA JAMBO LILILOKUA LIKIFANYIKA ,ASANTENI KWA KUNIELEWA

MVUA KUNYESHA MAANA YAKE NI BARAKA , ALAFU ILIPUNGUZA JOTO LILILOKUWEPO, NA WATU WALIKUA WENGI HADI RAHA KWAIYO BASI WAKRISTO TUNASEMA JAMBO LA KUMPONGEZA DR SAMIA SULUHU HASSAN MUNGU AMELIKUBALI HADI AKATOA NA BARAKA YA MVUA TENA MVUA YA UPENDO , KWA LUGHA NYEPESI MADAM PRESIDENT AMEBARIKIWA NA MWENYEZI MUNGU , NA WOTE TUSEME AMEN
Nenda shule Kwanza uandishi wako Mbovu sana kama Mtoto wa chekechea
 
MUNGU ni fundi, MUNGU haziakiwi, mmeshindwa kuazimisha Miaka miwili ya kifo cha Mwamba publically .

Mmekuja na sherehe ya kupongezana sijui Kwa KAZI Ipi. Mlidhani media zingefanya coverage kufifisha matukio ya tare 17..


Kinyume chake MUNGU kashusha gharika na kuwaweka mlango wazi mtaani umeme Hakuna na Mafuriko Kila Kona.

Media zimegeuza camera SASA hiyo kitchen party yenu haina maana tena mola Katia mchanga.
Kukosekana umeme na mafuriko ni jambo la nadra Tz? Si ndio maisha ya kila siku, cha ajabu ni kipi?
 
Mkuu
Tuache bana. Wanatengeneza barabara nzuri wakati wa kiangazi bila ya mipango ya kihandisi ya kutiririshi maji ya mvua za rasharsaha.

Ilija masika. Jiji linazama
Hayo maji huku mkoani tunapandikiza mpunga mkuu...
 
MUNGU ni fundi, MUNGU haziakiwi, mmeshindwa kuazimisha Miaka miwili ya kifo cha Mwamba publically .

Mmekuja na sherehe ya kupongezana sijui Kwa KAZI Ipi. Mlidhani media zingefanya coverage kufifisha matukio ya tare 17..


Kinyume chake MUNGU kashusha gharika na kuwaweka mlango wazi mtaani umeme Hakuna na Mafuriko Kila Kona.

Media zimegeuza camera SASA hiyo kitchen party yenu haina maana tena mola Katia mchanga.
Kikwete fundi
 
Mwanza tuna zumaridi.
Mbeya kuna tulia ackson
Dar mna huyo!
kila siku wanaabudiwa.
 
Kupongezana kwa miaka miwili ya utawa sidhani kama ina sura njema hasa ukikumbuka umepata uongozi baada ya kifo Cha mwenzako. Mengine siyo lazima kuyafanya .yanaleta ukakasi kwa jamii nyengine
Kwa Tz hawajali hili..
 
Binafsi sijali nani anafanya nini ninachohofia ni kiasi gani cha Tozo zinapelekwa kwenye haya maigizo as well as kupoteza muda ambao tunawalipa watu wafanye vitu constructive wao ni party after party....
 
MUNGU ni fundi, MUNGU haziakiwi, mmeshindwa kuazimisha Miaka miwili ya kifo cha Mwamba publically .

Mmekuja na sherehe ya kupongezana sijui Kwa KAZI Ipi. Mlidhani media zingefanya coverage kufifisha matukio ya tare 17..


Kinyume chake MUNGU kashusha gharika na kuwaweka mlango wazi mtaani umeme Hakuna na Mafuriko Kila Kona.

Media zimegeuza camera SASA hiyo kitchen party yenu haina maana tena mola Katia mchanga.
 
Dah. Hadi tunasahau kama mada ni mpambano wa CCM vs CCM baada ya “kuzimisha” upinzani!

Mama karithi na anaendeleza legasi aliyorithi ya propaganda endelevu na utukuzaji kiongozi usio na kikomo (relentless). Hakutelekeza vyote. Awamu za nyuma (<4) hatukuwa na maajabu haya ya enzi za Mao na Kim Il Sung.

Yaani mapicha ya Rais na dondoo zake kila mahali, kushukuriwa kwa kila kitu katika kila fani na hata kwa mambo yanayotokea vijijini kwa juhudi za wananchi, nyimbo za sifa hadi makanisani! CCM ni msiba wa taifa. Acha wafu wazikane.
 
ondoa lugha za kikabila , kama unalipwa kutupeleka kwenye migawanyiko bas USHINDWE KWANN USISEME JPM FANS KWANN UWEKE KABILA , MTU ASIYE NA HOJA HUKIMBILIA UKABILA SIO WASUKUMA WOTE WANAMPENDA JPM kizur 2015 nlikuepo mwanza najua the situation , hata Rwanda walianza na lugha kama hz wakihis utan ila kipo kizaz kinazibeba kichuki zaid
Hakuna anayejua ukabila kuliko msu K Nchi ilishakuwa ya wasukuma tu ,ila hamjitambui, hiyo kauli ya Mungu hadhihakiwi iliwafaa nyie , hamjajigundua tu !.
 
Back
Top Bottom