Mvua kunyesha kubwa sana na muda mwingine rasharasha, Huko angani kuna koki?

Mvua kunyesha kubwa sana na muda mwingine rasharasha, Huko angani kuna koki?

Haijawai tokea mvua ikanyesha kubwa bila kumalizikia na ya manyunyu Kama nikivyoeleza kwenye kopo.

kwenye suala la kunyesha ndogo tu mwanzo mwisho tukirudi mfano wa kopo ni hilo kopo lijajaa means pressure ndogo.
Huu mfano wa kopo sio kabisa. Bora maji yanayo chemka katika sifuria yakafunikwa na mfuniko,kadri mvuke unavyo kua mwingi matone yatadondoka mengi
 
"...hakika katika hayo kuna mazingatio kwa wenye akili"

"...basi ulizeni kwa wenye kujua ikiwa nyinyi hamjui"

Una akili kamanda ngoja tusubiri majibu kwa wenye kujua
 
Huu mfano wa kopo sio kabisa. Bora maji yanayo chemka katika sifuria yakafunikwa na mfuniko,kadri mvuke unavyo kua mwingi matone yatadondoka mengi
Swali limeulizwa kuhusu 'Utofauti wa unyeshaji wa mvua je ju kuna bomba' wewe unajibu 'Formation of the rain fall' huwoni umeingia OUT OF THE PONT.

Swali halitaki ueleze mvua inayengenezwa vipi, unatakiwa ujibu vitu vinavyofanya mvua inyeshe kwa utofauti after reaching a dew point
1)Pressure
2)Wind
3)Density

mimi jibu langu limeBase kwenye Pressure but nimeelezea kwamtindo Simple even darasa la 2 B aelewe.
 
Mfafanulie swali alilouliza acheni ujeuri wenu wa kielimu,Tambua kuna wengi awajui sio yeye tu je uoni kama ukimfafanulia anaweza kwenda kueneza ufahamu kwa watoto wake au kwa watu waliomzunguka,? Kwanini Watanzania tupo hivi badala ufundishe mtu aelewe uongeze watu waelewa, wewe na elimu yako kubwa unamkandamiza na kejeli nyingi na lugha kali, kama ni bwege, mtoro, atavuna mabua. Inasikitisha sana .. Sasa ulichomsaidia hapo ni nini? Watu wote wangekuwa wabinafsi kama wewe unafikiri ungejua kusoma,, hata hizo Google ulizopitia wewe ni watu wenye ufahamu wa kujua kwamba kuna watu watahitaji msaada wa kufahamu jambo moja au lingine na ndio maana hata wewe uliweza kuambiwa kwamba kuna Google unaweza kutafuta kitu fulani au habari fulani ukaipata.., Ninachotaka kusema kwa kifupi ukiona mtu kauliza swali, kama unajua jibu lake mjibu au mfafanulie kama ujibu piga kimya. Hakuna swali la kijinga dunia ..ujinga ni ujinga na swali ni swali. Siku njema ndugu.
Maswali ya kijinga yapo Sana,wakati mwingine Kuna maswali ya kipumbavu kwa mjinga aliyeadvance.
 
Hili swali linaonekana la hovyo lakini linahitaji kufikiri sana. Nadhani sasa tuanze kuuliza yale maarifa tulipewa shuleni na vyuoni kama ni sahihi.
Kama ni mgandamizo tuu ambao unachangiwa na mawingu vipi kipindi cha masika ambacho hudumu hata miezi mitatu?
Anyway lazima tuanze upya kupitia elimu na maarifa yetu ikiwezekana tuwavunze vijana wetu kutafiti na kufikiri
 
Hili swali linaonekana la hovyo lakini linahitaji kufikiri sana. Nadhani sasa tuanze kuuliza yale maarifa tulipewa shuleni na vyuoni kama ni sahihi.
Kama ni mgandamizo tuu ambao unachangiwa na mawingu vipi kipindi cha masika ambacho hudumu hata miezi mitatu?
Anyway lazima tuanze upya kupitia elimu na maarifa yetu ikiwezekana tuwavunze vijana wetu kutafiti na kufikiri
Mpaka saiv majib ni y empty .naona watu wanajibu tofauti kabisa
 
Back
Top Bottom