Mvua kubwa kunyesha Tanzania

Mvua kubwa kunyesha Tanzania

Wameona imenyesha kila mkoa tena kwa ukubwa ndio na wao wametabiri sasa
 
Mamlaka ya Hali Tanzania, kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter imesema kuna mvua kubwa zitanyesha Tanzania hivi karibuni.

Tujiandae.
Je zitajaza bwawa letu kwa % ngapi?
 
Hao huwa wanavizia mvua zikianza kunyesha ndio wanakuja na the so called utabiri
 
Back
Top Bottom