Mvurugano wa Mwakinyo na mapromota umeibua mengi ya ovyo yaliyopo kwenye ngumi

Mvurugano wa Mwakinyo na mapromota umeibua mengi ya ovyo yaliyopo kwenye ngumi

Nchi hii kila kitu kinaendeshwa kitapelitapeli tu
Hii kitu kwa wenzetu nje huko huwezi sikiaaa

Ova
 
facken mmoja porojo tupu, mwakinyo anaongelea mkataba tu mambo ya business law hayo, wewe unaongea tu kama kenge alieibuka kutoka kwenye maji, acha tabia za kimalaya malaya kuingilia biashara zisizo kuhusu, mapromota wanaobip alowasema prof j, wamekula za uso kwa mwakinyo, kwenda huko.
 
Toka lini mwakinyo akawa bondia? Yule ni comic, ni kama kina braza K.
 
Na Mwakinyo kugharamia baadhi ya gharama za maandalizi ni la kawaida hilo? Yeye kama alifanya magumashi, alitakiwa awe mpole ili yasijulikane ya ndani halafu hasira azimalizie kumpiga huyo bondia mbadala mpaka amuue.
Lakini mkuu huyo bondia unayemsema last time alipigwa Tko na mwakinyo
 
Major Semunyu tunaimba pambano Mwakinyo na Mfaume Mfaume ili ngebe ziishe maana mipasho imezidi sana ....hata lisiwe na mkanda tuone nani mbabe .....
 
Hata mapambano aliyowahi kushinda nje ya nchi alijichagulia wapinzani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwakinyo siyo wa kumtetea sana
Me mwenyewe nilimkubali mwanzo tu baadaye nikaona ni mtu ambaye haeleweki

Vyama vya siasa au vilabu vya soka
Vione kipaji chake cha kusema na vimchukue kwaajili ya kuvisemea lakini kwenye ngumi hawezi
Kushinda hata mandonga huwa anashinda tu

Mwakinyo mwanzo alishinda vizuri sana kwa ngekewa tu na watu wakampokea kwa ukubwa kuliko uwezo wake

Akajitahidi kufanya mazoezi na kujiimarisha zaidi ili sifa alizopata ziwe ni sehemu ya maisha yake na aendelee kuwa juu zaidi

Lakini uwezo wake umepingana na hilo amebaki kujitahidi kufake mambo na kuwasimulia watu kwamba yeye ni hatari kiasi gani na siyo kuwaonyesha uwezo

Bongo ngumi bado sana ni kwasababu watu hawaifanyi kiprofessional wengi wenye elimu hawajaiona kama ni fursa kiasi gani na kuamua kuwekeza huko vizuri siku wakiona hii fursa tutaona mabadiliko ya kweli

Ngumi ya leo Tanzania ni kama tu bongo fleva ya zamani bado haijapata mapinduzi ya kueleweka lakini watanzania kwenye ngumi tuna kitu siku moja tutafika mbali tutakuwa na millioneirs wa kutokana na ngumi

Mwakinyo ni bondia wa kawaida sana
Ambaye hawezi kufua dafu kwa twaha wala Ibrahim huo ndiyo ukweli
 
Mimi sio mtu wa mchezo wa masumbwi ila nimelazimika kufuatilia huu mzozo kati ya Mwakinyo na mapromota na kujikuta nimejua mambo kadhaa kuhusu mchezo huo. Na baada ya wengi wenu kunisihi nitoe maoni yangu kuhusu hili sakata nimeona acha nitumie haki yangu ya kikatiba ya uhuru wa kutoa maoni. Na haya maoni yangu ndo yatakuwa msimamo wa JF.

1. Mwakinyo kusema kuwa kakataa kupigana kwasababu ya kubadilishiwa bondia dakika za mwisho ni uongo mtupu. Bondia anayetajwa kubadilishiwa alilipiwa kila kitu na Mwakinyo. Ina maana yeye ndo aliamua kujiletea mpinzani wake. Haya ni maajabu kwenye boxing ya Tanzania. Huyo bondia angepigwa tu atake asitake. Yaani kila kitu nimekulipia mimi bado unipige?

2. Kwenye huu mzozo promota Karigo kajitahidi sana kuwa professional ila kasoro yake kubwa ni kutokuwa na pesa. Ni promota njaa. Kwa melezo ya Karigo na Mwakinyo ni kuwa kuna baadhi ya gharama zililipwa na bondia Mwakinyo baada ya kuwa Promota kashindwa. Kwa mfano Karigo anasema mpinzani wa Mwakinyo aligharamiwa na Mwakinyo mwenyewe. Sasa kama mpinzani alilipiwa na Mwakinyo ina maana tayari kungekuwa na mgongano mkubwa wa kimaslahi. Kwangu mimi ni kama Mwakinyo alinunua ushindi.

3. Bado Mwakinyo ana akili ndogo sana za kibiashara na ana uswahili wa kipuuzi. Mwakinyo mwenyewe alikiri kuwa sababu nyingine iliyosababisha akakataa kupigana ni kuhusishwa kwa kampuni ya Mafia Promotions kwenye pambano lake. Kama nilivyosema mwanzoni ni kuwa promota Karigo hana pesa za kutosha ikabidi atafute kampuni nyingine washirikiane ndo akawapata hao Mafia. Mwakinyo akawakataa Mafia kwa kudai hao jamaa ana ugomvi wao binafsi. Hii ni sababu ya kipuuzi kwenye professionalism. Yaani uwe na ugomvi binafsi na watu wa kampuni ndo uichukie kampuni? Na hata baada ya Mafia kuamua kujiondoa bado Mwakinyo akataka mabondia wote walio chini ya kampuni ya Mafia waliotarajiwa kupigana mapambano ya ufunguzi waondolewe. HUU ULIKUWA NI UWENDAWAZIMU WA MWAKINYO.

4. Kitendo cha promota kutufichulia siri kuwa Mwakinyo huwa anajichagulia mabondia wa kupigana nao kimemvua nguo Mwakinyo na kuonekana huwa anashinda kimagumashi. Inatajwa kuwa Mwakinyo amekuwa akijichagulia mabondoa wadhaifu kwa maslahi yake binafsi.

5. Shirikisho la ngumi za kulipwa nalo haliwezi kuepuka lawama kwa kutochukua hatua kwa mambo mengi ya kijinga yanayochafua boxing.

Ninamshauri Mwakinyo aache janja janja na kufuata utaratibu. Anachofanya ni kujidanganya. Msimamo anaodai kuwa nao ni wa kijinga na hauwezi kumsaidia.
Wewe umeyaona haya. Kingine Mimi nilichokiona ni kua Bondia mpya aliekua apigane na Mwakinyo ni mzuri zaidi na ana historia nzuri zaidi.

Bwana Mwakinyo baada ya kupiga hesabu zake akaona "HERI LAWAMA KULIKO FEDHEHA" (ya kichapo)
 
Alimuogopa Bondia mpya aliyepangwa naye. Ni mkenya.
 
Mwakinyo siyo wa kumtetea sana
Me mwenyewe nilimkubali mwanzo tu baadaye nikaona ni mtu ambaye haeleweki

Vyama vya siasa au vilabu vya soka
Vione kipaji chake cha kusema na vimchukue kwaajili ya kuvisemea lakini kwenye ngumi hawezi
Kushinda hata mandonga huwa anashinda tu

Mwakinyo mwanzo alishinda vizuri sana kwa ngekewa tu na watu wakampokea kwa ukubwa kuliko uwezo wake

Akajitahidi kufanya mazoezi na kujiimarisha zaidi ili sifa alizopata ziwe ni sehemu ya maisha yake na aendelee kuwa juu zaidi

Lakini uwezo wake umepingana na hilo amebaki kujitahidi kufake mambo na kuwasimulia watu kwamba yeye ni hatari kiasi gani na siyo kuwaonyesha uwezo

Bongo ngumi bado sana ni kwasababu watu hawaifanyi kiprofessional wengi wenye elimu hawajaiona kama ni fursa kiasi gani na kuamua kuwekeza huko vizuri siku wakiona hii fursa tutaona mabadiliko ya kweli

Ngumi ya leo Tanzania ni kama tu bongo fleva ya zamani bado haijapata mapinduzi ya kueleweka lakini watanzania kwenye ngumi tuna kitu siku moja tutafika mbali tutakuwa na millioneirs wa kutokana na ngumi

Mwakinyo ni bondia wa kawaida sana
Ambaye hawezi kufua dafu kwa twaha wala Ibrahim huo ndiyo ukweli
Hivi na bondia Awadhi Tamimu aliishia wapi?
 
Mwakinyo siyo wa kumtetea sana
Me mwenyewe nilimkubali mwanzo tu baadaye nikaona ni mtu ambaye haeleweki

Vyama vya siasa au vilabu vya soka
Vione kipaji chake cha kusema na vimchukue kwaajili ya kuvisemea lakini kwenye ngumi hawezi
Kushinda hata mandonga huwa anashinda tu

Mwakinyo mwanzo alishinda vizuri sana kwa ngekewa tu na watu wakampokea kwa ukubwa kuliko uwezo wake

Akajitahidi kufanya mazoezi na kujiimarisha zaidi ili sifa alizopata ziwe ni sehemu ya maisha yake na aendelee kuwa juu zaidi

Lakini uwezo wake umepingana na hilo amebaki kujitahidi kufake mambo na kuwasimulia watu kwamba yeye ni hatari kiasi gani na siyo kuwaonyesha uwezo

Bongo ngumi bado sana ni kwasababu watu hawaifanyi kiprofessional wengi wenye elimu hawajaiona kama ni fursa kiasi gani na kuamua kuwekeza huko vizuri siku wakiona hii fursa tutaona mabadiliko ya kweli

Ngumi ya leo Tanzania ni kama tu bongo fleva ya zamani bado haijapata mapinduzi ya kueleweka lakini watanzania kwenye ngumi tuna kitu siku moja tutafika mbali tutakuwa na millioneirs wa kutokana na ngumi

Mwakinyo ni bondia wa kawaida sana
Ambaye hawezi kufua dafu kwa twaha wala Ibrahim huo ndiyo ukweli
BONDIA Mtanzania Hassan MWAKINYO amethibitisha kuwa hakutakuwa na pambano lake dhidi ya Bondia kutoka Namibia, Julius Munyelele Indongo na kusitisha biashara ya ununuzi wa tiketi kwa ajili ya pambano lake hilo.

Aidha Mwakinyo ametoa ombi kwa Baraza la michezo Tanzania (BMT) kusimamia haki za Bondia Munyelele ambaye tayari yupo Nchini kwa ajili ya pambano hilo kwa mujibu wa sheria.

“Fight has been cancel baada ya mazungumzo kuto fika atamu na sasa ni rasmi hakutakua na pigano langu hakuna tena biashara ya kununua ticket ...

“Ombi kwa wizara ya michezo na BMT naomba wasimamie haki za bondia Julius Indongo amefika kwa ajili ya pambano na sheria ni kama pambano limevunjika kwa bondia mmoja inabidi mgeni alipwe haki zake kwakua yeye amefika.

“Naomba simamieni promoter amemkana anasema hamjui na haya mambo hayana mwenyewe na sisi huwa tunasifiri kwenda nchi za watu yanaweza tukuta pia i hope litafanyiwa kazi.!! Next time!! Wanasema kufa kwa Imamu sio mwisho wa swala...” ameandika Mwakinyo kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii.

FB_IMG_1696075093429.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
BONDIA Mtanzania Hassan MWAKINYO amethibitisha kuwa hakutakuwa na pambano lake dhidi ya Bondia kutoka Namibia, Julius Munyelele Indongo na kusitisha biashara ya ununuzi wa tiketi kwa ajili ya pambano lake hilo.

Aidha Mwakinyo ametoa ombi kwa Baraza la michezo Tanzania (BMT) kusimamia haki za Bondia Munyelele ambaye tayari yupo Nchini kwa ajili ya pambano hilo kwa mujibu wa sheria.

“Fight has been cancel baada ya mazungumzo kuto fika atamu na sasa ni rasmi hakutakua na pigano langu hakuna tena biashara ya kununua ticket ...

“Ombi kwa wizara ya michezo na BMT naomba wasimamie haki za bondia Julius Indongo amefika kwa ajili ya pambano na sheria ni kama pambano limevunjika kwa bondia mmoja inabidi mgeni alipwe haki zake kwakua yeye amefika.

“Naomba simamieni promoter amemkana anasema hamjui na haya mambo hayana mwenyewe na sisi huwa tunasifiri kwenda nchi za watu yanaweza tukuta pia i hope litafanyiwa kazi.!! Next time!! Wanasema kufa kwa Imamu sio mwisho wa swala...” ameandika Mwakinyo kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii.

View attachment 2767389

Sent using Jamii Forums mobile app
Busara haijatumika
Angekuwa na akili angefikiria kuhusu madhara ya kutopanda kupigana

Lakini yeye na timu yake wangeamua kushughulikia hilo jambo vizuri lingekaa sawa tu lakini kuna ile kujiona wewe ndiyo wewe kutaka kueleleza watu vile unavyotaka wewe
Kwa kutoa condition zisizoeleweka
Watu wameamua wambwage

Mnamibia watamlipa na baadae itajulikana nani wa kulipa hasara iliyojitokeza kutokana na huo mkataba wao ulivyo
Ila huyo Mwakinyo ni mihemko tu lazima itamcost katika hili
 
Major Semunyu tunaimba pambano Mwakinyo na Mfaume Mfaume ili ngebe ziishe maana mipasho imezidi sana ....hata lisiwe na mkanda tuone nani mbabe .....
mfaume hamna bondia pale labda useme mwakinyo na twaha
 
Back
Top Bottom