Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawaaminiki , bure kabisa!Mamlaka ya Hali Tanzania, kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter imesema kuna mvua kubwa zitanyesha Tanzania hivi karibuni.
Tujiandae.
Wakati usipowaamini ndipo inanyesha kweliHawaaminiki , bure kabisa!
Suzana
Na ikija ya mafuriko?Ni ishara kuwa utawala wa dk Samia utakuwa wa baraka Tele.
Sumpelemende sijui nini lako lina mende kibao 😅😅😅😅nimekumbuka mbali
Kwani siku hizi TMA wameajiri wazungu?Mamlaka ya Hali Tanzania, kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter imesema kuna mvua kubwa zitanyesha Tanzania hivi karibuni.
Tujiandae.
Nakusalimu kipenziMvua ni baraka
Tujiandae tunaoishi kwenye njia za kupitisha maji
Wapuuze basi ila usijetuletea kauli selikal haijal watu wakeHawaaminiki , bure kabisa!
Afadhari joto lipungueMamlaka ya Hali Tanzania, kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter imesema kuna mvua kubwa zitanyesha Tanzania hivi karibuni.
Tujiandae.
Nakusalimu kipenzi
Nikizidiwa na mafuriko naomba nihamie kwako....
Baba D utamwambia mimi kaka binamu, asije akafa kwa wivuKaribu sana dear
Tena Kwalalumpa Sasa hamna shida