MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Kwamba watoto wetu wakimbie umande? Tunajua wewe ni mjinga ila siyo kwa kiasi hiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Helicopter parent ndio nini mkuu? Before I Google it?Andaa mtoto kwa ajili ya barabara, usipende kuandaa barabara tu kwa ajili ya mtoto.
Mnunulie makoti mabuti na maboya ya kuogeleaa aelee tu akisombwa na maji. Ongezea sasa na filimbi ya kuombea msaada (mfundishe kuitumia tu)😆😅😅😅😅😅😅
On a serious note lakini tujitahidi kuwaandaa watoto kuweza kuhimili mikikimkiki ya maisha kuliko kutaka kusawazisha kila aina ya changamoto kwa ajili yao. Jikague na kasome suala la helicopter parents.
Na kama hali ni ngumu sana, basi wafunge kweli na hilo jambo ni kiotomati tu hali itaonesha
Kwani kuna maafa yoyote yamesharipotiwa?Kwa hali ya hewa inavyoendelea hivi sasa nashauri shule za Dar zifungwe kwa muda hadi January 2024.
Watoto wakae majumbani na familia zao ili kuepusha maafa zaidi na MADHARA yanayoweza kujitokeza kutokana na mvua kubwa zinazoendelea jijini Dar es Salaam.
Sasahivi hawaliwi kimasihara?Unataka mabinti waliwe kimasihara huku mtaani sio[emoji23][emoji23][emoji23]
of course mengi tu yanaripotiwa. Nyumba zinabomoka, Barabara zinashindwa kupitika kiurahisi kwa sababu zimejaa maji. Watoto wanapata tabu sana to be honest plus it is very risk.
Tena sasa hivi ndio hatari kwa sababu Barabara mbovu mtoto foleni kubwa as Magari mtoto anaweza Rudi nyumbani saa mbili usiku na defence yake itakuwa usafiri mbovu foleni kubwa.Sasahivi hawaliwi kimasihara?
TMA walisemaje?
Mvua ya kawaida tu ,hii mikimiki
Maji kujaa hamjazoea tu
Ova
Andaa mtoto kwa ajili ya barabara, usipende kuandaa barabara tu kwa ajili ya mtoto.
Mnunulie makoti mabuti na maboya ya kuogeleaa aelee tu akisombwa na maji. Ongezea sasa na filimbi ya kuombea msaada (mfundishe kuitumia tu)[emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
On a serious note lakini tujitahidi kuwaandaa watoto kuweza kuhimili mikikimkiki ya maisha kuliko kutaka kusawazisha kila aina ya changamoto kwa ajili yao. Jikague na kasome suala la helicopter parents.
Na kama hali ni ngumu sana, basi wafunge kweli na hilo jambo ni kiotomati tu hali itaonesha
🤣🤣🤣🤣[emoji16][emoji16]
Bila shaka wanao bado wapo kiunoni.
Hakika, bila shaka we ni mwanamke 😝😝[emoji16][emoji16]
Bila shaka wanao bado wapo kiunoni.
Yeah sure mkuu. Kuna kipindu pindu kipo njiani kinakuja kwa kasi sana jijini darusalama. God forbidJiongeze mkuu nchi hii ni ngumu, wakija kutoa maamuzi Tayari maafa yatakuwa yaneshatokea
Hakika, bila shaka we ni mwanamke [emoji13][emoji13]
Onaa nna zawadi yako (Na ya wote pia), ni kitabu kipo tu online kinaitwa PARENTING WITH LOVE AND LOGIC.
Kuna pande mbili zitajitokeza kwenye huu uzi, so:
Sio mbaya kila mmoja akakipitia ili kuuelewa upande wa pili wa mwenzake. Aani tuelewane wote.
Kwa stress nilizonazo, Mimi Moo Dewji nakupa likizo kama ulivyoomba.Na sisi wafanyakazi wa wahindi tunaomba likizo hii
NIlijua tu watakuja kulia kilio cha mbwa, mdomo juuu. Na yafaa sana serikali ikunje mikono katika hili. Hawa raia wenye vichwa vigumu kama nazi acha El nino iwatie adabu kidogo.Si nyinyi mlikuwa mnasema TMA ni waongo; sasa mnalalamika nini?😁😁😁
Dodoma hakuna mvua.... Huwezi kuamini.... Jamani huku ni nusu jangwa.... 😅Dodoma mvua inanyesha?