Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Mnahaha sana kutetea ujinga..!!Ule wa Mou ndo bullshot ya kwanza , then mnafuatia weae ambao umeanza kufuatia siasa mwaka jana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnahaha sana kutetea ujinga..!!Ule wa Mou ndo bullshot ya kwanza , then mnafuatia weae ambao umeanza kufuatia siasa mwaka jana
kanisa na maaskofu wako hawawezi kupewa na hawajui kuhusu bandari wakae Mbeya waimbe kwaya hiyo bahari walianza kuijua lin?Nimekuuliza ya kwenye mkataba, unanijibu ya makanisa, naamini unajiona ulivyo zuzu, kama makanisa kupewa ruzuku na serikali roho zinawauma, nayi jengeni hospitali zenu kupitia misikiti mpewe hizo ruzuku mnazolilia kama watoto.
Lakini hamuwezi kupewa ruzuku kwa kupepeta midomo yenu tu kama mnavyofanya, hiyo pesa ya kupepeta midomo haipo serikalini.
Huu ni malipo ya ule wa kanisa . Kwani nao ni charity?.naunga mkono hoja, kama issue ni ufanisi Tanganyika hapa vitu vingi havina ufanisi hata Bunge lenyewe sio fanisi maana yake nalo libinafsishwe sasa kama issue ni kubinafsisha kila kinachokosa ufanisi.
Unataka kusema kuwa hao wanaokuja wameitwa na wa upande mwingine na ni mkataba utakaokuwa na maslahi mapana ya watu hao.kanisa na maaskofu wako hawawezi kupewa na hawajui kuhusu bandari wakae Mbeya waimbe kwaya hiyo bahari walianza kuijua lin?
Unajielewa kweli ,which professional are you ? nisije bishana na mtu kumbe mwalimu wa History.
kanisa na maaskofu wako hawawezi kupewa na hawajui kuhusu bandari wakae Mbeya waimbe kwaya hiyo bahari walianza kuijua lin?
Aiseeee..!! Uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo. Kwahiyo wale wabunge wanaochangia kuhusu korosho na wao wanalima pamba unataka kuwaambia nini..!!?? Huu ndo mwanzo wa kila watu wajadili vya kwao..!!kanisa na maaskofu wako hawawezi kupewa na hawajui kuhusu bandari wakae Mbeya waimbe kwaya hiyo bahari walianza kuijua lin?
Maaskofu wako hawajui kitu kuhusu bandari mtu wa Mbeya anajua nn kuhusu bahari kama sio shobo.!!Unataka kusema kuwa hao wanaokuja wameitwa na wa upande mwingine na ni mkataba utakaokuwa na maslahi mapana ya watu hao.
Sema mimi ninaesoma hii coment ni MPUMBAVUTuende taratibu kijana niambie Mkataba wa Tanzania na makanisa kutoa ruzuku kweny hospital kila mwaka tangu mwaka 92 ni wa mda gani ? then ntakujibu kwa hoja
Ujinga si mnahama mara katiba mpya 😂😂hamna msimmo.Mnahaha sana kutetea ujinga..!!
[emoji38][emoji38][emoji38]Wakili Mwakabusi amekosoa hoja ya kusema kuwa bandarini kumetawaliwa na ufanisi mbovu ambayo imetumika kama sababu ya kuwapatia DPW kuiendesha. Mwakabusi amesema tuende kwa data kuhusu wizi unaotokea bandarini na kama kumeshakuwa na mjadala wa ripoti ya CAG kuhusu yanayoendelea bandarini.
Amesema kama hoja ni kitu kutokufanyakazi, ilibidi bunge ndio wapewe DPW ambapo hakuna ambaye angepinga hatua hiyo, tena walichukue bunge lotelote wakae nalo.
Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
linapokuja suala la ubaguzi nasi tunaonyesha ubaguzi ngoma draw😂😂[emoji23] pathetic
Naona huna hoja mpumbavu😂😂Sema mimi ninaesoma hii coment ni MPUMBAVU
Una majahazi mangapi. Kumbuka mbeya kuza ziwa Nyasa na Rukwa japo kabla ya Songwe. Pia wanakula sana migebuka yatanganyikaMaaskofu wako hawajui kitu kuhusu bandari mtu wa Mbeya anajua nn kuhusu bahari kama sio shobo.!!
😂😂Ebu kale maparachichi ukaharishe mbele ,hujui chochote kuhusu bandari ndo maana mnaongea porojo.!Una majahazi mangapi. Kumbuka mbeya kuza ziwa Nyasa na Rukwa japo kabla ya Songwe. Pia wanakula sana migebuka yatanganyika
Kama wale watu wambea kina Juma Lokole wanaenda na trend tu hawako serious.😂😂😂Hamna hoja hao porojo tu ukitoa hayo maneno yao makali hamna hoja.
Likiisha watakuja suala la katiba.
😂😂😂wanasiasa na mawakili ndo mda wao kujulikana.Kama wale watu wambea kina Juma Lokole wanaenda na trend tu hawako serious.
Kama matangazo na kweli wanajuwa hizi fursa sasa jamaa kajulikana kajitangaza hapo nampa 100%. kajuwa kucheza na fursa.😂😂😂wanasiasa na mawakili ndo mda wao kujulikana.
Tupe somo Mtaalamu. Bandari ni nini?. Na na umebobea kwenye nini haswa. Nini ambacho hakiwezi fanyika pale bandarini baada ya mkataba kurekebishwa.?😂😂Ebu kale maparachichi ukaharishe mbele ,hujui chochote kuhusu bandari ndo maana mnaongea porojo.!