cc: Mama Samia
TAKUKURU
TANESCO a.k.a. Shirika la hasara Tanzania
 
Kama hayaingii mabwawani,natuambiwe wanakunywa viboko,mamba,samaria tembo,simba ,chui au swala wa nyikani🤔
 
Jamani wenzangu mnabonyeza wapi kupata hizi hadithi.
Naona mnafaidi.😁
 
Hivi kina mwamposa hawawezi kuisaidia hi inchi kimiujiza mambo yake yakakaa sawa??!!😶😫
 
Kweli hawa TANESCO akili zao zinawatosha wenyewe. Yaani kutokuwepo na mgao wa umeme miaka sita ya JPM hapakuwa na mgao wa umeme, baada ya kufariki maji ya mvua yakabadili uelekeo nje ya mabwawa ya uzalishaji umeme! Stupid kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…