Mvurugano wa Mwakinyo na mapromota umeibua mengi ya ovyo yaliyopo kwenye ngumi

mfaume hamna bondia pale labda useme mwakinyo na twaha
Mmmm tusubiri pambano.lake na yule mbabe wa manzese......patachimbika......twaha nadhani weight tofautiii
 
Mamlaka za ngumi zimemfungia Mwakinyo baada ya kusoma huu uzi wangu. Nitaendelea kushauri mambo makubwa ya kitaifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…