Mvutano wa kisheria, tuhuma ya msanii aliyechoma picha ya Rais

Mvutano wa kisheria, tuhuma ya msanii aliyechoma picha ya Rais

Hawatashindwa kumbambikia kesi yeyote mbaya huyo kijana
 
Imeandikwa wapi? Kijana anakatiwa rufaa na akitoka itafanyika tafrija ya kuchoma picha za wanafumbia macho utekwaji na utesani wa watanzania...unaalikwa kushuhudia tukio hilo
Kauze wazi wazi dubur yako, si umezaliwa nayo, utanielewa.
 
habambikiwi chochote, huyo anapelekwa mirembe tu, si mwehu?
Mirembe wapi? Atatoka soon kwenda kula maparachichi...this time mtavalishwa ngozi za mamba kwa lazima...mama anatetewa kama Dini bhana....
 
Huyu jamaa bado yuko ndani ?

1720134605003.png
 
my friend, republic hawajawahi kukosa kosa la kushitaki.

kitu nawashauri vijana, siasa sio fujo, nasema hivi kwasababu huwezi kushindana kwenye fujo na mtu mwenye dola na pesa. ccm wana dola na pesa. wewe huna polisi, huna TISS huna jeshi utashindana nao kwa manguvu? si utaumia tu.

Pili, harakati zenu fanyeni kwa busara, hekima na maarifa. Hoja dhidi ya hoja, acheni matusi. Kijana wetu sativa tunamwonea huruma sana, ni mdogo, hana hata career, anatafutiza tu chumba cha kupanga, ila mdomoni alikuwa na matusi mazito sana sana, hafanani na alivyo. sababu hiyo alijitengenezea maadui wengi, hakwenda kwa hekima na busara, hata Mungu kuamwokoa basi tu kwasababu yeye hana Mungu, ni mtu mwenye mdomo mchafu, tujifunze, na yeye ajifunze, jenga hoja, acha matusi.

someni mazingira, Tanzania sio kenya, na sio marekani ambako uhuru wako wa kujieleza upo asilimia mia. marekani unaweza kuchoma ramani ya nchi, au picha ya rais, hawakufanyi kitu. hapa ukichoma utakamatwa na utafungwa. kwa akili tu, badilisheni tactic za mapambano yenu kulingan ana mazingira. huyo dogo amechoma picha ya rais, kwa bongo icho kitu hakikubaliki.

kenya waliandamana, waliharibu vitu, waliwachezea polisi, walifanya yote wapendavyo, na hawakufanywa kitu sana. Tanzania chezea polisi utajua mwenyewe, ndio maana tunasema cheza mziki kulingana na rythm yake.

chadema acheni matusi, chadema acheni matusi, chadema acheni matusi, nimewataja mara tatu. jengeni hoja, mjibiwe kwa hoja, maguvu hamtaweza kwasababu watanzania ni waoga na pia ninyi hamna dola, mnaumiza vijana wetu bure kwa maslahi ya matumbo yenu.
Kuhusu kenya usiseme hawakufanywa kitu...hivi unajuwa ukiwafanyia wakenya na wao wanawafanyia nini 😄

Ova
 
Nasema akichangiwa achome tena maana zipo nyumbu zitazomchangia tena.
Bora nyumbu zinazochangia watu wanaohukumiwa kwa mihemuko ya kisiasa kuliko nyinyi mnaoshabikia unyani unaoendelea nchini
 
Na.14

Uhalifu wa mtandaoni

2015

15

(b) ponografia ambayo ni ya uasherati au chafu, hadi faini isiyopungua shilingi milioni thelathini au kifungo kisichopungua miaka kumi au vyote kwa pamoja.

Uhalifu unaohusiana na utambulisho

15. (1) Mtu hatatumia, kwa kutumia mfumo wa kompyuta kujifanya mtu mwingine.

(2) Mtu anayekiuka kifungu kidogo cha (1) anatenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni tano au mara tatu ya thamani ya faida isiyostahili aliyoipata mtu huyo, yoyote iliyo kubwa zaidi, au kifungo jela. kwa muda usiopungua miaka saba au vyote kwa pamoja.

Uchapishaji wa habari za uwongo

16. Mtu yeyote anayechapisha habari au data iliyowasilishwa kwa picha, maandishi, ishara au aina nyingine yoyote katika mfumo wa kompyuta akijua kwamba taarifa au data hizo ni za uongo, za udanganyifu, za kupotosha au zisizo sahihi, na kwa nia ya kukashifu, kutishia, kutumia vibaya; kutukana, au kudanganya au kupotosha umma au kutangaza kutenda kosa, anatenda kosa, na akitiwa hatiani atawajibika kulipa faini isiyopungua shilingi milioni tano au kifungo kisichopungua miaka mitatu au kifungo. zote mbili.

Nyenzo za ubaguzi wa rangi na chuki dhidi ya wageni

17.-(1) Mtu hataruhusiwa kupitia kompyuta

mfumo -

(a) kuzalisha nyenzo za ubaguzi wa rangi au chuki dhidi ya wageni kwa madhumuni ya usambazaji;

(b) kutoa au kutoa nyenzo za ubaguzi wa rangi au chuki dhidi ya wageni; au

(c) kusambaza au kusambaza nyenzo za ubaguzi wa rangi au chuki dhidi ya wageni.
 
Taja hilo kosa na utaje vifungu vya sheria na sie tuhakiki hapa.
nilikwambia kosa lipo, bahati mbaya kijana tayari yupo gerezani, it was very unnecessary to arraign him in the world of freedom of speech. walitakiwa waignore tu na waone alikuwa ana express his feelings. picha tu,too bad.
 
Back
Top Bottom