WANAWATAKIA MAFURIKO MEMA ,UNUNIO,MBEZI BEACH PEMBEZONI MWA MTO MBEZI,KAWE,BOKO,KIGOGO,SINZA NA MWANANYAMALA,JANGWANI, MTAFAIDI MAFURIKO KAMA KAMBALE. VILE
Kwa hiyo ile miti mil 2 waliyosema imekatwa inakuwaje?
Tz Kuna watu wengi wajinga lakini wanajifanya werevu, miezi miwili nyuma watu walisema mvua hazinyeshi sababu ya miti mil 2 iliyokatwa ujenzi wa bwawa. Sasa hivi mvua sijui miti imeota