Mwabukusi: DPW ingebidi wapewe Bunge waondoke nalo kabisa

Mwabukusi: DPW ingebidi wapewe Bunge waondoke nalo kabisa

Tuende taratibu kijana niambie Mkataba wa Tanzania na makanisa kutoa ruzuku kweny hospital kila mwaka tangu mwaka 92 ni wa mda gani ? then ntakujibu kwa hoja
Hee....
Kwani huu mkataba wa Bandari serikali inaingia na msikiti?
Mbona mmeishiwa hoja kiasi hiki sasa nimeanza kutuletea Udini?.
 
Na huyu mzee Slaa mbona aliwauza wenzake Chadema kwa JPM akamwaga siri za mikakati yote ya Chadema halafu akapata hisani ubalozi Sweden. Hajawahi kuwaomba msamaha wenzake. Mama Samia kaja kimya kimya akampiga chini mzee mpaka leo linamuuma sana hilo.
Kwa kutamka kuwa hata wakitaka kumnyang'anya hadhi ya DIPLOMAT aliyonayo Yuko radhi, hiyo ni TOBA tosha.🙏🙏

Halafu tuweke mambo sawa, kati ya Lowassss na Slaa nani msaliti?

Maana hata Mafisadi CCCm yalikuwa yakimwita Magu msaliti!!!

Jibu ni kuwa Slaa ni Mtanzania MZALENDO🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

Vyama vinapita, maana hata Nyerere aloianza uanaharakati bila chama.

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen
 
Mnafanya kazi za majasusi wa nchi jirani bila kujua, wenzenu huko ndo wanafukuzia huo uwekezaji.View attachment 2685923
Kwa mkataba wa kimangungo kama huu!!!

Hata matapeli pale mnazi mmoja wanapokuwa wakimuuzia mtu Dhahabu feki husema maneno hayo hayo, kwamba ukichelewa Jirani Yako atawahi kuinunua kabla Yako!!!!

Mkiulizwa, kwann Zanzibar haichangamkii deal Hilo, mnaita watu wabaguzi!!!
 
Wakili Mwakabusi amekosoa hoja ya kusema kuwa bandarini kumetawaliwa na ufanisi mbovu ambayo imetumika kama sababu ya kuwapatia DPW kuiendesha. Mwakabusi amesema tuende kwa data kuhusu wizi unaotokea bandarini na kama kumeshakuwa na mjadala wa ripoti ya CAG kuhusu yanayoendelea bandarini.

Amesema kama hoja ni kitu kutokufanyakazi, ilibidi bunge ndio wapewe DPW ambapo hakuna ambaye angepinga hatua hiyo, tena walichukue bunge lotelote wakae nalo.

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Hii ni hoja ya watu mazwazwa,mtu mwenye akili hawezi kutoa hoja hiyo.Bandsri utendaji wake ni mbovu kwa kuwa consecutive governments na CCM wanekuwa wakiajiri ndugu zao,kwa kujuana na hovyo kuweka watu wasio na weledi unaotakiwa,so Serikali na CCM moja kwa moja wanahusika na ubovu huo.The base line is this,CCM waondoke, Watanzania hawawataki tena,enough is enough.Ni mikataba mibovu,ufisadi grand kila kukicha and no action.Na it is funny,Rais mwenyewe Binti Mangungo kaganda,TAKUKURU imeganda,no,no Watanzania wana haki ya kuchukua hatua stahiki.
 
Tuende taratibu kijana niambie Mkataba wa Tanzania na makanisa kutoa ruzuku kweny hospital kila mwaka tangu mwaka 92 ni wa mda gani ? then ntakujibu kwa hoja
Sasa Ruzuku unafaninisha na bure? 🤣 We ni mbwa kweli.
 
Kwa kutamka kuwa hata wakitaka kumnyang'anya hadhi ya DIPLOMAT aliyonayo Yuko radhi, hiyo ni TOBA tosha.🙏🙏

Halafu tuweke mambo sawa, kati ya Lowassss na Slaa nani msaliti?

Maana hata Mafisadi CCCm yalikuwa yakimwita Magu msaliti!!!

Jibu ni kuwa Slaa ni Mtanzania MZALENDO🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

Vyama vinapita, maana hata Nyerere aloianza uanaharakati bila chama.

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen
Nadhani tuweke siasa pembeni, hajawahi kuomba msamaha Slaa aliwauza wenzake 2015 sio kukibia tu ila alipeleka info za ndani kwa CCM ndio akapewa zawadi ya ubalozi. Jana kusema wachukue ubalozi sababu anajuwa hilo linakuja kwa hiyo hana option. Ila kuna kitu watu hawaongelei alischosema jana, kasema yeye hana pesa ila hii mikutano yote inafadhilia na kikundi kinajiita SAUTI YA WA TANZANIA kama sikosei ma kasema hawa wako nje ya nchi na ndani ndio wanaratibu kila kitu. Sasa unapotumiwa na kikundi chochote kuna price lazima ulipe je hichi kikundi kinataka nini? wanaipenda sana Tz? hapana wana maslahi yao.

Hii jana kakiri mwenyewe hichi kikundi ndio kina fadhili kila kitu swali ni kina nani hawa? hapo hapo kaanza kabisa kugusia uraia pacha kaliongelea hili ni wazi mzee anapokea msaada nje kuchafua lakini pia hawa jamaa wenye kikundi suala la bandari wanalitumia kupata mambo wanayoyataka. Jana nimeelewa sio uchungu wa bandari tu ila watu wana egenda na ni kikundi kikubwa wengi wako nje na wako wa ndani hizi ni kauli zake mwenyewe Slaa jana kasema, na kasema wala sio siri hii.
 
Hata ungekuwa wa milele, we mbwa unahoji ruzuku kwa matibabu ya wananchi na kufananisha na huu uhuni na waarabu??
We ni zaidi ya mbwa koko
 
Back
Top Bottom