Acha ujinga[emoji3] mvua za masika hizo.Ni ishara kuwa utawala wa dk Samia utakuwa wa baraka Tele.
Na ikija ya mafuriko?
Baba D utamwambia mimi kaka binamu, asije akafa kwa wivu
Basi kumbe nitahamia sehemu salama. Basi mvua na inyeshe sasa....Uzuri Nina mabinamu wengiii tena wa kabila mbalimbali weusi, wekundu, weupe haliharibiki neno
Shekhe yahaya hao puuzi kabisa TMAHawaaminiki , bure kabisa!
Hawaaminiki kivipi wenzio wanachukua taarifa kutoka kwenye satellite au unafikiri wanabashiri kama shehe yahyaHawaaminiki , bure kabisa!
Our common observation from the past and experience tells it all!Hawaaminiki kivipi wenzio wanachukua taarifa kutoka kwenye satellite au unafikiri wanabashiri kama shehe yahya
OkOur common observation from the past and experience tells it all!
Je zitajaza bwawa letu kwa % ngapi?Mamlaka ya Hali Tanzania, kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter imesema kuna mvua kubwa zitanyesha Tanzania hivi karibuni.
Tujiandae.
Ngoja nizibe banda langu la kuku linavuja wasije pata baridi..
Mi nikajua wanahitaji joto ndo wazalianeutaki wazaliane maana baridi jogoo ndio wakati wake kupanda