Mwabukusi: DPW ingebidi wapewe Bunge waondoke nalo kabisa

Mwabukusi: DPW ingebidi wapewe Bunge waondoke nalo kabisa

Terms na conditions zipo wapi? Hizo si ni signatures tu? Labda walikuwa wanauziana ardhi? Halafu kuwa na heshima kwa baba yako.
Mpaka kesho na milele serikali inatoa pesa despite ya kuwa kuna hospital za wilaya.

Kama wwe unajua nionyeshe ukomo wake huu mkataba na hesabu tangu 92 mpaka leo ni miaka mingapi?


Utajuaje na ulikuwa bado hujazliwa .😂
 
😂😂Naona usharukia wewe tangu uzaliwe ushawahi kuona bandari? umezaliwa kweny bonde la mpunga huko.

Haya mambo hayakuhusu kaa kwa kutulia endelea kuwaabudu weny sauti za kukwaruza na mpakwa mafuta.
We muabudu wa mudi usidhani wote tupo kwenu kimanzichana pwani, maulid kitenge anavosifia anajua mambo ya bahari?
 
Mnafanya kazi za majasusi wa nchi jirani bila kujua, wenzenu huko ndo wanafukuzia huo uwekezaji.
FB_IMG_1689167942000.jpg
 
DPW ingebidi wapewe bunge waondoke nalo kabisa
✍️
 
Sasa uwezo wetu ndipo ulipofikia. Ilitakiwa kulizima hili lisiwe kelele.
We jambo lipo on public na ni Jambo la Nchi afu unasema mlifiche, msaini mkataba wa kibwege mseme mmeuficha umerogwa ?
✍️
 
We jambo lipo on public na ni Jambo la Nchi afu unasema mlifiche, msaini mkataba wa kibwege mseme mmeuficha umerogwa ?
✍️
Acha hasira sasa unaona wameshajua kuwa tunashindana nao. Bado Beira ambayo shida ni barabara tu lakini kufoka Lusaka ni easy.
 
We muabudu wa mudi usidhani wote tupo kwenu kimanzichana pwani, maulid kitenge anavosifia anajua mambo ya bahari?
😂😂Hujui kitu kaa kwa kutulia hatuongelei maparachichi hapa.
 
So una maana hapa ngoma droo. Wao huu na nyie ule wa kwenu sio. Sasa mtapataje pesa
Hamna mkataba wa kwetu ishu walidai kuhusu ukomo mbona huu hauna ukomo pia serikali iliangalia ufanisi .

Katika maslahi hakuna anayenufaika moja kwa moja zaidi ya wnasiasa na wapiga dili wa bandari.
 
Terms na conditions zipo wapi? Hizo si ni signatures tu? Labda walikuwa wanauziana ardhi?

Mpaka kesho na milele serikali inatoa pesa despite ya kuwa kuna hospital za wilaya.

Kama wwe unajua nionyeshe ukomo wake huu mkataba na hesabu tangu 92 mpaka leo ni miaka mingapi?


Utajuaje na ulikuwa bado hujazliwa .😂
Watoto mnajitafutia laana hivi hivi. Huo ni mkataba wa nini?
 
Back
Top Bottom