Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Soma hoja za wenzio kabla ndo wameleta ubaguzi..Anzia na ile wazanzibar wanauza mali za Tanganyika kama kweli hastahili kwa nn ni Rais mpaka sasa?Ahh kuna mahali nimetaja ubaguzi au ku indicate ubaguzi? Get a grip boy
Nakazia ✍️✍️✍️Amesema kama hoja ni kitu kutokufanyakazi, ilibidi bunge ndio wapewe DPW ambapo hakuna ambaye angepinga hatua hiyo, tena walichukue bunge lotelote wakae nalo.
Soma hoja za wenzio kabla ndo wameleta ubaguzi..Anzia na ile wazanzibar wanauza mali za Tanganyika kama kweli hastahili kwa nn ni Rais mpaka sasa?
Kwa hiyo mnawapa bandari zote DPW kwa sababu ya dini?Maaskofu wako hawajui kitu kuhusu bandari mtu wa Mbeya anajua nn kuhusu bahari kama sio shobo.!!
Sasa hao ndo ndo wameharibu mjadala mpaka sasa na kuleta hofu mfano ile press ya jana ni chuki tu hamna cha maana mara sijui mtu anatishiwa kuuliwa😂Kumbe ni hoja za wengine. Address them bro not me
Hakuna sababu ya udini viongozi wako wa dini ndo wameanza haya mambo ya udini ,hao DP world hawana uhusiano na dini ni uoga wa viongozi wako waliokuwa wakipitisha mali kwa mgongo wa dini ili wasilipe kodi ndo wanachoogopa.Kwa hiyo mnawapa bandari zote DPW kwa sababu ya dini?
Halafu sisi tunaobudu na Yeriko wanaona hatuna chetuNa Shura ya maimamu nao ni maaskofu?
Kwani kuwa askofu au shehe ndio inaondoa utanzania wao?
Hawana haki km wananchi wengine wa nchi hii?
hakika hakuna ambaye angepinga hilo. wangeondoka nalo tu. safari hii mmekutana na bange ya arusha, mbichi kabisa. atawasumbua sana huyu.Wakili Mwakabusi amekosoa hoja ya kusema kuwa bandarini kumetawaliwa na ufanisi mbovu ambayo imetumika kama sababu ya kuwapatia DPW kuiendesha. Mwakabusi amesema tuende kwa data kuhusu wizi unaotokea bandarini na kama kumeshakuwa na mjadala wa ripoti ya CAG kuhusu yanayoendelea bandarini.
Amesema kama hoja ni kitu kutokufanyakazi, ilibidi bunge ndio wapewe DPW ambapo hakuna ambaye angepinga hatua hiyo, tena walichukue bunge lotelote wakae nalo.
Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
To cut short,Nadhani tuweke siasa pembeni, hajawahi kuomba msamaha Slaa aliwauza wenzake 2015 sio kukibia tu ila alipeleka info za ndani kwa CCM ndio akapewa zawadi ya ubalozi. Jana kusema wachukue ubalozi sababu anajuwa hilo linakuja kwa hiyo hana option. Ila kuna kitu watu hawaongelei alischosema jana, kasema yeye hana pesa ila hii mikutano yote inafadhilia na kikundi kinajiita SAUTI YA WA TANZANIA kama sikosei ma kasema hawa wako nje ya nchi na ndani ndio wanaratibu kila kitu. Sasa unapotumiwa na kikundi chochote kuna price lazima ulipe je hichi kikundi kinataka nini? wanaipenda sana Tz? hapana wana maslahi yao.
Hii jana kakiri mwenyewe hichi kikundi ndio kina fadhili kila kitu swali ni kina nani hawa? hapo hapo kaanza kabisa kugusia uraia pacha kaliongelea hili ni wazi mzee anapokea msaada nje kuchafua lakini pia hawa jamaa wenye kikundi suala la bandari wanalitumia kupata mambo wanayoyataka. Jana nimeelewa sio uchungu wa bandari tu ila watu wana egenda na ni kikundi kikubwa wengi wako nje na wako wa ndani hizi ni kauli zake mwenyewe Slaa jana kasema, na kasema wala sio siri hii.
Sitta alikuwa jasusi wake bungeni akimpa info zote hakuwa na lolote, Sitta alipopigwa chini baada ya kushtukiwa na yeye ndio ikawa mwisho hakuwa na hoja tena.To cut short,
Uzalendo wa Dr Wilbroad Slaa, Si wa kutiliwa mashaka,
Jimbo la karatu, alionyesha usomi na UWAJIBIKAJI wa kutolewa mfano.
Nafasi ya ukatibu mkuu CDM Hadi Leo haijazibwa.
Bungeni amewafundisha vijana wengi siasa na kujiamini, Zittow, Mnyika, Mdee ni matokeo ya KAZI yake,
Mungu mbariki Dr SLAA.
Amen
Acha basi,Sitta alikuwa jasusi wake bungeni akimpa info zote hakuwa na lolote, Sitta alipopigwa chini baada ya kushtukiwa na yeye ndio ikawa mwisho hakuwa na hoja tena.
Uliza watu wakwambie wewe, Wewe unajuwa sababu za CCM kuleta mizengwe kutaka speaker mwanamke? Sitta alishashtukiwa baada ya kuondolea Sitta nini DR Slaa alifanya tena? zero sababu CCM walikata source zote. Huo ndio ukweli utake usitake uliza watu wa CCM damu sababu za Sitta kupigwa chini u speaker.Acha basi,
Yaani Slaa ni WA kumtegemea 6 kumpa info?
Acha nikae kimya ktk hili!!!
Huyu anafosi afanyiwe ya ulimboka lkn enzi zile zishapita . Mama anaendelea kunywa maji safi na salamq na vyura na makelele yao wamepuuzwa.Wakili Mwakabusi amekosoa hoja ya kusema kuwa bandarini kumetawaliwa na ufanisi mbovu ambayo imetumika kama sababu ya kuwapatia DPW kuiendesha. Mwakabusi amesema tuende kwa data kuhusu wizi unaotokea bandarini na kama kumeshakuwa na mjadala wa ripoti ya CAG kuhusu yanayoendelea bandarini.
Amesema kama hoja ni kitu kutokufanyakazi, ilibidi bunge ndio wapewe DPW ambapo hakuna ambaye angepinga hatua hiyo, tena walichukue bunge lotelote wakae nalo.
Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Sitta alikuwa jasusi wake bungeni akimpa info zote hakuwa na lolote, Sitta alipopigwa chini baada ya kushtukiwa na yeye ndio ikawa mwisho hakuwa na hoja tena.
Na sasaiv Slaa hizo taarifa za serikali anapewa na nani?Uliza watu wakwambie wewe, Wewe unajuwa sababu za CCM kuleta mizengwe kutaka speaker mwanamke? Sitta alishashtukiwa baada ya kuondolea Sitta nini DR Slaa alifanya tena? zero sababu CCM walikata source zote. Huo ndio ukweli utake usitake uliza watu wa CCM damu sababu za Sitta kupigwa chini u speaker.
Taarifa gani? siku hizi anadandia habari zinazo trend sasa yuko bandari. na wamekuja kujuwa mambo ya bandari sababu serikali waliweka hadharani zamani issue kama za Richmond alizitoa yeye sababu kina Sitta walikuwa wanampa data zote toka Sitta kuondolewa hoja gani ya siri labda kaibua hadharani? Ya bandari kwa nia njema Serikali iliweka public. Na haya anayaongea hivi sasa hakuna ambacho hatukijui ule wakati anaoneka mwamba kajuaje hili ndio nakwambia Sitta na kundi lake walikuwa wanampa details, na ndio likawa anguko la Sitta.Na sasaiv Slaa hizo taarifa za serikali anapewa na nani?
Sitta?
Dr Slaa anakubalika kwa ujengaji wa hoja.Taarifa gani? siku hizi anadandia habari zinazo trend sasa yuko bandari. na wamekuja kujuwa mambo ya bandari sababu serikali waliweka hadharani zamani issue kama za Richmond alizitoa yeye sababu kina Sitta walikuwa wanampa data zote toka Sitta kuondolewa hoja gani ya siri labda kaibua hadharani? Ya bandari kwa nia njema Serikali iliweka public. Na haya anayaongea hivi sasa hakuna ambacho hatukijui ule wakati anaoneka mwamba kajuaje hili ndio nakwambia Sitta na kundi lake walikuwa wanampa details, na ndio likawa anguko la Sitta.