Dr am 4 real PhD JF-Expert Member Joined Jun 30, 2016 Posts 11,640 Reaction score 24,066 Jan 30, 2024 #41 Msanii said: Bado hajasema. Upepo unavuma sana kule Kigamboni. Soon inashuka mama wa mvua zilizopita. Tukubali kuwa tumeikosea Nature kwa kuiharibu na sasa inatuharibu Click to expand... Mimi nipo huku ghorofani sijui vinavyo endelea huko njee... Hizi mvua sio za kawaida ππ Kwa kweli ila atakuja mdau mmoja hapa atasema wanaume wa Dar bwanaa
Msanii said: Bado hajasema. Upepo unavuma sana kule Kigamboni. Soon inashuka mama wa mvua zilizopita. Tukubali kuwa tumeikosea Nature kwa kuiharibu na sasa inatuharibu Click to expand... Mimi nipo huku ghorofani sijui vinavyo endelea huko njee... Hizi mvua sio za kawaida ππ Kwa kweli ila atakuja mdau mmoja hapa atasema wanaume wa Dar bwanaa
Msanii Platinum Member Joined Jul 4, 2007 Posts 25,252 Reaction score 36,513 Jan 30, 2024 #42 Dr am 4 real PhD said: Hizi mvua sio za kawaida ππ Kwa kweli ila atakuja mdau mmoja hapa atasema wanaume wa Dar bwanaa Click to expand... Pole mkuu Sisi wanaume wa Dar ni watani wa Taifa. Lakini ukienda maternity ward zote za Dar zimefurika hadi wanakosa vitanda
Dr am 4 real PhD said: Hizi mvua sio za kawaida ππ Kwa kweli ila atakuja mdau mmoja hapa atasema wanaume wa Dar bwanaa Click to expand... Pole mkuu Sisi wanaume wa Dar ni watani wa Taifa. Lakini ukienda maternity ward zote za Dar zimefurika hadi wanakosa vitanda
Dr am 4 real PhD JF-Expert Member Joined Jun 30, 2016 Posts 11,640 Reaction score 24,066 Jan 30, 2024 #43 Msanii said: Pole mkuu Sisi wanaume wa Dar ni watani wa Taifa. Lakini ukienda maternity ward zote za Dar zimefurika hadi wanakosa vitanda Click to expand... Nimeipenda hapo kwenye watani wa taifa..π€£π€£ππ
Msanii said: Pole mkuu Sisi wanaume wa Dar ni watani wa Taifa. Lakini ukienda maternity ward zote za Dar zimefurika hadi wanakosa vitanda Click to expand... Nimeipenda hapo kwenye watani wa taifa..π€£π€£ππ