Kama ukitongoza mwanamke kwa kumdanganya akakupenda lakini wewe ukamtongoza mwanamke na kumwanikia ukweli wako akakushit, nani mwenye akili?
Kudai nimeiba Mtihani ndiyo nini? Inaonekana wewe uliishia form IV ndiyo maana unaongelea kuibia Mtihani, otherwise kama kuna mtu huwa anaibia mitihani kuanzia wa Darasa la VII, Form IV, Form VI na Chuo Kikuu, utamwitaje huyo kilaza? Huyo ujue ana akili sana, haiwezekani mtu kila mtihani aibie na kushinda huyo ni shujaa.
Bahati mbaya ni kuwa wewe ambaye ulikuwa unashinda mitihani bila kuibia haujawahi kupata namba 5 darasani, achilia mbali namba moja. So sorry mzee maana umeangukia wrong number.
You're dealing with something bigger than US Open - Bow wow.