Mwabukusi alienda kwenye Press na Kina Slaa akiwa Kalewa

Maadam yuko upende wetu kuitetea Tanganyika haina shida apige maji tu
 
Ngoja na Mimi nipige glass Moja ya Four cousin, Magic moments au jack Daniel then ntarud hapa JF kukoment
Point za maana kama wakili msomi Mwakabusi
🤣😂😂🤣😂🤣😂
 
mwabukusi awe makini sana sasaivi kwa kutegeshewa mwanamke au kupigwa mapicha, manake tunajua mkewe yupo hapa arusha yeye yupo mbeya, asiamini kila mwanamke, watamtuliza kiitelijensia kama gwajiboy.
Yaan,
Kajitoa muhanga aisee
Kufa au kupandikiziwa ugonjwa wa kukumaliza 18 months later
Duu
GOD IS GOOD ALL THE TIME..ALL THE TIME GOOD IS GOOD 😊
 
Kunywa ni Jinai ?

Ila tuhuma alizozimwaga kama kweli zimefanyika basi waliofanya hayo ndio walevi (ulevi sio pombe tu hata madaraka yanalewesha)
 
Alileweshwa na Slaa. Cheza na Slaa?

Jamani kwani hatujuwi Slaa katokea kanisa lipi? Leo tunajifanya tumesahau mambo yao?
 
kiukweli kama wameshindwa kujibu hoja hata za mlevi, kwa asiyekunywa sasa itakuwaje? si atawatoa knockout mapema kabisa?
Nikwambie kitu watu wote ambao hutumia vilevi Kwa kiasi husisimua sana akili na uwezo na upeo kua mkubwa period!

Umenikumbusha zamani rafik angu chuoni alikua tukiwa ingia kwenye UE ni lazima apige Glass ya GONGO ndipo aingie kwenye mitiani

Asipo kunywa analalamika mitiani ilikua migumu & vise versa is true
 
Nikwambie kitu watu wote ambao hutumia vilevi Kwa kiasi husisimua sana akili na uwezo na upeo kua mkubwa period!

Umenikumbusha zamani rafik angu chuoni alikua tukiwa ingia kwenye UE ni lazima apige Glass ya GONGO ndipo aingie kwenye mitiani
sikubaliani na wewe, hasa kwasababu najua mwabukusi siku ile hakulewa, ile ni ongea yake ya asili, na pia, si ukute hata pombe huwa hanywi, fuatilia vizuri.
 
Kama alikuwa amelewa na katoa madini yale basi pombe iruhusiwe hata mashuleni ni nzuri kwa afya ya akili.
 
Member wa "Dawati la Propaganda" akiwa kwenye kazi yake. " Characters Assassination and Smear Campaign Propaganda"
 
sikubaliani na wewe, hasa kwasababu najua mwabukusi siku ile hakulewa, ile ni ongea yake ya asili, na pia, si ukute hata pombe huwa hanywi, fuatilia vizuri.
Wewe hujui fuatilia, hata Sasa inawezekana anakunywa pombe
 
Sema umetumwa na nani?
 
Wacha Wakili Mwabukusi awanyooshe mafisadi ya bandari,nabado mtasema yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…