The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
- Thread starter
-
- #61
Nenda shule Kwanza uandishi wako Mbovu sana kama Mtoto wa chekecheaWEW
MVUA KUNYESHA NI BARAKA WALA SIO GHARIKA , ALAFU UWACHE CHUKI NA MITAZAMO YA KIZAMANI , MAMBO YOTE YANAYOENDELEA YAKO CHINI YA CHAMA CHETU CHA MAPINDUZI IVO BASI KUNYESHA KWA MVUA NI SAWA NA KUKUBALIKA KWA JAMBO LILILOKUA LIKIFANYIKA ,ASANTENI KWA KUNIELEWA
MVUA KUNYESHA MAANA YAKE NI BARAKA , ALAFU ILIPUNGUZA JOTO LILILOKUWEPO, NA WATU WALIKUA WENGI HADI RAHA KWAIYO BASI WAKRISTO TUNASEMA JAMBO LA KUMPONGEZA DR SAMIA SULUHU HASSAN MUNGU AMELIKUBALI HADI AKATOA NA BARAKA YA MVUA TENA MVUA YA UPENDO , KWA LUGHA NYEPESI MADAM PRESIDENT AMEBARIKIWA NA MWENYEZI MUNGU , NA WOTE TUSEME AMEN
Kukosekana umeme na mafuriko ni jambo la nadra Tz? Si ndio maisha ya kila siku, cha ajabu ni kipi?MUNGU ni fundi, MUNGU haziakiwi, mmeshindwa kuazimisha Miaka miwili ya kifo cha Mwamba publically .
Mmekuja na sherehe ya kupongezana sijui Kwa KAZI Ipi. Mlidhani media zingefanya coverage kufifisha matukio ya tare 17..
Kinyume chake MUNGU kashusha gharika na kuwaweka mlango wazi mtaani umeme Hakuna na Mafuriko Kila Kona.
Media zimegeuza camera SASA hiyo kitchen party yenu haina maana tena mola Katia mchanga.
Nenda shule Kwanza uandishi wako Mbovu sana kama Mtoto wa chekechea
Hayo maji huku mkoani tunapandikiza mpunga mkuu...Mkuu
Tuache bana. Wanatengeneza barabara nzuri wakati wa kiangazi bila ya mipango ya kihandisi ya kutiririshi maji ya mvua za rasharsaha.
Ilija masika. Jiji linazama
Kikwete fundiMUNGU ni fundi, MUNGU haziakiwi, mmeshindwa kuazimisha Miaka miwili ya kifo cha Mwamba publically .
Mmekuja na sherehe ya kupongezana sijui Kwa KAZI Ipi. Mlidhani media zingefanya coverage kufifisha matukio ya tare 17..
Kinyume chake MUNGU kashusha gharika na kuwaweka mlango wazi mtaani umeme Hakuna na Mafuriko Kila Kona.
Media zimegeuza camera SASA hiyo kitchen party yenu haina maana tena mola Katia mchanga.
Kwa Tz hawajali hili..Kupongezana kwa miaka miwili ya utawa sidhani kama ina sura njema hasa ukikumbuka umepata uongozi baada ya kifo Cha mwenzako. Mengine siyo lazima kuyafanya .yanaleta ukakasi kwa jamii nyengine
MUNGU ni fundi, MUNGU haziakiwi, mmeshindwa kuazimisha Miaka miwili ya kifo cha Mwamba publically .
Mmekuja na sherehe ya kupongezana sijui Kwa KAZI Ipi. Mlidhani media zingefanya coverage kufifisha matukio ya tare 17..
Kinyume chake MUNGU kashusha gharika na kuwaweka mlango wazi mtaani umeme Hakuna na Mafuriko Kila Kona.
Media zimegeuza camera SASA hiyo kitchen party yenu haina maana tena mola Katia mchanga.
Haya mkuuHayo maji huku mkoani tunapandikiza mpunga mkuu...
Sio 'nazani' bali 'nadhani'Nazani yakupasa wewe utangulie tena ukaingizwe VIP room, maana tatizo lako ni kubwa sana.
Narrow minded!!Sio 'nazani' bali 'nadhani'
Unapoambiwa hamjasoma na kuelimika maana yake ndo hii.
Hakuna anayejua ukabila kuliko msu K Nchi ilishakuwa ya wasukuma tu ,ila hamjitambui, hiyo kauli ya Mungu hadhihakiwi iliwafaa nyie , hamjajigundua tu !.ondoa lugha za kikabila , kama unalipwa kutupeleka kwenye migawanyiko bas USHINDWE KWANN USISEME JPM FANS KWANN UWEKE KABILA , MTU ASIYE NA HOJA HUKIMBILIA UKABILA SIO WASUKUMA WOTE WANAMPENDA JPM kizur 2015 nlikuepo mwanza najua the situation , hata Rwanda walianza na lugha kama hz wakihis utan ila kipo kizaz kinazibeba kichuki zaid