Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆😆Kwa hiyo sasa hivi tatizo ni maji sio mitambo tena hahaha
cc: Mama SamiaMkuu umesahau, walisema tatizo la umeme nchi hii ni mvua kutokana na mabadiliko ya tabia nchi, wakahamia kwenye gas na hadithi tamu tamu. Leo hii hakuna anayezungumzia umeme wa gas tena. Na ukiuliza hilo wanapiga chenga ya hatari. Watoto wa mjini wanasema wamejizima data.
Cc Tlaatlaah
Yaani jamaa kanyonga na tai nene na miwani yake imeitwa na press kabisa, Bongo ngumu sana.Mwehu alievaa suti mbele ya Mic.
Kama hayaingii mabwawani,natuambiwe wanakunywa viboko,mamba,samaria tembo,simba ,chui au swala wa nyikani🤔Hii ndio Taarifa mpya kutoka Tanesco , kwamba hizo mvua mnazoona zinanyesha haziwezi kupunguza mgawo wa umeme kwa vile maji ya mvua hizo hayaingii kwenye mabwawa hayo , haijulikani kama mabwawa hayo yamepigwa Bati juu yake au La
Na mnaambiwa zaidi mvua hizo zinaharibu miundo mbinu na kuongeza matatizo .
TANESCO imesema mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini hususani katika ukanda wa Pwani na ukanda wa Ziwa Victoria, mtiririko wa maji yake hauelekei viliko vyanzo vya uzalishaji wa umeme vya Mtera, Kihanzi na Kidatu.
Mkurugenzi wa TANESCO, Eng. Gissima Nyamo-Hanga amesema mvua hizo zimeleta athari katika miundombinu ya shirika katika baadhi ya maeneo, hivyo kuongeza changamoto katika upatikanaji wa umeme.
Ama ndio wanaogea miiiwwu🤪