dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,079
- 2,254
- Thread starter
- #41
Bora umenisaidiaTunashindwa kujibu swali badala yake tumeligeuza upside down. Mtoa mada kauliza sababu ya mvua kubwa na ndogo na sio jinsi mvua inavyofanyika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora umenisaidiaTunashindwa kujibu swali badala yake tumeligeuza upside down. Mtoa mada kauliza sababu ya mvua kubwa na ndogo na sio jinsi mvua inavyofanyika.
Nakazia ...Sasa hilo Ni swali la kuuliza mtu aliepata japo elimu ya darasa la Saba.
Hiyo ni mada ya darasa la 4.Swali la aibu kabisa mtu mzima tena yuko jf.
ELIMU ELIMU ELIMU
Huu mfano wa kopo sio kabisa. Bora maji yanayo chemka katika sifuria yakafunikwa na mfuniko,kadri mvuke unavyo kua mwingi matone yatadondoka mengiHaijawai tokea mvua ikanyesha kubwa bila kumalizikia na ya manyunyu Kama nikivyoeleza kwenye kopo.
kwenye suala la kunyesha ndogo tu mwanzo mwisho tukirudi mfano wa kopo ni hilo kopo lijajaa means pressure ndogo.
Swali limeulizwa kuhusu 'Utofauti wa unyeshaji wa mvua je ju kuna bomba' wewe unajibu 'Formation of the rain fall' huwoni umeingia OUT OF THE PONT.Huu mfano wa kopo sio kabisa. Bora maji yanayo chemka katika sifuria yakafunikwa na mfuniko,kadri mvuke unavyo kua mwingi matone yatadondoka mengi
primitiveYaani niloweke miguu kwenye maji usiku kucha ili nije kumsomesha mtoro na aliyekuwa ananipigia kelele class nisisome kwa utulivu?
Nenda Google, unaweza hata kupata mvua ya kibustani chako hapo home kwa shemeji yako
in recent timesprimitive
Maswali ya kijinga yapo Sana,wakati mwingine Kuna maswali ya kipumbavu kwa mjinga aliyeadvance.Mfafanulie swali alilouliza acheni ujeuri wenu wa kielimu,Tambua kuna wengi awajui sio yeye tu je uoni kama ukimfafanulia anaweza kwenda kueneza ufahamu kwa watoto wake au kwa watu waliomzunguka,? Kwanini Watanzania tupo hivi badala ufundishe mtu aelewe uongeze watu waelewa, wewe na elimu yako kubwa unamkandamiza na kejeli nyingi na lugha kali, kama ni bwege, mtoro, atavuna mabua. Inasikitisha sana .. Sasa ulichomsaidia hapo ni nini? Watu wote wangekuwa wabinafsi kama wewe unafikiri ungejua kusoma,, hata hizo Google ulizopitia wewe ni watu wenye ufahamu wa kujua kwamba kuna watu watahitaji msaada wa kufahamu jambo moja au lingine na ndio maana hata wewe uliweza kuambiwa kwamba kuna Google unaweza kutafuta kitu fulani au habari fulani ukaipata.., Ninachotaka kusema kwa kifupi ukiona mtu kauliza swali, kama unajua jibu lake mjibu au mfafanulie kama ujibu piga kimya. Hakuna swali la kijinga dunia ..ujinga ni ujinga na swali ni swali. Siku njema ndugu.
Maswali ya kijinga yapo Sana,wakati mwingine Kuna maswali ya kipumbavu kwa mjinga aliyeadvance.
AiseeMaswali ya kijinga yapo Sana,wakati mwingine Kuna maswali ya kipumbavu kwa mjinga aliyeadvance.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Kazi ya kumimina mvua duniani sio ndogo malaika nao wanachoka kusogeza mapipa ili inyeshe.
Halijakosa jibu hata kidogo.Hili swali linafikirisha sana, hadi post hii ya #51 sijaona jibu.
Mpaka saiv majib ni y empty .naona watu wanajibu tofauti kabisaHili swali linaonekana la hovyo lakini linahitaji kufikiri sana. Nadhani sasa tuanze kuuliza yale maarifa tulipewa shuleni na vyuoni kama ni sahihi.
Kama ni mgandamizo tuu ambao unachangiwa na mawingu vipi kipindi cha masika ambacho hudumu hata miezi mitatu?
Anyway lazima tuanze upya kupitia elimu na maarifa yetu ikiwezekana tuwavunze vijana wetu kutafiti na kufikiri
Hapana mkuu..bado emptyNatumae mleta mada ulipata muongozo...
Kasome topic ya 3.weather ,form 2Naishi jiran na maktaba hapa...hebu nitajie hiyo mada inaitwaje? Ipo kitabu gani cha darasa la nne...ukurasa wa ngapi??niende kusoma Ili nipate jibu mkuu